Gerson Msigwa: Gazeti la Tanzanite inawezekana lilithibitisha kuwa Zitto na Maalim Seif waligombania shoga

Kuna clip ya video inatambaa kwa kasi ikimuoesha mkurugenzi wa habari maelezo Ng ,Gerson Msigwa akisema kuwa hawakulifungia gazeti la Tanzanite linalomilikiwa na msiba kwa kuhapisha habari za uongo kuhusu mkuu wa chama cha ACT wazalendo Zito kabwe na aliyekuwa makamu wa kwanza wa urais seifu sharifu Hamad kujihusisha na ushoga kwa kumgomania mtu anayejulika Kama Suphian Juma ( ni member wa JF)

Video hiyo imezua utata kwa kuwa mzigwa anasema gazeti hilo lilithibitisha (nitaiweka hapa soon ) kuwa ishu ya ushoga ilikuwa kweli
View attachment 1944504

Tazama video:

View attachment 1944666
hivi hii tanzania nani katuloga???????? hivi ni kweli watanzania wameenda shule???? hivi ni kweli baadaye wajukuu watatuelewa??? ni hayo tuuu
 
..matusi na udhalilishaji wa genge la Magufuli.

..leo ndio wanaolialia kila wakati. Hata wakisemwa wengine wanaona wamesemwa wao.
 
..Maalim Seif kwa umri aliokuwa nao angeweza kumzaa Gerson Msigwa.

..huyu bwana mdogo Msigwa alimkosea adadu yule Mzee.
Msigwa ni fala Sana na kilaza mkubwa. Maalimu Seif aliweza kuwa baba yake. Ndio maana chama cha mambuzi wanalaanika!
 
Msigwa ni fala Sana na kilaza mkubwa. Maalimu Seif aliweza kuwa baba yake. Ndio maana chama cha mambuzi wanalaanika!

..Ni ulevi wa madaraka.

..Kila mtu alikuwa kalewa chakari kulingana na nafasi aliyokuwa nayo.

..Walijisahau wakaamini Magufuli atadumu madarakani.
 
Suphian Juma

Kuna file lako huku, ngoja member waingie chimbo kukufukua
Madhara aliyo sababishiwa huyu suphian psychological ni makubwa sana! Vile tupo AFRICA TU! Lakini hili kovu halitaisha leo wala mwakani. Mpaka watoto litakuja kuwaathir . Inasemwa kilichoandikwa hakifutiki
Cha kushangaza bwana suphian yupo na watu wale wale
 
Back
Top Bottom