Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,540
- 52,637
Mechi ni saa 10:15 ila uzi upo Live muda huu dakika 45 kabla ya mtanange🤣
pengine moderator anajua ndo hii ya sanane TBR na KENMechi ni saa 10:15 ila uzi upo Live muda huu dakika 45 kabla ya mtanange🤣
This is Young africans💪💪Mechi ni saa 10:15 ila uzi upo Live muda huu dakika 45 kabla ya mtanange🤣
Leo ule mwiko unashindiliwa hadi uzame kabisa .Nawaonea huruma utopolo
Unadhani huwa mnatoka kwa kupenda basi.Leo tukikaa kileleni hatutoki ng'oooo
Huna hoja!Unadhani huwa mnatoka kwa kupenda basi.
Sawa, tuendelee kuangalia mpira.Huna hoja!