The Premier League on NBC and Premier League on NBCSN is the blanket title for broadcasts of the Premier League by the networks of NBC Sports. NBC acquired rights to the Premier League in 2013, and reached a six-year extension in 2015.
Karibuni Kwa Live updates za mchezo wa Ligi kuu Tanzania bara kati ya Mtibwa Sugar (wenyeji) dhidi ya Mabingwa watetezi , Young Africans sc. Mchezo utaanza leo saa kumi jioni, Katika uwanja wa Namungu Complex, Morogoro.
Endapo Yanga atashinda mchezo huu atafikisha alama 71 ambayo haitaweza...
VS
Tukutane saa 10 jioni kwa updates zaidi kuelekea Ubingwa 2023/2024.
Nguvumoja#
VIKOSI VYA LEO
Kagera Sugar FC
Simba SC
UPDATES....
2'
Simba wanakosa goli la wazi kabisa hapa.
Kupitia kwa Freddy Michael.
Alikuwa ameshamtoka hadi Kipa.
Mpira ukaenda nje.
7'
Game on.
Mashambulizi...
Kuna tetesi Azam amelipia VAR next season maana kuna cheaper alternatives ya var. FIFA introduced recently Azam na Board ya ligi wanataka kuipitisha. Kiwake next season, tutajua mchawi nani?!
note : Hawa wazee wa TFF na board ya ligi wanaweza kuzingua, wataweka rushwa mambo yawe magumu, wapo...
#nguvumoja#
VIKOSI VINAVYOANZA.
AZAM FC
SIMBA SC.
Updates...
Timu zote mbili zimeshaingia Benjamin Mkapa.
Wanajiandaa kuanza mazoezi ya kupasha misuli.
Updates....
04'
Azam wanajaribu kufanya shambulizi, halifanikiwi.
20'
Mpira unaendelea na timu zinashambuliana kwa kasi sana.
Azam 0-0...
π°πππππ ππππ°
π #NBCPremierLeague
β½οΈ Young AfricansπKagera sugar FC
π 08.05.2024
π Azam complex
π01:00 usiku
Kikosi kinachoanza dhidi ya Kagera Sugar
mpira umeanza
dakika ya 5
0-0
dakika ya 10
0-0
dakika 13
yanga sc wanafanya shambulizi aziz k ananaswa kwenye mtego wa offside
dakika...
All the Best Mnyama π¦
Updates za Mchezo wa Leo..
Kikosi cha Simba Kinachoanza.
Updates...
Mpira unaendelea kwa kasi Kidogo.
Simba wanajaribu kufanya mashambulizi kwenye lango la Tabora
DK 5'
Game on
0-0
DK 10'
Mpira unaendelea
0-0
DK 19'
Goooooooooooal
Sadio Kanoute anatia goli wavuni...
Match Day.
NBC Premier League.
Simba vs Mtibwa
Azam Complex
04.00 PM
Leo majira ya saa kumi jioni timu ya Simba itawakaribisha wageni wao timu ya Mtibwa katika mechi ya NBC premier league ikiwa ni mchezo wao wa 23 kwa msimu huu.
Ungana nami kwa updates mbali mbali.
Vikosi vinavyoanza leo...
NAMUNGO vs SIMBA | kabumbu itasakatwa leo saa 12:00 jioni katika Dimba la Majaliwa, Ruangwa mkoani Lindi.
Jongea kwenye uzi huu, kunyaka kitakachojiri kabla na wakati wa mchezo.
Unadhani nani ataibuka mshindi? Fanya kutupia utabiri na uchambuzi wako hapa.
---
Kikosi cha Simba kilichoanza...
Ihefu sc vs Simba sc saa 10:00 jioni CCM Liti stadium NBC premier league
Leo wanasingida watakuwa wanashudia mtanange mkali baina ya mwenyeji ihefu vs simba sc, wakiendelea kusaka pointi muhimu za kuamua nani bingwa msimu huu.
Tukutane hapa kwa update.
KIKOSI CHA SIMBA
KIKOSI CHA IHEFU
2nd Leg Match
CAF CHAMPION LEAGUE
QUARTER FINAL.
Mamelodi Sundowns vs Yanga Sc
Time: 9:00Pm
Stadium: Loftus Versfeld Stadium
More Updates following...
Kikosi Cha Yanga Kinachoanza
Kazini kwetu kuna Kazi.
Kikosi Cha Mamelodi Sundowns Kinachoanza.
Mpira unaendelea kwa kasi .
Timu...
Patashika ya ligi kuu kuendelea leo, kwa kukutanisha wekundu wa Msimbazi dhidi ya wazee wa Mapigo na Mwendo baada ya futari. Muda ni saa mbili na robo usiku, Azam complex
Kikosi
Game ishaanza dakika ya 18 bado bila bila
Yellow card Michael Masinda kamfanyia Saido faulo, game inaendelea...
π°ππππ πππ°
π #NBCPremierLeague
β½οΈ Young Africans SC π Geita Gold FC
π 14.03.2024
π Azam Complex
π 02:15 Usiku
Kikosi kinachoanza dhidi ya Geita Gold FC
#TimuYaWananchi
#DaimaMbeleNyumaMwiko
Mpira umeanza
Dakika ya 5
Aziz k anachezewa madhambi nje ya 18
Dakika ya 7
Yanga SC wanapata kona...
Muda ni Saa 2:15 Usiku.
Kikosi cha Simba Kinachoanza.
Kikosi cha Singida FG Kinachoanza
#nguvumoja#.
Updates...
Dakika ya 5'
Goooooal kupitia kwa Saidoo baada ya kipa kuutema mpira wa Chama.
Dakika ya 8'
Penati wanapata Simba.
Anaipiga Saidoo
Goaaaaaaaaalllll
2-0.
Dakika ya 34'
Fredddd...
π°ππππ πππ°
π #NBCPremierLeague
β½οΈ Young Africans SCπIhefu FC
π 11.03.2024
π Azam Complex
π 12:00 Jioni
Kikosi kinachoanza dhidi ya Ihefu SC
Mpira umeanza
Dakika ya 5
Yanga SC 0-0 Ihefu SC
Dakika ya 10
GOAAAAAAL Pacomeeeee
Dakika ya 15
Yanga SC 1-0 Ihefu SC
Dakika ya 19
Yanga SC wanakosa...
Leo 09.03.2024
Muda wa Saa 12 Jioni.
Coastal Union ya Tanga, Inaikaribisha Simba SC ya Dar es salaam katika mchezo wa Ligi kuu Tanzania Bara.
Simba huu ni mchezo wake wa 17, ikiwa na Alama 36. Nafasi ya Tatu(03) katika msimamo.
Coastal Union huu ni mchezo wake wa 20, Alama 27, Nafasi ya Nne...
Kikosi Cha Simba Kinachoanza Leo.
Kikosi Cha Tanzania Prisons Kilichoanza leo.
Updates
Dakika ya 45+3
Tanzania Prisons wanapata Goli kipitia kwa Samson Mbangula.
HT
Simba 0-1 Tz Prisons.
Kipindi cha Pili Simba wanafanya Mabadiliko.
Mzamiru Out
Saido Inn
Kibu D Out
Chasambi Inn
Freddy...
NBCPremierLeague
οΈ KMC SC Vs Yanga SC
17.02.2024
Jamhuri Morogoro
10:00 jioni
Kikosi kinachoanza dhidi ya KMC FC
Mpira umeanza
dakika ya 1
Mudathir anaipatia Yanga SC goli la kwanza
Goli la mapema zaidi, limefungwa na Mudathir Yahya akiitanguliza Yanga
KMC 0-1 Yanga
Dakika ya 10...
Match Day!
JKT Tanzania, Wanaialika Simba SC leo kwenye uwanja wa Mej. General
Isamuhyo, -Mbweni Dar es Salaam.
Mechi itachezwa Majira ya Saa 10:00 Jioni.
Jkt wanaingia kwenye huu mchezo wa kukamilisha Mzunguko wa kwanza wakiwa na Points 16. Nafasi ya 12. Wameshinda Michezo 4, Wametoka Sare...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.