DuhHuwezi ku comment mpaka uandike matusi?
😂😀😀😀Na haka kajamaa kanawa pump sana na nyie mnajaa mnajiona Liver View attachment 3205703
We ndio uliandika hii comment?View attachment 3205704
Walikuwa wanatangaza biashara ya boss wenu jesemu...Binafsi nahisi hii mechi imechezwa Kwa takribani dk 40 tu....!! Warabu wamelala mara nyingi sana kuliko hata idadi ya mipira waliorusha, na kila wakilala zinakatika dk angalau 2.
Hawa jamaa itabidi Caf waangalie kukomesha hii tabia Yao, ni Tabia ya ovyo sana sio ya kiuanamichezo.
Walikariri kwa Mkapa hatoki mtuHakuna waarabu ambao kiasili ni wagumu na wabishi kama waalgeria. Sijui Yanga ilijiamini nini.
Mambo ya mpira tumewaachia wenyewe Mtani. 😂😂😂Shadeeya upo kwenye mkutano mkuu na Bantu Lady
Hahahaaa. Mtusakame kwa kiasi sa Mtani.
Wee ingia tuu sasa tunagusa tunaachia tunakwenda nbc 🤣🤣🤣🤣Mzab eti na naingia duniani sasa. Lol
Yanga haikufungwa!
Kweli Mmegusa Makundi mkaachia milipoona motooooNitakufukuza kazi unajua, unamdhihaki boss wako kweli? Kesho asubuhi tuna kikao.
Eeh mambo ni gusa achia, mengine ni matokeo ya mpira. Intelligent businessman
Hakika Mzab.Wee ingia tuu sasa tunagusa tunaachia tunakwenda nbc 🤣🤣🤣🤣
Poleni wananchi...ndio futiboli hilo
Ila striker mtafhte maana huyu dube yale maombi nguvu ya soda
Aise nawaambie yule full bekinwa singida big stars ande mtu na nusu. Atawasaidia mkimpata maana yao yao majeraha mengi. Kibwana sio kwality ya robo fainali.Hakika Mzab.
Msenge ww😅😅😅