Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,900
- 26,330
Una pwenti usikilizwe...Huu uzi bado unatrend.
Napendekeza Mods waupin hapo juu hadi mwishoni mwa msimu, au mnasemaje wakuu?
Una pwenti usikilizwe...Huu uzi bado unatrend.
Napendekeza Mods waupin hapo juu hadi mwishoni mwa msimu, au mnasemaje wakuu?
Muda wowote Dube anaweza kutupia goli la kuipeleka uto robo fainaliAisee, Mechi bado inaendelea wajameni
Tupeni matokeo, wengine hatukuwa na bandoYanga watunze nguvu wasitumie nguvu za ziada: 1-0 kama kwa al Hilal inatosha kabisa !!
Vizuri nyuma mwiko,mwaka huu watachukua club bingwaMC Alger alipigwa mbili bila. Goli moja kafunga Azizi Ki na alithibitisha ubora wake na la pili alifunga mchezaji kinda mwenye miaka 21, Clement Mzize🙄
Sisi tunaongelea mambo yanayohusu maendeleo ya nchi halafu wewe bado unaleta habri za mchezo wa zamani?Tupeni matokeo, wengine hatukuwa na bando
😀😆😃Sisi tunaongelea mambo yanayohusu maendeleo ya nchi halafu wewe bado unaleta mchezo wa zamani?
Sisi tunaongelea mambo yanayohusu maendeleo ya nchi halafu wewe bado unaleta mchezo wa zamani?
Aliaibika vibaya sana!utaaibika
0-0 siyo maendeleo ya nchiSisi tunaongelea mambo yanayohusu maendeleo ya nchi halafu wewe bado unaleta mchezo wa zamani?
🤣🤣Yanga 2 mc al 1 FT
Umetabiri vizuri.Kama kawaida ya Yanga (wachovu wa kimataifa), watagusa tu uwanja wa Mkapa na kuachia mechi ikienda MC Alger. Sioni umuhimu wa watu kwenda kushangilia haibu, this is Yanga tunawajuwa kwa mechi za kimataifa.
Sema wao walipoona Serikali wameleta kikokotoo na kuzuia fao la kujitoa, hawakuelewa maana yake?Uzi huu una raha sana.
Yanga mje tubadirishane mawazo kuhusu matumizi ya kikokotoo🤣🤣🤣
Dk ya ngapi huko?Aisee, Mechi bado inaendelea wajameni
Dk ya ngapi huko?
Aisee wanampaje Chama penalty muhimu hivyo na Aziz Ki yupo uwanjani jamani?Dakika ya 79 Chama kakosa penalty bado bila bila
Aziz alikuwa kwa Mobeto jana, kakaushwa miguu hana nguvuAisee wanampaje Chama penalty muhimu hivyo na Aziz Ki yupo uwanjani jamani?
Basi kocha amuingize Pacome game waimalize mapema dk 11 bado nyingi sana