Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 25,434
- 61,756
Kila la kheri chama langu pendwa kutoka kusini mwa jangwa la Sahara πππππππππππ
Soon utaanza kusikia Ngungo boy out πKule souz watatolewa waje huku wakose vyote.
Bado wanajenga timu π
Semeni kombe la shirikisho sio la CAF. Mnakwepa nini? Huwezi kuta Al Ahly akibeba ndoo ya Champions liegue atasema kombe la CAF.kumbe ligi bado inaendeleaπ€£π€£π€£.wapeni tu kombe.sisi tutachukua la caf
Ha ha ha waliona mbaliKabisa, jana niliona mpira wa makolo nikajua walistahili kukimbia ile Tarehe 8
Wanachekesha sana π hawa wanetuKuna sehemu nimepita leo hawa jamaa wanaamini eti wanachukua kikombe.
Nimesikitika sana.
Sio kwa timu niliyoicheki jana
Na hii ni baada ya kupata ushindi au sare kwenye mechi ya marudio dhidi ya Stellenbosch! Na baada ya hapo kuipiga nje ndani RS Berkane iliyompiga jana mtu goli 4-0!!kumbe ligi bado inaendeleaπ€£π€£π€£.wapeni tu kombe.sisi tutachukua la caf
Mjanja mjanja naye yule hawamuweziNgungu wa watu huwa wanampopoa tu.
Jana aliongea kiinglish kimenyooka, utafikiri yuko serious π€£π€£
Kwa bahati mbaya wakifika final, inawezekana ikawa fainali ya hovyo katika historia ya caf,kupigwa mtu goli nyingi πNa hii ni baada ya kupata ushindi au sare kwenye mechi ya marudio dhidi ya Stellenbosch! Na baada ya hapo kuipiga nje ndani RS Berkane iliyompiga jana mtu goli 4-0!!
Hawana aibu,hata jana amani si uliona mtu anatambaa kwenye mabango anawanga πNgoja wakachome tena viwanja vya watu kule Souz.
Washirikina sana!
Ha ha haAnapanga mkakati wakupeleka mbuzi na wazee Durban!! π€£π€£