Fridge 90W vs radio 250W kifaa gani kinakula umeme zaidi

Nadhani kuna haja ya kuangalia earthing system kama haivujishi umeme na pia kama wiring haijachakaa sana.
Kuna wakati nilipanga nyumba nzima, luku ikawa inaenda haraka sana ila badae tukaja kuangalia tukakuta wiring haikufungwa vizuri na pia earthing ilikuwa inapoteza umeme sana.
Fundi akaja kufunga wiring upya na kuweka sawa mambo.
Mambo yalikuwa vyema sana.
Point ya earth kula umeme mwingi sana imekaaje? mans nijuavyo earth inamlinda consumer na leakage ya umeme ktk metal frame yani umeme unaozagaa unapelekwa underground na earth ..wataalamu sio kweli kuwa earth inachangia bili nadhani acheki wiring tu kama imetumia vifaa ambavyo viko standard kisize kama nyaya na appliances zake
 
.....

Tofauti na friji yenyewe power yake is not variable it is always in full power as rated when it is working na mara nyingi friji huwa connected katika umeme for almost 24hours!

Hivyo kwa hapo asilimia ya kuwa friji inatumia umeme mwingi zaidi kuliko radio ni mkubwa richa ya kwamba radio imeandikwa watt kubwa na friji imeandikwa watt ndogo!

Asante for trusting on me!
Mkuu ebu fafanua hapa, maana kunakipindi friji, inaunguruma kwa sauti kubwa na baadaye inaacha, Je. hiyo haisababishi variable power...!?
 
Back
Top Bottom