Fridge 90W vs radio 250W kifaa gani kinakula umeme zaidi

90*24=2160

2160/1000w=2.16 unt

kwa hiyo mkuu kama niko sahihi, kwa jokofu lako kuna unit 2.16 zimeongezeka.
 
Katika siku niliyoramba elimu mujarab ni leo!sasa nimepata majawabu kwa nini "tukuza" yangu inakwisha mara moja!
TUKUZA=LUKU kwanza Zenji!
Friji(2) zangu ni 24/7 ,mama watoto about twice a week anatumia oven/cooker.pasi almost everyday,tv(2), radio, well more than 16 hrs a day(dada wa kazi na watoto wanahusika sana hapa-najuuta kuwafahamu Azam tv).
Naombeni hiyo formula nikakokotoe hesabu nijue pa kujibana!
 
kipimo cha matumizi ya umeme (LUKU) UNIT = 1kWh
maana yake nini ... mtumiaji wa umeme anatumia amperage/electric current (mkondo wa umeme ) unaosukuma na voltage nadharia hii ni sawa na maji na pressure ya maji sasa kuna kitu ambacho mlaji/mtumiaji umeme anakitumia sana
kitaalamu tunaita real power /watt ambacho kipimo chake ni WATT.. na ndio maana vifaa vyote vya umeme majumbani na viwanda ukisoma nameplate/taarifa zakifaa rating ya kifaa inapima na wattage au Horse power ambazo kwa formula ni
real power (watt)= voltage x current x power factor ..
mathematically P= VICOSQ...
kwenye umeme kuna aina nyingi ya mizigo/load/vifaa

kwanza naweza toa maana kidogo ya electrical load


Electrical Load Definition:
the Electrical Load is The part or component in a circuit that converts electricity into light, heat, or mechanical motion. Examples of loads are a light bulb, resistor, or motor.

kwa hivyo basi electrical load ni hivyo vitu kama pasi,jiko la umeme,redio,taa,nk

sasa electrical load zinaweza kuwa classified kwa namna tofauti...na hizi ndio mara nyingi zinajustify consumption ya MLAJI/MTUMIAJI UMEME

Electrical Load Classification and Types:



the electrical loads can be classified into various categories according to various factors as follows:



1- According To Load Nature-1

  • Resistive Electrical Loads.(bulb,heateretc).
  • Inductive Electrical Loads.(motor na vitu vyote vyenye coil)
  • Combination Electrical Loads.


namna ya pili na muhimu hapa ni hii

2- According To Load Operation Time
  • Continuous Electrical Loads.(hapa unapowasha masaa 24/7 mfano unapowasha friji masaa 24/7)
  • Non-Continuous Electrical Loads.(hapa kama vile unavyotumia blender ,heater nk)

zipo classfication nyingi ila kwa kujifunza na kwa umuhimu tuzijue hizi na ndio mara nyingi zina husika sana kwenye huu ukokotozi wa matumizi yako ya kila siku ya umeme

mfano ukitaka kujua taa yako ya energy saver 5W say inakula UNITI ngapi za umeme kwa kuwa yenye resistive load
UNITI=kWh = 5W X muda wote taa itakapokuwa imewasha na kipimo ni kwa masaa
mfano hii taa imewaka masaa mawili
unachukua
5W X2HRS=10wh ambazo ukipeleka kwenye kwh unagawa kwa 1000 utaona umetumia 0.01kwh sawa na 0.01unit

Kumbuka kuna vitu vingi sana vinachangia hili tatizo la watu kuona matumizi makubwa ila kubwa sana na muhimu ni hili
1.wiring mbovu zisizofuata viwango..
2.wiringi zilizochakaa
3.mfumo mbovu wa earthing/earth leakage (wadau juu wameeleza) ..

nashauri wadau zingatieni sana ushauri wataalamu maana kuna matatizo mengi sana yanatokana pasipozingatia ushauri wakitaalamu...


kama unaamini wiringi yako iko vizuri unaweza tumia hayo mahesabu juu ukapata average demand yako ya siku ya umeme...
MUHIMU nikujua rating/uwezo wa vifaa vyako vyote..nyumbani na unavitumia nyakati gani...
 
kipimo cha matumizi ya umeme (LUKU) UNIT = 1kWh
maana yake nini ... mtumiaji wa umeme anatumia amperage/electric current (mkondo wa umeme ) unaosukuma na voltage nadharia hii ni sawa na maji na pressure ya maji sasa kuna kitu ambacho mlaji/mtumiaji umeme anakitumia sana
kitaalamu tunaita real power /watt ambacho kipimo chake ni WATT.. na ndio maana vifaa vyote vya umeme majumbani na viwanda ukisoma nameplate/taarifa zakifaa rating ya kifaa inapima na wattage au Horse power ambazo kwa formula ni
real power (watt)= voltage x current x power factor ..
mathematically P= VICOSQ...
kwenye umeme kuna aina nyingi ya mizigo/load/vifaa

kwanza naweza toa maana kidogo ya electrical load


Electrical Load Definition:
the Electrical Load is The part or component in a circuit that converts electricity into light, heat, or mechanical motion. Examples of loads are a light bulb, resistor, or motor.

kwa hivyo basi electrical load ni hivyo vitu kama pasi,jiko la umeme,redio,taa,nk

sasa electrical load zinaweza kuwa classified kwa namna tofauti...na hizi ndio mara nyingi zinajustify consumption ya MLAJI/MTUMIAJI UMEME

Electrical Load Classification and Types:



the electrical loads can be classified into various categories according to various factors as follows:



1- According To Load Nature-1

  • Resistive Electrical Loads.(bulb,heateretc).
  • Inductive Electrical Loads.(motor na vitu vyote vyenye coil)
  • Combination Electrical Loads.


namna ya pili na muhimu hapa ni hii

2- According To Load Operation Time
  • Continuous Electrical Loads.(hapa unapowasha masaa 24/7 mfano unapowasha friji masaa 24/7)
  • Non-Continuous Electrical Loads.(hapa kama vile unavyotumia blender ,heater nk)

zipo classfication nyingi ila kwa kujifunza na kwa umuhimu tuzijue hizi na ndio mara nyingi zina husika sana kwenye huu ukokotozi wa matumizi yako ya kila siku ya umeme

mfano ukitaka kujua taa yako ya energy saver 5W say inakula UNITI ngapi za umeme kwa kuwa yenye resistive load
UNITI=kWh = 5W X muda wote taa itakapokuwa imewasha na kipimo ni kwa masaa
mfano hii taa imewaka masaa mawili
unachukua
5W X2HRS=10wh ambazo ukipeleka kwenye kwh unagawa kwa 1000 utaona umetumia 0.01kwh sawa na 0.01unit

Kumbuka kuna vitu vingi sana vinachangia hili tatizo la watu kuona matumizi makubwa ila kubwa sana na muhimu ni hili
1.wiring mbovu zisizofuata viwango..
2.wiringi zilizochakaa
3.mfumo mbovu wa earthing/earth leakage (wadau juu wameeleza) ..

nashauri wadau zingatieni sana ushauri wataalamu maana kuna matatizo mengi sana yanatokana pasipozingatia ushauri wakitaalamu...


kama unaamini wiringi yako iko vizuri unaweza tumia hayo mahesabu juu ukapata average demand yako ya siku ya umeme...
MUHIMU nikujua rating/uwezo wa vifaa vyako vyote..nyumbani na unavitumia nyakati gani...

Umetoe elimu nzuri sana
 
Fridge ina mota...'induction power'...na mara nyingi uwa inajiwasha na kujizima...wakati inajiwasha huwa inanyonya umeme mwingi kwa ajili ya hiyo (induction power), starting power inaweza kufika hata 500W ingawa inakuwa kwa muda mfupi. Hivyo kuna uwezekano ongezeko hilo linatokana na frigdge.

Redio unafikia kiwango cha 250 W pale unapofungulia kwa sauti kubwa...maximum volume. Lakini kama redio unafungulia kwa sauti ya chini...kunauwezekano ikawa inatumia just 80 W.
mkuu kama upo sahihi, jana usiku nilizima redio kwa kuichomoa wire kwenye socket na kuiacha fridge ikiwa on kama kawaida, leo asubuhi nikaenda kuangalia score board 'luku' nikanotice nimesave 0.24kwh.
 
Inategemea unawasha kwa muda gani.. kwa mfano kila kifaa ukikiwasha kwa saa moja;
1. fridge itakula 0.09Kwh
2. radio itakula 0.25Kwh...

nimerudi na jibu mkuu, jana usiku nimezima radio 250W kwa kuichomoa kabisa kwny socket na kuiacha fridge on kama kawaida, leo asubuhi nimeangalia luku inasoma ngapi nikanotice nimesave 0.24kwh so.. sioni kama hii radio ina impact ukizingatia watts zake kuwa kubwa kuliko fridge
 
nimerudi na jibu mkuu, jana usiku nimezima radio 250W kwa kuichomoa kabisa kwny socket na kuiacha fridge on kama kawaida, leo asubuhi nimeangalia luku inasoma ngapi nikanotice nimesave 0.24kwh so.. sioni kama hii radio ina impact ukizingatia watts zake kuwa kubwa kuliko fridge

radio haina impact sana kwasababu unaitumia kwa muda mchache.. waswahili husema haba na haba hujaza kibaba..
 
umeme luku kwangu ni majanga...kwa mfano wa elfu 35 nimepata units 93 kwangu unakaa wiki 2 tu na sina zaidi ya friji na taa hizi energy server na tv basi. umeme unanipa homa sana na hizi nyumba za watu za kupanga namueleze mwenye nyumba ndo kwanza haniskii
 
nimerudi na jibu mkuu, jana usiku nimezima radio 250W kwa kuichomoa kabisa kwny socket na kuiacha fridge on kama kawaida, leo asubuhi nimeangalia luku inasoma ngapi nikanotice nimesave 0.24kwh so.. sioni kama hii radio ina impact ukizingatia watts zake kuwa kubwa kuliko fridge

angalia sehemu ulipoiweka friji yako pasiwe na joto au ventilation mbovu.. kama umeiweka sehemu hizi tajwa.. compressor yake itafanya kazi kubwa zaidi
 
angalia sehemu ulipoiweka friji yako pasiwe na joto au ventilation mbovu.. kama umeiweka sehemu hizi tajwa.. compressor yake itafanya kazi kubwa zaidi

fridge ipo ndani, chumba kina hewa nzuri tu na fridge nimelibanishia kwenye pembe za ukuta
 
hahahahahahahahaha big up sana jf big up sana mwanzisha.mada na big up wachangiaji woote hasa mlio nikosha kwa fomula ya kukokotoa matumizi.ya umeme maana nishaingia kwenye mgogoro wa umeme aisee.
mm nataa 1 ndio kifaa pekee kitumiacho umene labda kuchaji simu laptop lkn nalipa pesa sawa na wenye mafridge na marice cooker na over.

na mda wakurudi home mm ni saa 3 na taa yenyewe huwq haiwaki zaidi ya 3 hrs
 
Friji sio continous electrical load! Intermittent electrical load kutokana na thermostat action.
 
fridge haitakiwi kubana ukutani, inabidi pawe na distance kidogo kama 8".

sawa mkuu nitafanya hivyo.. ila jana kwny kikao cha wapangaji na mwenye nyumba tuliafikiana kila chumba kiwekewe separate meter itakayo hesabu matumizi ya mtu na kulipia jinsi atakavyo tumia
 
umeme luku kwangu ni majanga...kwa mfano wa elfu 35 nimepata units 93 kwangu unakaa wiki 2 tu na sina zaidi ya friji na taa hizi energy server na tv basi. umeme unanipa homa sana na hizi nyumba za watu za kupanga namueleze mwenye nyumba ndo kwanza haniskii

hizi nyumba ni shida yaani hata usipowasha chochote umeme unaenda tu kuna wakati ni bora umtonye kishoka wa tanesco akufanyie mambo
 
Back
Top Bottom