😂😂😂😂😂😂😂😂 Daaha aiseeeee.Mungu anahitaji hela tena? Kwani kashindwa kufanya muujiza bila kusumbia viumne wake watoe fungu la 10% na sadaka?
Kwanini mkuu ???Ujinga uliopitiliza, unakariri vitu tu na kumeza mzima mzima..!!
Kwenye bajeti zako hamna sehemu ya wazazi mkuu?Fedha inatakiwa uwe na nidhamu nayo katika kuitumia. Kanuni ifuatayo imetumika kwenye vyanzo vyako vyote vya fedha ili uwe na mafanikio yenye amani.
Kanuni
•Fungu la kumi 10%
•Akiba 30%
•Matumizi 40%
•Dharura 10%
•Msaada 5%
•Sadaka 5
Jumla 100%
Hii kanuni inafanya kazi katika kila fedha unayopata kama pato lako la mwezi.
Mfano Kama unapata Sh. Laki 5 kwa mwezi (500,000/=) fungu la 10 ni Sh. 50,000/=, hii ni mali ya Mungu si yako. Unatakiwa utoe kanisani kila mwezi, pia hata kama umepewa fedha kama zawadi unapaswa uitolee fungu la 10.
Faida za Fungu la kumi
•Hulinda kazi au biashara unayoifanya dhidi ya adui.
•Magonjwa, ajali(vitu vitakavyokufanya utumie fedha bila mpangilio) n.k yanakuwa mbali nawe.
Akiba 30
•Fedha hii unaiweka kwa matumizi yako ya baadae kama kujenga, kusomesha, kulima, vitega uchumi n.k.
mfano kama pato lako kwa mwezi ni sh. 500,00/= asilimia 30 ni sh. 150,00/=
Matumizi 40
•Fedha hii itatumika kwa matumizi ya kila siku, chakula, maji, umeme n.k
•Hutumika pia kwa matumizi mengine ya starehe, mavazi n.k
•Kama pato lako kwa mwezi ni sh. 500,000/=, asilimia 40 ni sh. 200,000/=
• angalizo matumizi yasizidi fedha hiyo.
Dharura 10
•Hii ni fedha unayotunza kwa ajili ya mambo usiyoyatalajia kama msiba, magonjwa au kukwama jambo lolote n.k.
•Kama pato lako ni sh. 500,000/= unatunza sh. 50,000/= kwa ajili ya dharura kwa mwezi.
Msaada 5%
•Hii ni fedha ya msaada kwa watu wenye shida; watoto yatima, wajane, walemavu n.k
• kama pato lako kwa mwezi ni sh. 500,000/= unatunza sh. 25,000/= kwa ajili ya msaada.
Sadaka 5%
•Kama pato lako kwa mwezi ni sh. 500,000/= tenga sh. 25,000/= kwa ajili ya sadaka kwa mwezi.
•Igawe fedha hii Mara 4 kwa sababu mwezi una jumapili 4 ambapo utapata ni sh. 6,250/=. Hivyo kila jumapili utaenda kutoa sh. 6,250/=.
Kumbuka;
Kitu chochote kinachoitwa sadaka kiombee kabla hujakitoa kama siku mbili 2 au 3 ndipo uitoe sadaka.
•Jaribu na anza hata na kidogo kidogo, kuwa na nidhamu ya fedha uone nayo itakavyokuheshimu.
NB:
#MAENDELEO HAYANA CHAMA#
Ipo kwenye msaadaKwenye bajeti zako hamna sehemu ya wazazi mkuu?
Kibongo bongo haitekelezekiFedha inatakiwa uwe na nidhamu nayo katika kuitumia. Kanuni ifuatayo imetumika kwenye vyanzo vyako vyote vya fedha ili uwe na mafanikio yenye amani.
Kanuni
•Fungu la kumi 10%
•Akiba 30%
•Matumizi 40%
•Dharura 10%
•Msaada 5%
•Sadaka 5
Jumla 100%
Hii kanuni inafanya kazi katika kila fedha unayopata kama pato lako la mwezi.
Mfano Kama unapata Sh. Laki 5 kwa mwezi (500,000/=) fungu la 10 ni Sh. 50,000/=, hii ni mali ya Mungu si yako. Unatakiwa utoe kanisani kila mwezi, pia hata kama umepewa fedha kama zawadi unapaswa uitolee fungu la 10.
Faida za Fungu la kumi
•Hulinda kazi au biashara unayoifanya dhidi ya adui.
•Magonjwa, ajali(vitu vitakavyokufanya utumie fedha bila mpangilio) n.k yanakuwa mbali nawe.
Akiba 30
•Fedha hii unaiweka kwa matumizi yako ya baadae kama kujenga, kusomesha, kulima, vitega uchumi n.k.
mfano kama pato lako kwa mwezi ni sh. 500,00/= asilimia 30 ni sh. 150,00/=
Matumizi 40
•Fedha hii itatumika kwa matumizi ya kila siku, chakula, maji, umeme n.k
•Hutumika pia kwa matumizi mengine ya starehe, mavazi n.k
•Kama pato lako kwa mwezi ni sh. 500,000/=, asilimia 40 ni sh. 200,000/=
• angalizo matumizi yasizidi fedha hiyo.
Dharura 10
•Hii ni fedha unayotunza kwa ajili ya mambo usiyoyatalajia kama msiba, magonjwa au kukwama jambo lolote n.k.
•Kama pato lako ni sh. 500,000/= unatunza sh. 50,000/= kwa ajili ya dharura kwa mwezi.
Msaada 5%
•Hii ni fedha ya msaada kwa watu wenye shida; watoto yatima, wajane, walemavu n.k
• kama pato lako kwa mwezi ni sh. 500,000/= unatunza sh. 25,000/= kwa ajili ya msaada.
Sadaka 5%
•Kama pato lako kwa mwezi ni sh. 500,000/= tenga sh. 25,000/= kwa ajili ya sadaka kwa mwezi.
•Igawe fedha hii Mara 4 kwa sababu mwezi una jumapili 4 ambapo utapata ni sh. 6,250/=. Hivyo kila jumapili utaenda kutoa sh. 6,250/=.
Kumbuka;
Kitu chochote kinachoitwa sadaka kiombee kabla hujakitoa kama siku mbili 2 au 3 ndipo uitoe sadaka.
•Jaribu na anza hata na kidogo kidogo, kuwa na nidhamu ya fedha uone nayo itakavyokuheshimu.
NB:
#MAENDELEO HAYANA CHAMA#
Msome Mkuu Kiranga hapo juuAnakosea sema si mlauumu maana labda alifundishwa tyu vibaya
Ni rahisi sana kusema kuliko uhalisia. Yaani upate 500,000 na matumizi yawe 200,000? Labda kama hiyo 500,000 unaivuna sehemu hiyo hiyo unayoamkia na kulala, hauna mke/mme na watoto (familia), si mpangaji wa nyumba za watu na unaishi sehemu ambako mahitaji hayakumbani na mfumko mkubwa wa bei. Mfano mtu unaeishi Dar na unalazimika kupanda magari mawili hadi kufika kazini kwako ambako mwisho wa mwezi utavuna hiyo 500,000/= kwa siku utatumia shilingi ngapi pamoja na kula? Nauli tu kwenda na kurudi ni karibia 3,000/= na ukiweka na chai na chakula cha mchana tu tuseme kwa kujibana iwe 5,000/= jumla kwa siku imeshakuwa 8,000/=. Kama kwa mwezi unalazimika kufanya kazi kwa siku 6 ni 48,000/= na kwa mwezi tayari ni 200,000/=. Hapo haujaweka hesabu ya chakula cha usiku na mahitaji mengine ya binafsi na kama una familia haujaweka mahitaji binafsi ya mwenza, watoto, wazazi na mahitaji ya pamoja kama familia kama vile kodi ya nyumba kwa mpangaji, chakula, bills za umeme, maji, king'amuzi n.k. Ndiyo maana nasema ni rahisi kusema ila kiuhalisia ni ngumu.Matumizi 40
•Fedha hii itatumika kwa matumizi ya kila siku, chakula, maji, umeme n.k
•Hutumika pia kwa matumizi mengine ya starehe, mavazi n.k
•Kama pato lako kwa mwezi ni sh. 500,000/=, asilimia 40 ni sh. 200,000/=
• angalizo matumizi yasizidi fedha hiyo.
Peleka kwa wasiojiweza hata matajiri wanafanya tena wapo sahihi kupeleka moja kwa moja kwa walengwa kama wahanga wa dhoruba ,mayatima ,wagonjwa na mafukara.Nimescreenshot shukrani ila nna swali..
Izo 15% za fungu la Kumi na sadaka inamaana wasio na imani zinaenda wapi? Pia umesema tutoe kanisani ulimaanisha na msikitini au waislam hawana?
Ila izo 85% nimezielewa. Nilitaka iyo 15% nikaongezee kwenye 85%
KabisaOngezea kwenye kusaidia watu wengine Mkuu
Mimi binasfi nalipwa 400,000 kutoka kwenye kibarua changu maana sio ajira.
Niko nna familia , kila siku kwa kubana sana nyumbani inatumika 7,000
Kodi ya nyumba kwa mwezi 80,000.
Bili za maji umeme na taka 20,000
Mtoto shule kila mwezi 30,000
Nauli ya kazini kwa mwezi haipungu 35,000.
Matumizi mengine kama dawa za meno sabuni mafuta nk haipingui 10,000
Jumla inakaribia 360,000
Sasa hapo mleta mada ukisema utoe tu fungu la kumi 40,000 sadaka, akiba , msaada dharura ni vipi itawezekana?
Nitoe fungu la kumi nimpe ''askofu'' Gwajima au Mwamposa? Unatania wewe!Apo imeandika ivyo kutakana na imani yangu ila kama ni muislamu inabidi akatoe msikitini course pia wana zaka na taratibu zao