Fahamu immobilizer system kwenye gari

Umeshakutana na watoto warumumba eeeeh wamekukalisha vya kutosha eeeeh code utume japaniii aaah jamaniii hata kama sina ila sio hvyo punguzeniii mazingira ya kupiga pesaaa
 
Rumion.
Nissan Dualis.
IST new model

Possibly hao labda wanaibiwa through wanaochonga funguo.

Kwenye gari immobilizer inailink funguo na Control box (ECU).

kazi ya immobilizer ni kuiambia ECU kwamba hii funguo ni sahihi na hii siyo sahihi.

Kwa gari yenye immobilizer hakuna mtu atakuibia ndani ya dakika chache tu awe ameondoka na gari. Ni kazi ya muda mrefu na huyo mtu lazima awe pro na obvious hawezi fanya kazi kama hiyo.

Kuna namna kwenye gari unaweza kuangalia funguo ngapi zipo registered and unaweza kudisable baadhi ya funguo ili zisiweze kutumika kwenye hilo gari.
 
Je ulishawahi kusikia watu au fundi anakuambia gari limeingia kwenye immobilizer na ukashindwa kufahamu nini?

Immobilizer ni mfumo wa security ya funguo katika gari. Mfumo huu umewekwa ili kudhibiti wizi wa magari, kwani mtu akichonga funguo aina sawa na gari hawezi kuliwasha.

JINSI MFUMO UNAVOFANYA KAZI

Mfumo huu unafanya kazi kutokana na sensor(transponder) ambayo inakua kwenye funguo wa gari husika, sensor hii hutumika kama utambuzi wa funguo ni sahihi wa gari hilo au la,kama ni sahihi basi sensor hiyo hutoa signal kwenye immobilizer, na immobilizer huruhusu mfumo wa mafuta, spark na ignition kufanya kazi na kuwezesha gari kuwaka.

Kama funguo itakua ni tofauti, basi immobilizer hupata signal tofauti, hivyo basi huzuia mfumo wa mafuta, spark na starter kufanya kazi na kupelekea gari kuto kuwaka.

VITU VINAVYO SABABISHA GARI KUINGIZA FAULT YA IMMOBILIZER

Kwanza kabisa ni ufunguo wa gar kupotea, hii husababisha gari kutokuwaka hata pale utakapochonga ufunguo sawa na wa mwanzo. Kwani inahitajika kuprogram sensor nyingine ambayo itawekwa kwenye ufunguo ili kuwezesha gari kuwaka.

Kudondosha funguo mara kwa mara hii husababisha sensor kuvunjika kwa ndani, pia funguo kuingiliwa na maji kwani hua yanatengezeza unyevu ambao pia una haribu ile sensor na kusababisha gari kuto kuwaka.

BAADHI YA ALAMA ZA TAA KWENYE GARI ILI KUJUA GARI KAMA IMEINGIA KWENYE IMMOBILIZER
9626ce6e847a4927b56237fef894f6c9.jpg
8202bd9564cfe57ee09806a39af309e2.jpg
1330d3fd01797f349fd693096a9817a3.jpg

KAMA UNA SWALI USISITE KUULIZA
KWA MAWASILIANO ZAIDI;-
Phone:+255714704097
Email:info@wakudesahrt.com
Website:www.wakudesahrt.com
Huu mfumo ni mzuri ila sasa restriction ni nyingi mnoo mfano funguo za gari kuangushwa ni kitu kisichoepukika nature kamanmtu ana vitoto vidogo ndani hapo ndio kabisaa

Wajitahidi wapunguze izo restrictions, kuna dualis moja nimeliona lina iyo immobilizer nika rush humunJF nijue ni nininlkn baada ya kusoma huu uzi ah nimelichukia ilo li gari tayar
 
Back
Top Bottom