Eti Mabaharia ambao huwa mnafeli kupata namba za Warembo huwa Mnafeli wapi?

Etugrul Bey

JF-Expert Member
Aug 6, 2020
3,893
7,426
Nipo Coco beach now nimepitia hapa kupunga upepo kwani niliumiss flan hivi.

Kulia kwangu kuna Akina dada wanapanda farasi huku wanapiga picha kuweka kumbukumbu,nyuma kidogo kuna wamasai ambao wamechill Chini ya mnazi wanawaza mambo yao, mbele yangu wanapita wadada watatu wa kizungu wanafurahia Jambo Fulani kutokana na mwonekano wao.

Sasa hivi kuna mwamba mmoja anapita na mtoto mkali wa kizungu, halafu huyu mwamba anaswaga za old school coz ameshika Redio kubwa na mapiano ndiyo Ngoma inayosikika.

Kwa mbali kuna wadau wanaogelea na wanainjoy kana kwamba hawana madeni kabisa.

Kwa kifupi we are having gud time hapa.

Anyways ngoja nifungue code husika

Upande wa kushoto kama Mita 50 toka nilipokaa kuna mabinti wawili wamechill kwenye viti vya plastic, mara mwamba mmoja anagitaa mkononi akawasogelea na kubadilishana mawili matatu, jamaa naona ni wale jamaa wanaotumbuiza Kwa malipo.

Mara jamaa anaanza kuimba na huku anapiga gitaa lake, nafuatilia Kwa Makini Sana kama muandishi WA Al Jazeera!

Naona jamaa kamaliza kisha kuna jambo kaongea halafu watoto Wazuri wakaanza kucheka, nikaongeza umakini zaidi coz Kule Cuba tulifundishwa tuwe Makini zaidi na watu ambao wako na furaha Sana au huzuni Sana coz huwa wanajisahau na kuuza mafaili yao.

Mara jamaa anatoa Simu yake na kumkabidhi binti mmoja na mara paap binti anabonyeza bonyeza kumaanisha anampa namba mwamba, na Simu inarudishwa kwa mwamba na furaha inatawala pale.

Swali langu je Mabaharia mnafeli wapi kupata namba za Warembo?

Huu Uzi unakujia live toka Coco beach

Ngoja niendelee kuinjoy.

Ni hayo Tu!
 
Waulize beach boys.
Beach boys si unajua mambo Yao, wanatoa sound za kuwafundisha mabinti kuogelea na wakiingia laini huwa Kwa asilimia kubwa huwa hawatoki salama,wanapelekwa maji marefu na maboya kisha Wana wanafanya mambo yao
 
Kuchukua namba kwa pisi ni ngumu sana na pia ni rahisi sana. Inategemeana na pisi yenyewe
Ila mara nyingi ukifanikiwa kumfanya demu acheke Kwa maongezi yako, kuna asilimia kubwa ya kufanikiwa, mwamba nae alipitia humo humo
 
Lakini pia wataalamu wa mambo wanasema manzi hacheki hovyo hovyo kama hajamuelewa mchekeshaji. Mwanamke akimuelewa mchekeshaji anaweza akacheka hata asipochekeshwa
Sawa kabisa mkuu juu ya Jambo Hilo

Bilashaka mwamba alitumia mbinu hiyo ya kivita kunasa namba ya mrembo baada ya kuona green light IPO on
 
Nipo Coco beach now nimepitia hapa kupunga upepo kwani niliumiss flan hivi.

Kulia kwangu kuna Akina dada wanapanda farasi huku wanapiga picha kuweka kumbukumbu,nyuma kidogo kuna wamasai ambao wamechill Chini ya mnazi wanawaza mambo...
Ahh.. Tatizo unaweza pewa Namba na huo mda wa kufatilia ukakosa
 
1669643484840.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom