mzushi flani
JF-Expert Member
- Jan 20, 2020
- 1,627
- 2,471
StanzaSio la kishua, ila mademu wa masaki nadhani wanalijua.../
Limetamba sana huko insta, ma modo wengi wamepigia nalo picha.../
Hizi ndio Ilani za geto kwa mgeni, kama ni demu ingia chumbani usikae subuleni.../
Wali wa jana mwiko kuita kiporo, ukija asubuhi utanikuta nje naanika godoro.../
Ratiba ya usafi wa ndani ni moja tu kwa wiki, kama mashuka siku niliyofua hata sikumbuki.../
Jiji la mabaharia linakosaje bahari, na ndio maana geto sina kitasa natumia komeo ya msumari.../
Karibu geto jiskie uko kwenu bibie, unatumia kinywaji gani nipe hela nikakununulie.../
Si unajua sijapata deal tangu magu aingie, umeoga ila gheto sina losheni vipi nikupe korie?.../
mstari wa mwisho balaa.Mgeni karibu gheto, viatu usivue hata kama ni mpoto.../
Sipendi ubosi, na ndio maana geto sijaweka kochi.../
Usijilete ukiwa soft, ukiweka channel za sultan mi nanyang'anya remote.../
Si unajua hili Gheto la muhuni, basi ukisikia muasho kausha hao ni kunguni.../
Kama unataka kuoga nenda bafuni, kumbuka sina demu kwaiyo usimalize sabuni.../
π π π π mbona kama mwandiko wako unawivu kwa ndaniUnamlisha maneno mummy
Nilielewa lkniπ πNilitaka kuuliza sema nimesahau kuweka kiulizo
Ndio inavyotakiwa kwa mtoto wa kike, sio kuingiza midume inapishana ghetto kila saa. Hata kama sio mhuni, watu watakujaji kuwa hujatulia.Huyu ni mimi kabisa
Anaeingia kwangu ni mdogo wangu na rafiki angu mmoja hivi wa kike. Walio baki tutakutana kaunta
MkuuNilielewa lkni
Sijui maana yake mkuuMkuu
Metenyeki maana yake nini ??
Roho mbaya ulijifunzia wapiHamna neno sipendi kulitumia kama Gheto ....
Japo sina na sijawahi leta rafiki kwangu ila kama ikitokea...
huwa nasemaga hata iweje Kwangu silali na mgeni,never "siruhusu"...
wewe njoo jicheleweshe wee jivute vute wee ila hata ifke usiku wa sa 8 ntaita uber usepe...
si shuleni...Roho mbaya ulijifunzia wapi
me hii pia nilishakataagheto ni mahali patakatifu,,
hakuna msela kuleta demu wake amle kimasihara gheto kwangu.....
bob ngoma gani hii!? au ni vina vyako.Mgeni karibu gheto, viatu usivue hata kama ni mpoto.../
Sipendi ubosi, na ndio maana geto sijaweka kochi.../
Usijilete ukiwa soft, ukiweka channel za sultan mi nanyang'anya remote.../
Si unajua hili Gheto la muhuni, basi ukisikia muasho kausha hao ni kunguni.../
Kama unataka kuoga nenda bafuni, kumbuka sina demu kwaiyo usimalize sabuni.../
Ni freestyle tu kuhusiana na mada husikabob ngoma gani hii!? au ni vina vyako.
mzeee ww unajua sana.Ni freestyle tu kuhusiana na mada husika
ππππππUkiingia geto kwangu kwa ME unapewa kiti na maji ya kisima kwa KE unakaa kitandani na soda anajichagulia toka kwenye fridge