mzushi flani
JF-Expert Member
- Jan 20, 2020
- 1,627
- 2,471
sifa ya geto ni kua halina sheria, machizi wakija wote wanajisikia wako nyumbani,. exile ni kitu cha kawaida japo unalipa kodi wewe.. likiwa na sheria hilo sio geto tena, ni chumba chako tu. ndo maana hua napingana na wadada wanaosema anaishi/ana ghetto lake..
"NAOMBA MSIFANANISHE GHETTO NA VYUMBA VYENU VYA KUISHI"..
"NAOMBA MSIFANANISHE GHETTO NA VYUMBA VYENU VYA KUISHI"..