Eti ghetto kwako umeweka sheria gani kwa wageni wako?

sifa ya geto ni kua halina sheria, machizi wakija wote wanajisikia wako nyumbani,. exile ni kitu cha kawaida japo unalipa kodi wewe.. likiwa na sheria hilo sio geto tena, ni chumba chako tu. ndo maana hua napingana na wadada wanaosema anaishi/ana ghetto lake..

"NAOMBA MSIFANANISHE GHETTO NA VYUMBA VYENU VYA KUISHI"..
 
Sio la kishua, ila mademu wa masaki nadhani wanalijua.../

Limetamba sana huko insta, ma modo wengi wamepigia nalo picha.../

Hizi ndio Ilani za geto kwa mgeni, kama ni demu ingia chumbani usikae subuleni.../

Wali wa jana mwiko kuita kiporo, ukija asubuhi utanikuta nje naanika godoro.../

Ratiba ya usafi wa ndani ni moja tu kwa wiki, kama mashuka siku niliyofua hata sikumbuki.../

Jiji la mabaharia linakosaje bahari, na ndio maana geto sina kitasa natumia komeo ya msumari.../

Karibu geto jiskie uko kwenu bibie, unatumia kinywaji gani nipe hela nikakununulie.../

Si unajua sijapata deal tangu magu aingie, umeoga ila gheto sina losheni vipi nikupe korie?.../
Stanza
 
Ili liitwe geto lazma kuwe na movements zisizokwisha yaani huyu kaingia wawili wametoka mwingine Kalala, hakuna geto la mtu mmoja
geto akija demu wana wanaaga kila mtu na mtindo wake alaf badae wanauliza swali moja tu "UMEKULA TUNDA?"
geto ni ngumu sana kuskia nyimbo ya lulu diva au gigi mane
geto ni mahari ambapó kama hujachanga huli
Geto ni mahari ambapo cabinet ya kumtongoza demu na Vikao vyote mpaka tunda linaliwa hukaliwa no

.......
 
Mgeni karibu gheto, viatu usivue hata kama ni mpoto.../

Sipendi ubosi, na ndio maana geto sijaweka kochi.../

Usijilete ukiwa soft, ukiweka channel za sultan mi nanyang'anya remote.../

Si unajua hili Gheto la muhuni, basi ukisikia muasho kausha hao ni kunguni.../

Kama unataka kuoga nenda bafuni, kumbuka sina demu kwaiyo usimalize sabuni.../
mstari wa mwisho balaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu ni mimi kabisa

Anaeingia kwangu ni mdogo wangu na rafiki angu mmoja hivi wa kike. Walio baki tutakutana kaunta
Ndio inavyotakiwa kwa mtoto wa kike, sio kuingiza midume inapishana ghetto kila saa. Hata kama sio mhuni, watu watakujaji kuwa hujatulia.
 
Hamna neno sipendi kulitumia kama Gheto ....

Japo sina na sijawahi leta rafiki kwangu ila kama ikitokea...

huwa nasemaga hata iweje Kwangu silali na mgeni,never "siruhusu"...

wewe njoo jicheleweshe wee jivute vute wee ila hata ifke usiku wa sa 8 ntaita uber usepe...
 
Hamna neno sipendi kulitumia kama Gheto ....

Japo sina na sijawahi leta rafiki kwangu ila kama ikitokea...

huwa nasemaga hata iweje Kwangu silali na mgeni,never "siruhusu"...

wewe njoo jicheleweshe wee jivute vute wee ila hata ifke usiku wa sa 8 ntaita uber usepe...
Roho mbaya ulijifunzia wapi
 
Mgeni karibu gheto, viatu usivue hata kama ni mpoto.../

Sipendi ubosi, na ndio maana geto sijaweka kochi.../

Usijilete ukiwa soft, ukiweka channel za sultan mi nanyang'anya remote.../

Si unajua hili Gheto la muhuni, basi ukisikia muasho kausha hao ni kunguni.../

Kama unataka kuoga nenda bafuni, kumbuka sina demu kwaiyo usimalize sabuni.../
bob ngoma gani hii!? au ni vina vyako.
 
Duuuuh mie huyu ghetto kwangu aingie mtu? Kwa lipi? Ili iweje? Akaaaah hicho kityu hakiwezekan kabisaa,

Tukutane huko nje kila m1 ashike road ya kwake lol.
 
Back
Top Bottom