Omutwale
JF-Expert Member
- Feb 4, 2008
- 1,429
- 1,047
Bhayandaa,
Si mwongeee na Kijita kidogo mfano muniambia maana ya haya maneno kwa kijita
1: Huo ni mtumbwi wa nani?
2:Mama yako anaitwa nani?
3:Muulize mtu je anaenda kulala huko au anrudi?
4: Jiwe la kusugulia machacha ya miguu linaitwaje
wengine hatuelewi kihaya kiivyo, Mwakola waitu, waghalailayoooo m'kaaa
1: Huo ni mtumbwi wa nani?
Bwato bwa nani?