Dkt. Slaa adokeza kuwa amepata habari Deus Soka atauawa leo na kutupwa kwenye msitu

Hakuna watu wenye roho katili na mbaya kama wtz...
Ila huu ukatili wao wanaofanya unazidi kuwalisha sumu watu
Watazidi kuwa sugu

Ova
Swali fikirishi je watu wataendelea kunyamaza kwa muda gani, je
madhara ya kunyamaza tunayajua, (silent society), silence surrenders public responsibility, (,bora liende)
 
habari hiyo ni kwa mujibu wa Tweeter ukimnukuu Dr. Slaa


TAARIFA!! TAARIFA!! TAARIFA!!

Taarifa niliyoisikia toka kwa Dr. SLAA (amesema akiwa public) ni kwamba amepewa taarifa na watu wema kuwa AMRI imetolewa ya Ndg. SOKA kuuawa usiku wa leo (kabla ya saa 8) kwenye moja ya misitu nje kidogo ya DSM. Amesema, jopo la kutekeleza mkakati

View attachment 3075985


Pia soma:KWELI - Dkt. Slaa asema amepata taarifa kuwa Deusdadit Soka atauawa na kutupwa msituni
Duh...!.
P
 
Kwa sababu nchi imejaa watu wasio hai kama ilivyo semwa na kiongozi mmoja nchi jirani basi wamekaa tu bila kuchukua hatua yoyote.

Dr. Slaa hakutaka kufikisha ujumbe tu na watu waishie kusikitika. Alitaka wajiongeze na kwenda sehemu iliyo tajwa na kuomba kijjana huyo afunguliwe.
 
habari hiyo ni kwa mujibu wa Tweeter ukimnukuu Dr. Slaa


TAARIFA!! TAARIFA!! TAARIFA!!

Taarifa niliyoisikia toka kwa Dr. SLAA (amesema akiwa public) ni kwamba amepewa taarifa na watu wema kuwa AMRI imetolewa ya Ndg. SOKA kuuawa usiku wa leo (kabla ya saa 8) kwenye moja ya misitu nje kidogo ya DSM. Amesema, jopo la kutekeleza mkakati

View attachment 3075985


Pia soma:KWELI - Dkt. Slaa asema amepata taarifa kuwa Deusdadit Soka atauawa na kutupwa msituni
Mwendazake alianguka sababu ya matendo maovu kama hayai

Utawala huu hakika utaanguka kwa matendo kama haya
 
Ni wapi nchi inaelekea? Haya mpaka lini? Nani wa kumfunga paka kengele?
Wanataka msiwaseme wala kuwabugudhi wanapouza nchi na Kula nchi wao na familia zao

Hawazidi familia 20 lakini wanaitaabisha nchi ya watu mil ,60
 
habari hiyo ni kwa mujibu wa Tweeter ukimnukuu Dr. Slaa


TAARIFA!! TAARIFA!! TAARIFA!!

Taarifa niliyoisikia toka kwa Dr. SLAA (amesema akiwa public) ni kwamba amepewa taarifa na watu wema kuwa AMRI imetolewa ya Ndg. SOKA kuuawa usiku wa leo (kabla ya saa 8) kwenye moja ya misitu nje kidogo ya DSM. Amesema, jopo la kutekeleza mkakati

View attachment 3075985


Pia soma:KWELI - Dkt. Slaa asema amepata taarifa kuwa Deusdadit Soka atauawa na kutupwa msituni
Watanzania tutakua kimya ndgu zetu wanatekwa na kuuwawa kihuni hivi mpaka lini?? Hakika hakuna alie salama ni swala la muda tu.
 
Uko sawa mkuu 'Stuxnet'. Lakini usisahau pia kwamba polisi hao hao huwa hawasubiri kuzuia maandamano, kwa mfano kwa sababu kama hizo hizo za Slaa. Tena usisahau kuwa huyo anaye semwa kuuwawa tayari katekwa, au hata hilo hulijui?
Siku hizi unanishangaza sana ninapo kusoma humu.
Je ndugu huyu Dr Slaa ameshauona mwili wa Deusdedith Soka? Basi atupe update
 
Je ndugu huyu Dr Slaa ameshauona mwili wa Deusdedith Soka? Basi atupe update
Sielewi kwa nini unaniuliza mimi swali hilo. Kwa nini usiwaulize polisi huyo kijana alipo muda wote huu. Kama kavunja sheria, kwa nini taratibu zinazo fahamika hazifuatwi?

Inashangaza sana watu na akili zenu timamu mnalemewa kabisa na ushabiki tu wa kisiasa namna hii.
 
habari hiyo ni kwa mujibu wa Tweeter ukimnukuu Dr. Slaa


TAARIFA!! TAARIFA!! TAARIFA!!

Taarifa niliyoisikia toka kwa Dr. SLAA (amesema akiwa public) ni kwamba amepewa taarifa na watu wema kuwa AMRI imetolewa ya Ndg. SOKA kuuawa usiku wa leo (kabla ya saa 8) kwenye moja ya misitu nje kidogo ya DSM. Amesema, jopo la kutekeleza mkakati

View attachment 3075985


Pia soma:KWELI - Dkt. Slaa asema amepata taarifa kuwa Deusdadit Soka atauawa na kutupwa msituni
Mungu msaidie mja wako
 
Back
Top Bottom