Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 12,913
- 12,008
Swali fikirishi je watu wataendelea kunyamaza kwa muda gani, jeHakuna watu wenye roho katili na mbaya kama wtz...
Ila huu ukatili wao wanaofanya unazidi kuwalisha sumu watu
Watazidi kuwa sugu
Ova
madhara ya kunyamaza tunayajua, (silent society), silence surrenders public responsibility, (,bora liende)