Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 3,353
- 6,639
Raisi mpaka Leo hajaongea kitu kuhusu hili janga la utekaji na mauaji, inasikitisha sana na inaonyesha jinsi asivyosijali
Wasiwasi wangu ni kuweka hizi Tetesi halafu zisiwe za kwelihabari hiyo ni kwa mujibu wa Tweeter ukimnukuu Dr. Slaa
TAARIFA!! TAARIFA!! TAARIFA!!
Taarifa niliyoisikia toka kwa Dr. SLAA (amesema akiwa public) ni kwamba amepewa taarifa na watu wema kuwa AMRI imetolewa ya Ndg. SOKA kuuawa usiku wa leo (kabla ya saa 8) kwenye moja ya misitu nje kidogo ya DSM. Amesema, jopo la kutekeleza mkakati
View attachment 3075985
Pia soma:KWELI - Dkt. Slaa asema amepata taarifa kuwa Deusdadit Soka atauawa na kutupwa msituni
Akina Mama wakiamua kuwa wakatili wanatekeleza huo ukatili kwa nguvu zote ili kuonyesha wanaweza.Failed State
Deus Soka ni nani?habari hiyo ni kwa mujibu wa Tweeter ukimnukuu Dr. Slaa
TAARIFA!! TAARIFA!! TAARIFA!!
Taarifa niliyoisikia toka kwa Dr. SLAA (amesema akiwa public) ni kwamba amepewa taarifa na watu wema kuwa AMRI imetolewa ya Ndg. SOKA kuuawa usiku wa leo (kabla ya saa 8) kwenye moja ya misitu nje kidogo ya DSM. Amesema, jopo la kutekeleza mkakati
View attachment 3075985
Pia soma:KWELI - Dkt. Slaa asema amepata taarifa kuwa Deusdadit Soka atauawa na kutupwa msituni
So what?Dr Slaa ndiye aliyeratibu ziara ya baba Mtakatifu Papa Yohane Paul aliyeketi Kitini pake Mtume Petro akishirikiana na serikali wakati wa serikali ya awamu ya 2
EEEeeeenHeeEeeeeh!Kama una taarifa zote hizi ulishindwaje kumpata au kumfuatilia au ?
Kama alivyohusishwa magufuliSasa Rais Samia anahusikaje hapo?
Polisi wajishughulishe kumkamata Slaa, ila wasifanye lolote kuhusu hao watekaji?Slaa akamatwe Ili atoe ushahidi yaelejea anajua Aliko huyo dogo wenu wa Gen Z
Kuna siku karibuni hivyo vya kwenu havitakuwa salama.Hawa wauaji safari hii hawatafanya makosa kama kwa sativa ni kukata kichwa na kiwiliwili.
Polisi imekana na inafanya Uchunguzi nyie mnasema ni wao Sasa itakuaje? Slaa anajua Aliko bila shaka akasaidie polosiPolisi wajishughulishe kumkamata Slaa, ila wasifanye lolote kuhusu hao watekaji?
Hii mantiki ni ya wapi?
Kwani huu utekaji umeanza leo, kwamba juhudi za polisi kufanya uchunguzi usitiliwe shaka?Polisi imekana na inafanya Uchunguzi nyie mnasema ni wao Sasa itakuaje? Slaa anajua Aliko bila shaka akasaidie polosi
Wanapambana na bila shaka watawafichua wahusika wote.Kwani huu utekaji umeanza leo, kwamba juhudi za polisi kufanya uchunguzi usitiliwe shaka?
Jitulizeni tu, lakini uhalifu hata siku moja hauwezi kuzuia mabadiliko.
Wata pambana vipi wakati walisha ambiwa ni 'drama'! Unaelewa maana ya 'drama' wewe?Wanapambana na bila shaka watawafichua wahusika wote.
Wapambane ioneshe sio dramaWata pambana vipi wakati walisha ambiwa ni 'drama'! Unaelewa maana ya 'drama' wewe?
Semageniherufi "S"
Kwanini unahisi wasaka Urais ndio wanahusika?! Vipi ikiwa ni tofauti?!Wasaka Urais ndani ya ccm wanamuaribia Mama nae katulia tu anajifanya chura kiziwi hajui anajikaanga na mafuta yake.