Dkt. Ananilea Nkya: IGP kusema Rais atapinduliwa ni kutweza utu wa Rais, kuonesha jeshi limeshindwa kumlinda

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Oct 28, 2012
18,923
21,404
Ipo script inazunguka mitandaoni inayojaribu kuonyesha waliokamatwa hawana tuhuma zenye kuhatarisha usalama wa serekali yetu.

Nimeshindwa kuwaelewa zaidi pale wanapoona mtu / watu wanakamatwa kwa kauli zenye utata na hatari kwa taifa letu, Wao kazi yao huwa ni kukemea vikali waachiwe huru.

-Huku wakisahau kwamba walipaswa kuwakemea na kuona ya kwamba lugha walizokuwa wakizitumia hao wanaowatetea hazikuwa sahihi na zilikuwa za kutweza.

Kudhalilisha na kufedhehesha,kwao hilo hawakuliona kabisa, I doubt hizi taasisi si za kutenda haki na kutetea UTU, kwa usawa kama vile zinavyojibinafsi kuwa ni za HAKI.

========

Katika hali ya kawaida, mazingira ya kawaida kabisa, popote duniani raia wa kawaida, hawezi kufanya uhaini. Mtu anayeweza kufanya uhaini ni mtu ambaye ana connectiona na mfumo wa serikali, jeshi au yuko ndani serikalini na ana connection ya jeshi la kuweza kufanya ivyo ili kumfikia rais.
 
Ipo script inazunguka mitandaoni inayojaribu kuonyesha waliokamatwa hawana tuhuma za kutoa kauli zenye kuhatarisha usalama wa serekali yetu.

Nimeshindwa kuwaelewa zaidi pale wanapoona mtu kakamatwa kwa kauli zenye hatari kwa taifa letu, na kukemea vikali waachiwe huru.

.
Hawa wanaojiita watetezi wa haki za binadamu ni watu hatari sana kwani wakati hawa watu wanapotoa lugha za matusi na hatari kwa viongozi wakuu wapo kimya lakini Serikali inapochukua hatua ndipo wanakimbilia vyombo vya habari na kutoa porojo za ovyo
 
Yuko sahihi, hiyo kauli ya IGP inamfanya Samia ambaye ni Amiri Jeshi Mkuu aonekane dhaifu, au ambaye kachokwa na watu sana kiasi cha kustahili kuondolewa madarakani kinguvu.

Na ni kauli inayoleta taharuki nchini

Hawa Maaskari wajifunze kuhusu kesi za kubambikiza, siyo kujitamkia tamkia tu mikosa mikuuuubwa inayoweza kusababisha watu waondoe investments zao, wasilete investments.

Inasababisha nchi imulikwe kwa torch mbaya unnecessarily duniani.
 
Yuko sahihi, hiyo kauli ya IGP inamfanya Samia ambaye ni Amiri Jeshi Mkuu aonekane dhaifu, au ambaye kachokwa na watu sana kiasi cha kustahili kuondolewa madarakani kinguvu.

Na ni kauli inayoleta taharuki nchini

Hawa Maaskari wajifunze kuhusu kesi za kubambikiza, siyo kujitamkia tamkia tu mikosa mikuuuubwa inayoweza kusababisha watu waondoe investments zao, wasilete investments.

Inasababisha nchi imulikwe kwa torch mbaya unnecessarily duniani.
Nia ya Dr.slaa na wenzake ni ovu hata kama hawana uwezo wa kupindua. Wahuni hawa lazima wadhibitiwe.
 
Wahuni wameenda kutengeneza clip ili kufanya justification ya tuhuma zao dhidi ya Dr. Slaa, haiwezekani Dr. Slaa kama aliwahi kutamka maneno yale, tena akiwa na nia ile, halafu sisi wengine wote tusisikie, asikie IGP na vibaraka wake pekee.

Wajinga wameenda kukata sehemu ya maneno ya kwenye interview yake, wakachukua kipande walichoona kinawafaa wao, wakati alikuwa akizungumzia jambo tofauti kabisa.

Vile imeonekana Dr. Slaa alikuwa akizungumza kwa jazba, basi ndio wakajiona wamefanikiwa malengo yao, hivyo wamekuja nacho public kuwadanganya wajinga, ajabu wapo wajinga walioamini, hakuna kitu pale, Samia avunje ule mkataba wa hovyo bandari zetu zirudi mikononi mwetu, asijidanganye na hadaa za kitoto kwetu.
 
Nia ya Dr.slaa na wenzake ni ovu hata kama hawana uwezo wa kupindua. Wahuni hawa lazima wadhibitiwe.
Wewe itakuwa na uelewa mdogo sana. Huelewi hata maana ya nia. Kauli haifanyi kuwa nia bali ukifanya matendo fulani ya kufanikisha jambo fulani, hata kama hukufanikiwa, ndiyo hutengeneza au kuthibitisha kuwa kulikuwa na nia.

Mthalani, unataka kujenga nyumba, ukaandaa vifaa vya ujenzj, ukabeba vifaa vyako vya ujenzi mpaka site. Ukachimba na msingi, bahati mbaya mvua zikawa kubwa. Site nzima ikawa flooded, nyumba ikashindwa kujengwa. Wewe ulikuwa na nia ya kujenga nyumba.

Lakini hukuandaa chochote, hujaandaa pesa, wala mahitaji, hata pesa ya kujengea vyumba viwili tu huna, ukasema tu, mwaka huu lazima nijenge nyumba ya ghotofa 100. Kauli yako hiyo wala haiwezi kutafsiriwa kuwa uliwahi kuwa na nia.
 
Ipo script inazunguka mitandaoni inayojaribu kuonyesha waliokamatwa hawana tuhuma za kutoa kauli zenye kuhatarisha usalama wa serekali yetu.

Nimeshindwa kuwaelewa zaidi pale wanapoona mtu kakamatwa kwa kauli zenye hatari kwa taifa letu, na kukemea vikali waachiwe huru.

Huku wakisahau kwamba walipaswa kuwakemea na kuona lugha waliokuwa wakizitumia hao wanaowatetea hazikuwa sahihi zilikuwa za kutweza.

Kudhalilisha na kufedhehesha, hili hawakuliona kabisa, I doubt hizi taasisi si za kutenda haki kwa usawa kama vile zinavyojibinafsi kuwa ni za HAKI.

========

Katika hali ya kawaida, mazingira ya kawaida kabisa, popote duniani raia wa kawaida, hawezi kufanya uhaini. Mtu anayeweza kufanya uhaini ni mtu ambaye ana connectiona na mfumo wa serikali, jeshi au yuko ndani serikalini na ana connection ya jeshi la kuweza kufanya ivyo ili kumfikia rais.
Tanzania inawezekana hata wanafunzi wa shule ya msingi kufanya uhaini mradi tu wawe wa uswahilini.
 
Tuna case study ya Zanzibar mapinduzi kufanywa na John Okello bila kua na silaha za msingi. Ninaelewa hii ilitokana pia na Zanzibar kua kisiwa na kukosa jeshi imara.

Ila tuna hiyo case study mkuu.
 
Ipo script inazunguka mitandaoni inayojaribu kuonyesha waliokamatwa hawana tuhuma za kutoa kauli zenye kuhatarisha usalama wa serekali yetu.

Nimeshindwa kuwaelewa zaidi pale wanapoona mtu kakamatwa kwa kauli zenye hatari kwa taifa letu, na kukemea vikali waachiwe huru.

Huku wakisahau kwamba walipaswa kuwakemea na kuona lugha waliokuwa wakizitumia hao wanaowatetea hazikuwa sahihi zilikuwa za kutweza.

Kudhalilisha na kufedhehesha, hili hawakuliona kabisa, I doubt hizi taasisi si za kutenda haki kwa usawa kama vile zinavyojibinafsi kuwa ni za HAKI.

========

Katika hali ya kawaida, mazingira ya kawaida kabisa, popote duniani raia wa kawaida, hawezi kufanya uhaini. Mtu anayeweza kufanya uhaini ni mtu ambaye ana connectiona na mfumo wa serikali, jeshi au yuko ndani serikalini na ana connection ya jeshi la kuweza kufanya ivyo ili kumfikia rais.
Mashtaka ya uongo ya Jeshi la Polisi Tanzania (PT) ili kunyamazisha sauti zenye kutaka haki kutemdeka yana mantiki sawa na ile iliyopo nyuma ya simulizi ya kijana mwenye kutoa kilio cha uongo cha tishio la kumuona simba ili apate kuwasumbua wanakijiji kwa makusudi waje kumuokoa wakiaamini yupo hatarini.

Haikubaliki kabisa na vitendo vya PT kuwahusisha baadhi ya watu wasiohusika kabisa na tuhuma kubwa kama za ugaidi ama uhaini kwa nia ovu ya kuwakomoa ili kulinda tu maslahi binafsi ya watawala na kikundi cha watu wachache walio na hila mbovu.

Kuna siku simba kweli atatokea na kumrarua kijana huku wanakijiji wakiuchuna na kuamini kijana anafanya mizaha yake. Lazima PT litambue mipango na maandalizi ya mapinduzi ya kijeshi ama uhaini inaratibiwa kwa kuwahusika maafisa waandamizi wa vyombo nyeti vya ulinzi na usalama, ambao ni sawa na "simba" mwenyewe ndani ya pori lake mwenyewe.

Masihala na mizaha huleta usaha. Shauri zenu.
 
Ipo script inazunguka mitandaoni inayojaribu kuonyesha waliokamatwa hawana tuhuma za kutoa kauli zenye kuhatarisha usalama wa serekali yetu.

Nimeshindwa kuwaelewa zaidi pale wanapoona mtu kakamatwa kwa kauli zenye hatari kwa taifa letu, na kukemea vikali waachiwe huru.

Huku wakisahau kwamba walipaswa kuwakemea na kuona lugha waliokuwa wakizitumia hao wanaowatetea hazikuwa sahihi zilikuwa za kutweza.

Kudhalilisha na kufedhehesha, hili hawakuliona kabisa, I doubt hizi taasisi si za kutenda haki kwa usawa kama vile zinavyojibinafsi kuwa ni za HAKI.

========

Katika hali ya kawaida, mazingira ya kawaida kabisa, popote duniani raia wa kawaida, hawezi kufanya uhaini. Mtu anayeweza kufanya uhaini ni mtu ambaye ana connectiona na mfumo wa serikali, jeshi au yuko ndani serikalini na ana connection ya jeshi la kuweza kufanya ivyo ili kumfikia rais.
Kwa hio hapo lumumba akili zenu zinaamini kuna uhain? naomba ujibu hili swali ili nije mazima.
 
Hawa wanaojiita watetezi wa haki za binadamu ni watu hatari sana kwani wakati hawa watu wanapotoa lugha za matusi na hatari kwa viongozi wakuu wapo kimya lakini Serikali inapochukua hatua ndipo wanakimbilia vyombo vya habari na kutoa porojo za ovyo
Nyie makuwadi ya warabu koko dpworld na mauza bandari ya ccm yakiongozwa na samia kutoka kibandamaiti kinachowaponza ni ujinga uliosababishwa na kukosa elumu baada ya kukaa kwenye makorido ya lumumba mda mrefu hadi mmechina kama samaki mbichi, unaposema wametoa kauli haratishi kwanin wakamatwe siku zote hizo na wasipelekwe mahakaman wapelekeni mahakaman kama mnauwezo mkaaibishwe na ujinga wenu mmebaki kupiga porojo wanamakosa wanamakosa huku mnaziogopa mahakama zenu ambazo mamayenu na viongoz wake hupiga sim wakat wa maamuzi.
 
Yuko sahihi, hiyo kauli ya IGP inamfanya Samia ambaye ni Amiri Jeshi Mkuu aonekane dhaifu, au ambaye kachokwa na watu sana kiasi cha kustahili kuondolewa madarakani kinguvu.

Na ni kauli inayoleta taharuki nchini

Hawa Maaskari wajifunze kuhusu kesi za kubambikiza, siyo kujitamkia tamkia tu mikosa mikuuuubwa inayoweza kusababisha watu waondoe investments zao, wasilete investments.

Inasababisha nchi imulikwe kwa torch mbaya unnecessarily duniani.
Nadhani wewe umemuelewa vyema na umeielewa vema concern ya ananilea nkya kuna chawa hawanan akili hiyo kabisaaa.
 

Attachments

  • IMG_20230816_063516_927.jpg
    IMG_20230816_063516_927.jpg
    28 KB · Views: 1
Hao hao waliofundisha haki za binadamu na tukazielewa wametufundisha kwamba tutumie nguvu katika kuzuia kabla maafa hayajatokea nawapongeza waliochukua hatua mapema za kuzima majaribio ya kupindua nchi na ninawakumbusha kwamba Sumu haionjwi.
 
Back
Top Bottom