kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Mi niliwaambia ni bora kuwe na chama kimoja tu cha ccm,hapo maisha ya wengi yatapona na familia nyingi zitapunguza uchungu.Hivi sasa huu upinzani unawapa sababu ya baadhi ya wananchi kutoifahamu vyema ccm.Naomba ligi tuwaachie wao kwa wao