Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,192
- 1,972
- Thread starter
- #41
Sio kila mtu anayekosoa baadhi ya vitendo vya JPJM ni Mwana-UKAWA!Mkuu umesha wasahau UKAWA? Wao kazi yao ni kubadilisha maneno ili wapate agenda ya kuzungumza! Kama wameweza kubadili gia angani, watashindwaje kubadilisha maneno ya JPM ili wapate tu sababu ya kukosoa!