KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,166
- 37,177
Inawezekana muheshimiwa raisi alikuwa na maana nyingine ya makaburi na sivyo kama alivyopokelewa na baadhi ya watu wenye mtazamo hasi juu yake na uongozi wale.......
NB; Kama alimaanisha hivyo alivyoongea basi laana za watanzania waliodhurumiwa rasilimali zao na hao watu waliopo makabulini zimfikie......
NB; Kama alimaanisha hivyo alivyoongea basi laana za watanzania waliodhurumiwa rasilimali zao na hao watu waliopo makabulini zimfikie......