View: https://youtu.be/gjrrbUm9Xgg?si=wlBvnC5Dg4FuVziw
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini Tanzania PPPC Bwana David Kafulila amesema deni la Tanzania ni stahimilivu kwa Vipindi vyote,
View: https://youtu.be/gjrrbUm9Xgg?si=wlBvnC5Dg4FuVziw
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini Tanzania PPPC Bwana David Kafulila amesema deni la Tanzania ni stahimilivu kwa Vipindi vyote,
Huyu jamaa anatisha sana kwa akili alizonazoTumbili katika ubora wake
Anateteeaje ugali?Mikopo ingekua na maana sana kama kusingekua na wapigaji wanaosomwa na wasio somwa na CAG kila mwaka na kuishia kuitwa stupid badala ya kuozea jela, huyo tumbili akae kwa kutulia tuu hakuna asiejua kama ni chawa anatetea ugali