Dark days 17/03/20...

Palestine ni kigiriki cha neno Phillistia/Phillistine.

Hiyo nchi mwanzoni ilikuwa inaitwa Caanan. Baadae ikaitwa Israel. Wacaanan wa enzi za Biblia hawakuwa waarabu.

Wafilisti (wa enzi za Biblia), ni uzao wa Mizraim (ancient Egypt), na ni uzao wa Ham mtoto wa Noah.

Wafilisti wa enzi za Biblia, walihamia hapo, na walichukua eneo dogo sana la nchi ya Canaan. Waliwasogeza kidogo wacaanan, na walikuwa na miji mitano maneo ya pwani ya kusini (mji mojawapo uliitwa Gaza).

Watoto wa Ham ni watu Weusi. Ancient Egypt (Mizraim), ancient Ethiopia (Cush), ancient Libya (Phut), ancient Caanan (Tyre, Sidon, Phoenicia), walikuwa jamii za waafrika weusi na sio waarabu.

Note that alielaaniwa ni Canaan, na sio Ham.

Wapalestina wa leo ni waarabu, na sio wafilisti wa enzi za Biblia.

Waarabu ni watoto wa Shem. Wazungu ni watoto wa Japheth.

Wayahudi na waisraeli wa enzi za Biblia ni watoto wa Eber, ambaye ni uzao wa Shem.

Waarabu wa north Africa, walihamia eneo la north Africa, mainly kwenye karne ya saba na onwards (wakitokea middle east).

Sehemu kubwa ya wayahudi na waisraeli wa leo ni wazungu walioichukua dini ya kiyahudi (sio wayahudi/waisraeli wa enzi za Biblia), na wengi wao waliichukua dini ya kiyahudi zaidi ya miaka 1,000 iliyopita (na wayahudi wa leo wenye middle eastern origins, wengi wao sio wayahudi/waisraeli wa enzi za Biblia).

Dini hiyo ya kiyahudi walioichukua sio ile ya Agano la Kale pure, ni imechanganywa na mafundisho potofu mengi sana, na inapotosha na kumpinga vibaya sana Masiha wa kweli ambae ni Bwana Yesu Kristo. Dini ile ya Agano la Kale pure, ingewaleta kwa Bwana Yesu Kristo, na kwenye Agano Jipya.

Caliph Abd al-Malik ibn Marwan hakutakiwa kujenga kitu kwenye Temple mount. Ila alijenga msikiti ambapo ndani yake kuna maandishi yameandikwa ambayo yanaipinga sana Biblia.

Kunatakiwa kusiwe na jengo kwenye Temple mount.

Wayahudi wa leo wanataka kuvunja hiyo misikiti (iliyoko kwenye Temple mount), ili wajenge hekalu la kiyahudi (hekalu la tatu). Hili hekalu la tatu, sio halali kibiblia (ingawa linaungwa mkono kisirisiri na watawala wengi wa nchi za magharibi, including Jesuits na Freemasons).

Na hiyo misikiti kibiblia haitakiwi kabisa kabisa kuwa hapo.

Kunatakiwa kusiwe na jengo kwenye Temple mount.

Ancient Caanan sio nchi ya waarabu, na ancient Israel sio nchi ya waarabu. Na wapalestina wa enzi za Biblia hawakuwa waarabu.

Nadhani wajaribu kutafuta njia ya kusuluhisha huu mgogoro kwa amani, huku wakitambua historia halisi yae eneo hilo.

Na huku Afrika na Tanzania tusiache kupendana kwasababu ya huu mgogoro, ni vizuri tujue historia yake halisi.


Kuhusu historia ya huu mgogoro, soma hiki kitabu, ingawa jamaa anakosea mahali pengine:
Dark Crusade, Christian Zionism and US Foreign Policy, by Clifford A Kiracofe, Jr (Author).


Kuna hiki kingine: The Thirteenth Tribe: The Khazar Empire and its Heritage, Arthur Koestler. Ingawa na huyu nae huenda kakosea mahali pengine.
Mkuu asante kwa kudadavua, mimi naomba kuuliza,

1. Dini ya Judaism enzi hizo kabla kuvunjwa lile hekalu la pili na kuondoshwa kwao 70 AD, Kuhani Mkuu alikuwa akisimamia mambo mbalimbali kwenye dini hiyo kwa mjibu Wa Torati,

1. Je hivi sasa 2024 Kuhani Mkuu wanaye?

2. Miongoni mwa kazi za Kuhani Mkuu ni kufanya upatanisho wa taifa na Mungu mara moja kwa mwaka kwa kuingia pakatifu pa patakatifu kwa damu ya mnyama, je kwa kwa sasa wanafanyaje upatanisho na hawana patakatifu pa patakatifu?
 
Palestine ni kigiriki cha neno Phillistia/Phillistine.

Hiyo nchi mwanzoni ilikuwa inaitwa Caanan. Baadae ikaitwa Israel. Wacaanan wa enzi za Biblia hawakuwa waarabu.

Wafilisti (wa enzi za Biblia), ni uzao wa Mizraim (ancient Egypt), na ni uzao wa Ham mtoto wa Noah.

Wafilisti wa enzi za Biblia, walihamia hapo, na walichukua eneo dogo sana la nchi ya Canaan. Waliwasogeza kidogo wacaanan, na walikuwa na miji mitano maneo ya pwani ya kusini (mji mojawapo uliitwa Gaza).

Watoto wa Ham ni watu Weusi. Ancient Egypt (Mizraim), ancient Ethiopia (Cush), ancient Libya (Phut), ancient Caanan (Tyre, Sidon, Phoenicia), walikuwa jamii za waafrika weusi na sio waarabu.

Note that alielaaniwa ni Canaan, na sio Ham.

Wapalestina wa leo ni waarabu, na sio wafilisti wa enzi za Biblia.

Waarabu ni watoto wa Shem. Wazungu ni watoto wa Japheth.

Wayahudi na waisraeli wa enzi za Biblia ni watoto wa Eber, ambaye ni uzao wa Shem.

Waarabu wa north Africa, walihamia eneo la north Africa, mainly kwenye karne ya saba na onwards (wakitokea middle east).

Sehemu kubwa ya wayahudi na waisraeli wa leo ni wazungu walioichukua dini ya kiyahudi (sio wayahudi/waisraeli wa enzi za Biblia), na wengi wao waliichukua dini ya kiyahudi zaidi ya miaka 1,000 iliyopita (na wayahudi wa leo wenye middle eastern origins, wengi wao sio wayahudi/waisraeli wa enzi za Biblia).

Dini hiyo ya kiyahudi walioichukua sio ile ya Agano la Kale pure, ni imechanganywa na mafundisho potofu mengi sana, na inapotosha na kumpinga vibaya sana Masiha wa kweli ambae ni Bwana Yesu Kristo. Dini ile ya Agano la Kale pure, ingewaleta kwa Bwana Yesu Kristo, na kwenye Agano Jipya.

Caliph Abd al-Malik ibn Marwan hakutakiwa kujenga kitu kwenye Temple mount. Ila alijenga msikiti ambapo ndani yake kuna maandishi yameandikwa ambayo yanaipinga sana Biblia.

Kunatakiwa kusiwe na jengo kwenye Temple mount.

Wayahudi wa leo wanataka kuvunja hiyo misikiti (iliyoko kwenye Temple mount), ili wajenge hekalu la kiyahudi (hekalu la tatu). Hili hekalu la tatu, sio halali kibiblia (ingawa linaungwa mkono kisirisiri na watawala wengi wa nchi za magharibi, including Jesuits na Freemasons).

Na hiyo misikiti kibiblia haitakiwi kabisa kabisa kuwa hapo.

Kunatakiwa kusiwe na jengo kwenye Temple mount.

Ancient Caanan sio nchi ya waarabu, na ancient Israel sio nchi ya waarabu. Na wapalestina wa enzi za Biblia hawakuwa waarabu.

Nadhani wajaribu kutafuta njia ya kusuluhisha huu mgogoro kwa amani, huku wakitambua historia halisi yae eneo hilo.

Na huku Afrika na Tanzania tusiache kupendana kwasababu ya huu mgogoro, ni vizuri tujue historia yake halisi.


Kuhusu historia ya huu mgogoro, soma hiki kitabu, ingawa jamaa anakosea mahali pengine:
Dark Crusade, Christian Zionism and US Foreign Policy, by Clifford A Kiracofe, Jr (Author).


Kuna hiki kingine: The Thirteenth Tribe: The Khazar Empire and its Heritage, Arthur Koestler. Ingawa na huyu nae huenda kakosea mahali pengine.
Israel kwenye biblia walitabiriwa kwenda ulaya kama adhabu na watarudi sasa unavyosema wale sio wayahudi unatumia kigezo kipi

Wanasema wale ni wayahudi sababu dna zao zinafanana wenzako wanatumia dna wewe unatumia hisia
 
Palestine ni kigiriki cha neno Phillistia/Phillistine.

Hiyo nchi mwanzoni ilikuwa inaitwa Caanan. Baadae ikaitwa Israel. Wacaanan wa enzi za Biblia hawakuwa waarabu.

Wafilisti (wa enzi za Biblia), ni uzao wa Mizraim (ancient Egypt), na ni uzao wa Ham mtoto wa Noah.

Wafilisti wa enzi za Biblia, walihamia hapo, na walichukua eneo dogo sana la nchi ya Canaan. Waliwasogeza kidogo wacaanan, na walikuwa na miji mitano maneo ya pwani ya kusini (mji mojawapo uliitwa Gaza).

Watoto wa Ham ni watu Weusi. Ancient Egypt (Mizraim), ancient Ethiopia (Cush), ancient Libya (Phut), ancient Caanan (Tyre, Sidon, Phoenicia), walikuwa jamii za waafrika weusi na sio waarabu.

Note that alielaaniwa ni Canaan, na sio Ham.

Wapalestina wa leo ni waarabu, na sio wafilisti wa enzi za Biblia.

Waarabu ni watoto wa Shem. Wazungu ni watoto wa Japheth.

Wayahudi na waisraeli wa enzi za Biblia ni watoto wa Eber, ambaye ni uzao wa Shem.

Waarabu wa north Africa, walihamia eneo la north Africa, mainly kwenye karne ya saba na onwards (wakitokea middle east).

Sehemu kubwa ya wayahudi na waisraeli wa leo ni wazungu walioichukua dini ya kiyahudi (sio wayahudi/waisraeli wa enzi za Biblia), na wengi wao waliichukua dini ya kiyahudi zaidi ya miaka 1,000 iliyopita (na wayahudi wa leo wenye middle eastern origins, wengi wao sio wayahudi/waisraeli wa enzi za Biblia).

Dini hiyo ya kiyahudi walioichukua sio ile ya Agano la Kale pure, ni imechanganywa na mafundisho potofu mengi sana, na inapotosha na kumpinga vibaya sana Masiha wa kweli ambae ni Bwana Yesu Kristo. Dini ile ya Agano la Kale pure, ingewaleta kwa Bwana Yesu Kristo, na kwenye Agano Jipya.

Caliph Abd al-Malik ibn Marwan hakutakiwa kujenga kitu kwenye Temple mount. Ila alijenga msikiti ambapo ndani yake kuna maandishi yameandikwa ambayo yanaipinga sana Biblia.

Kunatakiwa kusiwe na jengo kwenye Temple mount.

Wayahudi wa leo wanataka kuvunja hiyo misikiti (iliyoko kwenye Temple mount), ili wajenge hekalu la kiyahudi (hekalu la tatu). Hili hekalu la tatu, sio halali kibiblia (ingawa linaungwa mkono kisirisiri na watawala wengi wa nchi za magharibi, including Jesuits na Freemasons).

Na hiyo misikiti kibiblia haitakiwi kabisa kabisa kuwa hapo.

Kunatakiwa kusiwe na jengo kwenye Temple mount.

Ancient Caanan sio nchi ya waarabu, na ancient Israel sio nchi ya waarabu. Na wapalestina wa enzi za Biblia hawakuwa waarabu.

Nadhani wajaribu kutafuta njia ya kusuluhisha huu mgogoro kwa amani, huku wakitambua historia halisi yae eneo hilo.

Na huku Afrika na Tanzania tusiache kupendana kwasababu ya huu mgogoro, ni vizuri tujue historia yake halisi.


Kuhusu historia ya huu mgogoro, soma hiki kitabu, ingawa jamaa anakosea mahali pengine:
Dark Crusade, Christian Zionism and US Foreign Policy, by Clifford A Kiracofe, Jr (Author).


Kuna hiki kingine: The Thirteenth Tribe: The Khazar Empire and its Heritage, Arthur Koestler. Ingawa na huyu nae huenda kakosea mahali pengine.
Waarabu ni watoto was japhet na wazungu ni watoto was Shem,weusi ni.watoto wa Ham!source Book of enoch!
 
Waarabu ni watoto was japhet na wazungu ni watoto was Shem,weusi ni.watoto wa Ham!source Book of enoch!
Vipi kuhusu wachina, wahindi, wajapani n.k??? Tumepewa akili na maarifa tutumie vizuri na siyo kuendeshwa na mihemko, papara na hisia za kidini!

Kwa maendeleo ya sayansi na teknolojia kwa jinsi dunia lilivyopiga hatua kubwa, hivi vitabu vya kidini vitapitwa na wakati muda siyo mrefu!

Walichobakiza ni kuunganisha matukio na nukta ili yafanane na wakati huu tulionao, ila itafika mwisho!
 
Hii thread ninachoipendea huwa ipo katika nyanja zote, kidini kihistoria kimedani kijasusi kiasiasa na kimaendeleo, tunampongeza mwanzisha mada na haswa wachangiaji ambao tupo hapa tokea siku ile uzi huu ulipo anzishwa.

Huu uzi utadumu na kudumu na utakuwa marejea na hata ushahidi hapo kesho, kesho sio mbali ipo siku ukweli utajidhirisha.
 
Back
Top Bottom