Sisi wajuzi wa mambo tulishawaambia kuwa upinzani wataongea lugha tofauti tofauti kama vile wale jamaa wa enzi zile za mnara babeli, maana wapinzani hawana hoja wote ni njaaa kali mno. Sasa hata wabunge wao wanalia njaa, wanaomba misaada kila pahala,
Na hiyo tabia ya kutuma vikundi kutoa matamko kana ya jana kutishia chama hapo ndio watoto wa mjini wanaseme "amebugi meeen"
Ataenda Rwanda lini? Kipindi cha uchaguzi aliondoka usiku sana akiwa anatweta kwa jasho,na alionekana ana mawazo sana,mkulu naye alipoapishwa akaenda rwanda!!
Aliahidiwa ubunge wa kuchaguliwa then uwaziri, ngosha Magu hana muda nae tenaProfesa kama LIPUMBA anahangaika nini? Si aende kufundisha chuo kikuu? Huyu atakuwa anatumiwa na CCM.
Hakuna cha sarakasi, ninyi si ni wambea wambea hamjui hata kinachoendelea ndani ya CCM, kazi yenu kuropoka ropoka tu.Huko CCM hujaona yanayoendelea kwenye sarakasi za kukabithi uenyekiti wa CCM?
hili ulilosema ndo la msingi,naomba nikuibie Siri zikipigwa kura lipumba atashinda ,ni bora wamdhibiti kabla hajaingia maana kumezuka ubaguzi dhidi ya waabara na wa visiwani. Halafu huku bara lipumba an a network ya watu kuliko mwanachama yyt . Na hata huko Zanzibar anasapoti ya watu kama akina DuniLipumba awe mvumilivu na mwenye subira. August siyo mbali. Asubiri chama kiamuwe. Ila awe tayari kukubali matokeo.