CRDB Bank na makato ya matumizi ya kadi za ATM

Nimeandika kwa masikitiko makubwa sana, last two weeks nilienda kuangalia salio la acc yangu crdb bank, nikakuta sehemu flan ya pesa imepungua nikakaa kimya

Leo hii tena tar 14 nikasema niangalie tena salio nikakuta pia sehemu ya pesa imepungua, uzalendo ukanishinda ikabid niwapigie huduma kwa wateja

Walipopokea tu simu yangu wakaniuliza jina langu , acc no yangu & wapi nilifungulia acc

Niliwajibu kwa unyenyekevu mkubwa, baada ya kuwajibu wakanihoji kutaka kujua ninashida gan

Nikawaelezea changamoto zangu, ikabid waingie kwenye acc yangu ku check balance,

Jibu walilonipa hata sikuridhika nalo kwakwel , waliniambia bank wamenikata kumi na saba elf (17000)

Waka ainisha kuwa 15000 ni makato ya uendeshaji wa kadi ya bank ya kila mwaka , tafsiri yake ni kwamba ile atm card kila mwaka tunakuwa tunailipia 15000

2000 ni makato ya mwezi jumla ikawa 170000

Nilipohoji kutaka kujua tafsir ya uendeshaji wa kadi wa kila mwaka ni kitu gani, yule mtoa huduma akanijibu kwamba "

Zile card ( tembo card) wao crdb walifadhiliwa na mfadhili kwa makubaliano watakuwa wanamlipa taratibu taratibu kwahiyo sasa makato tunayokatwa sisi ndio pesa anazolipwa yule mfadhili sasa hamuoni kama hawa jamaa matapeli?

Nikaenda mbele zaid kwa kumhoji yule mtoa huduma, kwamba crdb walipoweka mkataba na uyo mfadhili wa card kwamba watawalipa taratibu taratibu walitushirikisha sisi wateja ambao ndio tumebeba jukumu la kulipa hizo pesa kwa wafadhili? Akakata na simu

Sasa ndugu zangu wenye acc pale crdb bank ambao mlikuwa hamjui kama nilivyo mimi,

Mkae mkijua sasa kuanzia nilipoweka bandiko hili, kila mwaka mtakuwa mnakatwa 15 elf kwa ajili ya kuwasaidia crdb kulipa deni waliloingia kwa huyo mfadhili aliyewatengenezea card

Kwahiyo mteja ni mkubwa kuliko taasisi na ndio maana amebeba jukumu la kuilipia den bank

Wakati kwenye mkataba wao sina hakika kama walisaini kwamba hilo deni atalilipa mteja

Hapo ndio nikaamin kweli crdb ni bank ya kitapel

Maana yake sasa, ukiwa na acc miaka 30 ndan ya crdb utakatwa 15000 mara miaka 30 sasa ebu assume tanzania nzima hao crdb wana wateja wangap? Sasa 15 elf mara wateja wa tanzania nzima watakuwa wanakata tsh ngapi na den kwa uyo mfadhili wao wa card litakuwa kias gan mpaka kila mwaka wakate 15 elf kwa kila mteja

Kesho tar 15 naenda kutoa pesa yangu yote

Majizi makubwa yale,

Nilimuuliza yule mtoa huduma kwamba mmeshawaelimisha wateja wenu kwamba kila mwaka mtakuwa mnawakata 15 elf kwa ajili ya uendeshaji wa kadi akanijibu hapana

Nikamuuliza hamuoni kama mtakuwa hamuwatendei haki akakaa kimya

KWahiyo narudia tena na tena, kwa wale wateja wenye acc pale crdb inatakiwa mfaham kila mwaka mtakuwa mnailipia card tsh 15 elf msije mkakatwa mkaanza kushangaa

Mi mwenzenu nimeshajitoa mapema sitaki pesa yangu ikatwe eti kwa akili ya kulipia den la taasis huo ni upuuzi
Bora kufunga akaunti maana ni matapeli.

Wanaposema mfadhili mbona wafadhili hawarejeshewi fadhila? Ina maana walikopa?

Mkataba wa ATM na Mteja hakuna kipengele cha makato ya 15k kwa mwaka.

Matokeo ya kulipana mishahara mikubwa bila ubunifu wa vyanzo
 
Mimi nilitumiwa laki 2 kwenye NMB account halafu nikaacha kuitoa kama wiki 2 hivi. Kuja kuangalia nakuta laki na ishirini imekatwa. Yaani niliambulia Tshs. 80,000/= tu. Niliwalaani sana NMB na nikaona ni wezi kabisa. Majizi makubwa
Duh
Lakini mimi nilishaachana na NMB kitaaambo
 
Mimi nilitumiwa laki 2 kwenye NMB account halafu nikaacha kuitoa kama wiki 2 hivi. Kuja kuangalia nakuta laki na ishirini imekatwa. Yaani niliambulia Tshs. 80,000/= tu. Niliwalaani sana NMB na nikaona ni wezi kabisa. Majizi makubwa
Bro hiki kitu kinawezekana kikatokea ila ukifatilia utajua imetokaje au mkopo wamekata lakini haiwezekani wachukue tu kirahisi hivyo watu wanatunza USD miaka nenda rudi mkuu hizo Bank na hazichukuliwi kirahisi wewe wiki mbili tu?
 
Yaani uko serious kabisa uhame benki kisa Elfu 15?
Jamaa anajichanganya tu, benki takribani 20,000 wamepewa ruhusa ya kutengeneza hizo kadi kwa majina ya benki zao, na kwa bahadhi ya benki, mmiliki wa kadi ni lazima alipie ada ya kila mwaka. Hapo atakuwa anawaonea tu CRDB. Akumbuke kuwa VISA card ni kampuni yenye wana hisa na kadi hizo unaweza kuzitumia katika benki yoyote mwanachama katika nchi yoyote.
 
Nimeandika kwa masikitiko makubwa sana, last two weeks nilienda kuangalia salio la acc yangu crdb bank, nikakuta sehemu flan ya pesa imepungua nikakaa kimya

Leo hii tena tar 14 nikasema niangalie tena salio nikakuta pia sehemu ya pesa imepungua, uzalendo ukanishinda ikabid niwapigie huduma kwa wateja

Walipopokea tu simu yangu wakaniuliza jina langu , acc no yangu & wapi nilifungulia acc

Niliwajibu kwa unyenyekevu mkubwa, baada ya kuwajibu wakanihoji kutaka kujua ninashida gan

Nikawaelezea changamoto zangu, ikabid waingie kwenye acc yangu ku check balance,

Jibu walilonipa hata sikuridhika nalo kwakwel , waliniambia bank wamenikata kumi na saba elf (17000)

Waka ainisha kuwa 15000 ni makato ya uendeshaji wa kadi ya bank ya kila mwaka , tafsiri yake ni kwamba ile atm card kila mwaka tunakuwa tunailipia 15000

2000 ni makato ya mwezi jumla ikawa 170000

Nilipohoji kutaka kujua tafsir ya uendeshaji wa kadi wa kila mwaka ni kitu gani, yule mtoa huduma akanijibu kwamba "

Zile card ( tembo card) wao crdb walifadhiliwa na mfadhili kwa makubaliano watakuwa wanamlipa taratibu taratibu kwahiyo sasa makato tunayokatwa sisi ndio pesa anazolipwa yule mfadhili sasa hamuoni kama hawa jamaa matapeli?

Nikaenda mbele zaid kwa kumhoji yule mtoa huduma, kwamba crdb walipoweka mkataba na uyo mfadhili wa card kwamba watawalipa taratibu taratibu walitushirikisha sisi wateja ambao ndio tumebeba jukumu la kulipa hizo pesa kwa wafadhili? Akakata na simu

Sasa ndugu zangu wenye acc pale crdb bank ambao mlikuwa hamjui kama nilivyo mimi,

Mkae mkijua sasa kuanzia nilipoweka bandiko hili, kila mwaka mtakuwa mnakatwa 15 elf kwa ajili ya kuwasaidia crdb kulipa deni waliloingia kwa huyo mfadhili aliyewatengenezea card

Kwahiyo mteja ni mkubwa kuliko taasisi na ndio maana amebeba jukumu la kuilipia den bank

Wakati kwenye mkataba wao sina hakika kama walisaini kwamba hilo deni atalilipa mteja

Hapo ndio nikaamin kweli crdb ni bank ya kitapel

Maana yake sasa, ukiwa na acc miaka 30 ndan ya crdb utakatwa 15000 mara miaka 30 sasa ebu assume tanzania nzima hao crdb wana wateja wangap? Sasa 15 elf mara wateja wa tanzania nzima watakuwa wanakata tsh ngapi na den kwa uyo mfadhili wao wa card litakuwa kias gan mpaka kila mwaka wakate 15 elf kwa kila mteja

Kesho tar 15 naenda kutoa pesa yangu yote

Majizi makubwa yale,

Nilimuuliza yule mtoa huduma kwamba mmeshawaelimisha wateja wenu kwamba kila mwaka mtakuwa mnawakata 15 elf kwa ajili ya uendeshaji wa kadi akanijibu hapana

Nikamuuliza hamuoni kama mtakuwa hamuwatendei haki akakaa kimya

KWahiyo narudia tena na tena, kwa wale wateja wenye acc pale crdb inatakiwa mfaham kila mwaka mtakuwa mnailipia card tsh 15 elf msije mkakatwa mkaanza kushangaa

Mi mwenzenu nimeshajitoa mapema sitaki pesa yangu ikatwe eti kwa akili ya kulipia den la taasis huo ni upuuzi
Benki karibu zote zinafanya hivyo, kumbuka hizo kadi mabenki wamepewa ruhusa ya kuzitengeneza kwa majina ya benki zao. Lakini mmiliki yupo na ni kampuni yenye wanahisa kabisa, annual fee ni kawaida.
 
Yaani uko serious kabisa uhame benki kisa Elfu 15?
Sometimes tunafanya vitu kwa kutokujua.
Sema crdb mimi siwaelewi. Kuna muda naweza kupokea transfer labda ya dollar 190 wakapita na laki nzima nikashangaa kwenye akaunti kuna 380000 ukiwauliza jibu wanalokupa wao ndiyo ela waliyoipokea.
Muda mwingine unapokea labda dollar 3000 unaikuta ela yote bila hata shilingu 10 kukatwa. Yani siwaelewi.
Pia kuna mambo tunafanya bila kujua.
Mimi nina akaunti mbili so nna kadi 2.
Akaunti ya kwanza ni ya dollar ya federal commumity bank ya US na ya pili ya crdb.
Sasa bwana mimi sina sim banking eti kisa niliona airtel money wana huduma ambapo unaweza kuhamisha pesa toka kadi kuja airtel money as long as ni mastercard, visa au union pay.
Nikihamisha kutoka kadi ya federal bank hawakati ela nyingi ni just 5% ya kiasi uchahamisha na wanakwambia wao airtel. Sasa nikitaka nunua vivocha umeme nafamya hvyo.
Sasa hii tabia nikaihamishia crdb, kumbe mbali 5% ya gharama za kuhamisha nao crdb wanakulima 12000 haijalisha uwe ulihamisha 1000, au 500 au 1000000.
Mimi nilikiwa sijashtuka kwasababu sina tabia ya kutazama bank statement.
Kuna siki nimenunua vocha za buku 2000 kama mara 6 au zaidi.
Baada ya muda nmeenda atm naona .bona salio silielewi elewi. nikawapigia huduma kwa wateja maelezo sijaelewa.
Nikawatumia email kuwaomba bank statement. Mzee naona 12000 makato yamefuatana.
Nikawapigia kuwauliza ndipo wakanieleza.
Nilikoma tangu siku hiyo kukurupukia vitu. Na iwapp nisingefatanisha hayo manunuzi mpaka leo nisingejua maana nmekuwa nikitumia hyo njia zaidi ya mwaka labda mara 1 kwa mwez au miezi miwili so wakikata si notice.
Hapo shida sio wao bali ilikuwa mimi
 
Nimeandika kwa masikitiko makubwa sana, last two weeks nilienda kuangalia salio la acc yangu crdb bank, nikakuta sehemu flan ya pesa imepungua nikakaa kimya

Leo hii tena tar 14 nikasema niangalie tena salio nikakuta pia sehemu ya pesa imepungua, uzalendo ukanishinda ikabid niwapigie huduma kwa wateja

Walipopokea tu simu yangu wakaniuliza jina langu , acc no yangu & wapi nilifungulia acc

Niliwajibu kwa unyenyekevu mkubwa, baada ya kuwajibu wakanihoji kutaka kujua ninashida gan

Nikawaelezea changamoto zangu, ikabid waingie kwenye acc yangu ku check balance,

Jibu walilonipa hata sikuridhika nalo kwakwel , waliniambia bank wamenikata kumi na saba elf (17000)

Waka ainisha kuwa 15000 ni makato ya uendeshaji wa kadi ya bank ya kila mwaka , tafsiri yake ni kwamba ile atm card kila mwaka tunakuwa tunailipia 15000

2000 ni makato ya mwezi jumla ikawa 170000

Nilipohoji kutaka kujua tafsir ya uendeshaji wa kadi wa kila mwaka ni kitu gani, yule mtoa huduma akanijibu kwamba "

Zile card ( tembo card) wao crdb walifadhiliwa na mfadhili kwa makubaliano watakuwa wanamlipa taratibu taratibu kwahiyo sasa makato tunayokatwa sisi ndio pesa anazolipwa yule mfadhili sasa hamuoni kama hawa jamaa matapeli?

Nikaenda mbele zaid kwa kumhoji yule mtoa huduma, kwamba crdb walipoweka mkataba na uyo mfadhili wa card kwamba watawalipa taratibu taratibu walitushirikisha sisi wateja ambao ndio tumebeba jukumu la kulipa hizo pesa kwa wafadhili? Akakata na simu

Sasa ndugu zangu wenye acc pale crdb bank ambao mlikuwa hamjui kama nilivyo mimi,

Mkae mkijua sasa kuanzia nilipoweka bandiko hili, kila mwaka mtakuwa mnakatwa 15 elf kwa ajili ya kuwasaidia crdb kulipa deni waliloingia kwa huyo mfadhili aliyewatengenezea card

Kwahiyo mteja ni mkubwa kuliko taasisi na ndio maana amebeba jukumu la kuilipia den bank

Wakati kwenye mkataba wao sina hakika kama walisaini kwamba hilo deni atalilipa mteja

Hapo ndio nikaamin kweli crdb ni bank ya kitapel

Maana yake sasa, ukiwa na acc miaka 30 ndan ya crdb utakatwa 15000 mara miaka 30 sasa ebu assume tanzania nzima hao crdb wana wateja wangap? Sasa 15 elf mara wateja wa tanzania nzima watakuwa wanakata tsh ngapi na den kwa uyo mfadhili wao wa card litakuwa kias gan mpaka kila mwaka wakate 15 elf kwa kila mteja

Kesho tar 15 naenda kutoa pesa yangu yote

Majizi makubwa yale,

Nilimuuliza yule mtoa huduma kwamba mmeshawaelimisha wateja wenu kwamba kila mwaka mtakuwa mnawakata 15 elf kwa ajili ya uendeshaji wa kadi akanijibu hapana

Nikamuuliza hamuoni kama mtakuwa hamuwatendei haki akakaa kimya

KWahiyo narudia tena na tena, kwa wale wateja wenye acc pale crdb inatakiwa mfaham kila mwaka mtakuwa mnailipia card tsh 15 elf msije mkakatwa mkaanza kushangaa

Mi mwenzenu nimeshajitoa mapema sitaki pesa yangu ikatwe eti kwa akili ya kulipia den la taasis huo ni upuuzi
Hata sisi tunaotumia NMB Master Card tunakatwa 10,000 kila mwaka.
 
Kiongoz inatakiwa uwe mwelewa kidogo, inabid ufaham hiyo 18 unakatwa kwa sababu gan?

Sasa mimi nimeuliza kwanini nakwatwa 15 kila mwaka wakanijibu hivi"

Hiyo 15 ninayokatwa nawalioia den crdb wanalodaiwa na mfadhili aliyewatengenezea card

Sasa ndio najiuliza kama deni ni la crdb na crdb wenyewe wapo kwanini nilipe mimi?

Walinishirikisha kwamba wanaomba niwasaidie kulila mpaka waamue tu kwamba mm ndio niwalipie?
Mkuu, labda hamkuelewana lugha tu. Visa card ziko chini ya Visa International Services Association, hii imewaruhusu mabenki duniani kote kutengeneza hizo card. Kwenye mabenki mengi mtumiaji wa kadi anapaswa kulipa ada ya kila mwaka.
 
Sometimes tunafanya vitu kwa kutokujua.
Sema crdb mimi siwaelewi. Kuna muda naweza kupokea transfer labda ya dillar 190 wakapita na laki nzima nikashanaa kwenye akaunti kuna 380000 ukiwauliza jibu wanalokupa wao ndiyo ela waliyoipokea.
Muda mwingine unapokea labda dillar 3000 unaikuta ela yote bila hata shilingu 10 kukatwa. Yani siwaelewi.
Pia kuna mambo tunafanya bila kujua.
Mimi nina akaunti mbili so nna kadi 2.
Akaunti ya kwanza ni ya dollar ya federal commumity bank ya US na ya pili ya crdb.
Sasa bwana mimi sina sim banking eti kisa niliona airtel money wana huduma ambapo unaweza kuhamisha pesa toka kadi kuja airtel money as long as ni mastercard, visa au union pay.
Nikihamisha kutoka kadi ya federal bank hawakati ela nyingi ni just 5% ya kiasi uchahamisha na wanakwambia wao airtel. Sasa nikitaka nunua vivocha umeme nafamya hvyo.
Sasa hii tabia nikaihamishia crdb, kumbe mbali 5% ya gharama za kuhamisha nao crdb wanakulima 12000 haijalisha uwe ulihamisha 1000, au 500 au 1000000.
Mimi nilikiwa sijashtuka kwasababu sina tabia ya kutazama bank statement.
Kuna siki nimenunua vocha za buku 2000 kama mara 6 au zaidi.
Baada ya muda nmeenda atm naona .bona salio silielewi elewi. nikawapigia huduma kwa wateja maelezo sijaelewa.
Nikawatumia email kuwaomba bank statement. Mzee naona 12000 makato yamefuatana.
Nikawapigia kuwauliza ndipo wakanieleza.
Nilikoma tangu siku hiyo kukurupukia vitu. Na iwapp nisingefatanisha hayo manunuzi mpaka leo nisingejua maana nmekuwa nikitumia hyo njia zaidi ya mwaka labda mara 1 kwa mwez au miezi miwili so wakikata si notice.
Hapo shida sio wao bali ilikuwa mimi
Hizo bank wanacheza na exchange rates, most of the time wanakupa the lowest rates available in the market ili wamaxikise profit coz na wao huwa wanauza hiyo dola. Na pia kuna bank transfer charges ukikombine hapo lazima upate maumivu.
 
Hizo bank wanacheza na exchange rates, most of the time wanakupa the lowest rates available in the market ili wamaxikise profit coz na wao huwa wanauza hiyo dola. Na pia kuna bank transfer charges ukikombine hapo lazima upate maumivu.
Hata kama mkuu yani $190 wakupe 380000. Mimi siwaelewi kabisa. Halafu 3000 ukupe yani imeingia pesa ambayo ukipga unapata rate 2500. Na hii si mara moja na sijawahi kupata maelezo ya kueleweka kwa sababu hata bankstatement inaonyesha ela iliingia kwa akaunti in tshs haionyeshi ilikuwa dollar ikawa converted to tshs kwa rate ya kiasi gani.
So hata customer care wala anakuwa hajui akiangalia yeye anaona tshs tu
 
Kwa mwaka heri yako wewe maana ni 15K malipo ya card plus 24K Makato yako ya mwaka jumla ni 39K,

Mimi stanbink kwa mwaka Makato yote 180K, nikaona this is too much, siweki hela tena uko.
 
Bro hiki kitu kinawezekana kikatoka ila ukifatilia utajua imetokaje au mkopo wamekata lakini haiwezekani wachukue tu kirahisi hivyo watu wanatunza USD miaka nenda rudi mkuu hizo Bank na hazichukuliwi kirahisi wewe wiki mbili tu?
Nilivuta statement, nikaona ni makato ya mwezi na ya kadi. Kuanzia mwaka 2021. Nikaishia kusikitika na kujilaumu kwa nini sikuwekewa hela hiyo EQUITY bank ambako ningeikuta kama ilivyo, bila kujali kama sijaweka fedha kwa muda mrefu. NMB, CRDB ni miyeyusho, wezi tu
 
Hivi unakumbuka kipind magu kapitisha tozo za mabenki kutokana na wingi wa miamala Kuna watu walikatwa Hadi mil. 10 kwenye account zao kwny mkupuo mmoja.

Mimi mwnyw nililambwa 882,000 na bado sikuhama benki.

Elfu 2 kwa mwezi kuendeshea account unalalamika mkuu?

Hivi Ulishawai kujiuliza wenye account za biashara huwa wanakatwa Bei gan ili kuendeshea account zao kila mwezi?
Mmmmh hebu tukumbushe maana makato kwenye miamala yote ya pesa na bank yamekuja kipindi Samia ameingia na wengi walilalama sana …
Hata kama hampendi mtu msisahau sana hadi mkasema uongo………
Huu ni uongo hakuna makato yeyote wala chochote kilicho ongezwa kwenye miamala yote kipindi cha Magufuli muqche uongo…
Matatizo hayatatuliwa kwa kusingizia watu…
Mwigulu akiwa Waziri wa Fedha haya mambo ndio yameanza!
 
Mimi niko na NMB & CRDB Ila kwa yanayoendelea nafikiria nirudi Equity tu maana niliwazoea hata kufanyia manunuzi mtandaoni hawana makato ya kifaLa..
 
Hata huyo Customer Agent wa CRDB hakutakiwa kukujibu hivyo akikosea sana hizo ni confidential issue, angetakiwa kukuambia ni gharama za uendeshaji tu inatosha.
Hata benki nao wanakopa mkuu, zile charges wanazotutoza nfo wanalipia marejesho, Sasa mtu mwelewa huwezi mwambia mteja Mambo Kama hayo.
 
Back
Top Bottom