ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Sio kweli, wanaozungumziwa ni watoto (<18) maisha yao ni ya hali duni. WMkuu achana na hawa Wapumbavu wanashabikia kila kitu cha mzungu,wala hawapigi hesabu za mbali, ukiruhusu wenye watoto kurudi shule wanaobeba mimba wataongezeka maana wanajua ruksa kuendelea na masomo na Kama yupo form 1 analipiwa na serikali ada ela ya pampas na kulea atapewa na nani?,siasa zinasababisha watu wengi wawe mataahira.
Utupe leo mkate wetu wa kila siku, utusamehe makosa yetu, kama tunavyawasemehe wanaotukosea...Baba yetu Uliye mbinguni, utusamehe sisi wakosefu, sasa na saa ya kufa kwetu, Amen
Kidding? Dola billion 300? akupe nani? You ned to come to your sense before you scribe anything.mkopo wa Elimu wa dola bil.300
Inaelekea wewe ndiye una-tend kufikiri the same way. Kwa hiyo hizo million 300 (gharama ya ku-introduce policy ya hovyo) ndizo zitatumika miaka yote wakati Tanzania ikitekeleza sera hiyo wakati watoto wa kike wakiendelea kuolewa na kupata uja uzito, na kuzaliana wakiwa mashuleni? Kutakuwa na haja gani ya kuwa na sheria ya kuwalinda watoto wa kike wasipate ujauzito? Tatizo la waswahili ni kuanza kufkiri pindi mkiona pesa. Wewe umejiunga nao hao wanaofikiri matumizi ya pesa badala ya madhara ya sera mbovu inayonunuliwa kwa pesa nyingi kama hii kwa ajili ya mataifa machanga. WB wanakununulia sera mbovu kwa billion 600 wewe unakubali kisha unaliingiza taifa kwenye mtego wa miaka yote kubeba bakuli la kuomba misaada na mikopo nje ya nchi kwa ajii ya kutunza mama, watoto na waume zao mashuleni!Tatizo ninaloliona hapo serikali ni wavivu kufikiri na kwamba inapenda kufikiri the same way miaka na miaka.kuna ambao wanapata ujauzito kwa sababu ambazo kwa kweli zipo nje kabisa ya uwezo wao.sasa tujiulize madhara yanakuwa mengi wakiruhusiwa kuzaa warud shule au wasirud shule wakipata ujauzito.amini usiamini madhara ni mengi sana kwa utararatibu huu wa sasa.sisi tunaishi tanzania,tunaona mambo yalivyo.tukubali kwamba hatupaswi kufikiri au kufanya mambo the same way miaka na miaka.
We jamaa unaudhi sana, kwani kosa LA JPM ni nini hapo!, miaka yote hiyo sheria Ipo kuwa mwanafunzi akipata mimba shule ndio basi, sasa hao world bank walikuwa wapi?Kwani ushasahau kuwa Jiwe alishajitangaza hadharani kuwa yeye ni kichaa??
Na anaowateua nao ni vichaa wenzake!
Matokeo yake ndiyo haya ya kukosa mkopo wa World Bank wa Dola za kimarekani milioni 300, huku huyo Jiwe akitwambia watanzania kuwa tutembee vifua mbele na we are in the right track!
Tabu yote hii ametuletea JK kwa kutuletea huyu mtu ambaye hamnazo
utuokoe na yule mwovu....Ila usitutie majaribuni
ndiyo mkome sasa kuwapa hatamu wahuni wa kijijini.Hela kiasi hicho inapopotea kwenye wizara mhimu kama hiyo, usiposikitika utakuwa hujui ni kipi cha kuisikitikia nchi yako unayoipenda.
Na hasa ukiwaza kuhusu sababu yenyewe inayosababisha msaada huo usitolewe, unabaki tu unajiuliza kama kweli tunajua tunayoyatenda kwa manufaa ya nchi yetu.
Hivi hata muda wa kukaa kwa utulivu na ku'reflect' juu ya maamuzi yao na matokeo yake viongozi wetu wanautumia kweli ipasavyo, au wao hawana muda huo kabisa?
Katika jambo kama hili, nalo tutakaa chini na kulihesabu na kujitapa kuwa tumefanikiwa/nchi yetu imefanikiwa?
Kuna mahali hapo wametaja ushoga?Hatutak misaada sis afu tuambiwe tukubal ushoga