CNN: Tanzania loses $300m World Bank loan amid crackdown concerns

Hele kiasi hicho inapopotea kwenye wizara mhimu kama hiyo, usiposikitika utakuwa hujui ni kipi cha kuisikitikia nchi yako unayoipenda.
Na hasa ukiwaza kuhusu sababu yenyewe inayosababisha msaada huo usitolewe, unabaki tu unajiuliza kama kweli tunajua tunayoyatenda kwa manufaa ya nchi yetu.

Hivi hata muda wa kukaa kwa utulivu na ku'reflect' juu ya maamuzi yao na matokeo yake viongozi wetu wanautumia kweli ipasavyo, au wao hawana muda huo kabisa?

Katika jambo kama hili, nalo tutakaa chini na kulihesabu na kujitapa kuwa tumefanikiwa/nchi yetu imefanikiwa?
Kwani ushasahau kuwa Jiwe alishajitangaza hadharani kuwa yeye ni kichaa??

Na anaowateua nao ni vichaa wenzake!

Matokeo yake ndiyo haya ya kukosa mkopo wa World Bank wa Dola za kimarekani milioni 300, huku huyo Jiwe akitwambia watanzania kuwa tutembee vifua mbele na we are in the right track!

Tabu yote hii ametuletea JK kwa kutuletea huyu mtu
 
Wamegoma kutoa pesa wanataka kulazimisha wazazi na watoto wao waende shule pamoja
Hahaaaaaa uachege hii tabia ya kuwa bambo nimecheka kinyamaaaa.
.
Mama usiku ana solve equation na mtoto ana solve uraia 😂😂
 
"...The practice dates back to the 1960s, but it has been more widely applied since President John Pombe Magufuli took office in 2015...." CNN. Kwa hiyo ndio wanaamka sasa enzi za Magufuli. Walikuwa wapi tangu miaka ya 60?
 
Kwani huko shule wanaosoma ni wenye mimba tu? Watusaidie kufungua shule za wenye mimba na wazazi..yaani wawajengee na majengo ya kunyonyesha..waAlipie na mayaya watakaowaangalia watoto wakati mama zao wapo class..bila kusahau bajeti ya lactogen pindi wazazi wapo class..yaani uache kuwaadabisha watoto wako wawe na misingi imara kisa jirani hapendi..anataka uwaache tu hivyo hivyo.

Aiisee, ngoja niku'quote' bila kupenda kwa mchango wako huu ambao sijui kama kweli ulinuia watoe msaada kama huo unaopendekeza wewe!

Hivi walipotishia kuondoa msaada huo,na kuomba majadiliano nasi; badala ya wizara kutoa matamko waliyotoa hadharani ya kujigamba na kuwaambia waondoe msaada; na badala yake tungewaomba kuweka mfumo wa kuwasaidia hao wazazi kwa njia mbali mbali ili waweze kumudu kuendelea na shule, hiyo ingekuwaje?

Naelewa sana wapenda majibu ya mkato hapa watasema huko kutakuwa ni njia ya kuchochea mimba ziwe nyingi mashuleni.
Mimi nasema sio lazima iwe hivyo. Ni utaratibu tu unaowezekana kutimizwa kama nia ipo.
 
Aiisee, ngoja niku'quote' bila kupenda kwa mchango wako huu ambao sijui kama kweli ulinuia watoe msaada kama huo unaopendekeza wewe!

Hivi walipotishia kuondoa msaada huo,na kuomba majadiliano nasi; badala ya wizara kutoa matamko waliyotoa hadharani ya kujigamba na kuwaambia waondoe msaada; na badala yake tungewaomba kuweka mfumo wa kuwasaidia hao wazazi kwa njia mbali mbali ili waweze kumudu kuendelea na shule, hiyo ingekuwaje?

Naelewa sana wapenda majibu ya mkato hapa watasema huko kutakuwa ni njia ya kuchochea mimba ziwe nyingi mashuleni.
Mimi nasema sio lazima iwe hivyo. Ni utaratibu tu unaowezekana kutimizwa kama nia ipo.
Ndugu tuna maadili yetu..hii ni nchi huru..unaweza ukadhania mimba tu ila vipi maambukizi ya ukimwi..?maana ni kama umeruhusu..vipi ile sheria ya 30 years ya kumpa mimba dent..itakuwa na maana tena??

Sent from my HUAWEI P7-L10 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu tuna maadili yetu..hii ni nchi huru..unaweza ukadhania mimba tu ila vipi maambukizi ya ukimwi..?maana ni kama umeruhusu..vipi ile sheria ya 30 years ya kumpa mimba dent..itakuwa na maana tena??

Sent from my HUAWEI P7-L10 using JamiiForums mobile app
Mkuu achana na hawa wanashabikia kila kitu cha mzungu,wala hawapigi hesabu za mbali, ukiruhusu wenye watoto kurudi shule wanaobeba mimba wataongezeka maana wanajua ruksa kuendelea na masomo na Kama yupo form 1 analipiwa na serikali ada ela ya pampas na kulea atapewa na nani?,siasa zinasababisha watu wengi wawe mataahira.
 
Mkuu achana na hawa Wapumbavu wanashabikia kila kitu cha mzungu,wala hawapigi hesabu za mbali, ukiruhusu wenye watoto kurudi shule wanaobeba mimba wataongezeka maana wanajua ruksa kuendelea na masomo na Kama yupo form 1 analipiwa na serikali ada ela ya pampas na kulea atapewa na nani?,siasa zinasababisha watu wengi wawe mataahira.
Kila sehemu wanatia siasa..wazae watoto zao wakawaweke stand wapigwe mimba na wapiga debe kisha wawarudishe nyumbani walee mimba kama wana hamu ya wajukuu.
 
Mkuu achana na hawa Wapumbavu wanashabikia kila kitu cha mzungu,wala hawapigi hesabu za mbali, ukiruhusu wenye watoto kurudi shule wanaobeba mimba wataongezeka maana wanajua ruksa kuendelea na masomo na Kama yupo form 1 analipiwa na serikali ada ela ya pampas na kulea atapewa na nani?,siasa zinasababisha watu wengi wawe mataahira.
Wakati wale wanaiweka kwenye ilani yao ya uchaguzi 2015/2020 ili watoto wanaopata mimba mashuleni waweze kurejeshwa darasani mbona hamkutoa povu namna hii walamba nyao za watawala nyie
 
Kila sehemu wanatia siasa..wazae watoto zao wakawaweke stand wapigwe mimba na wapiga debe kisha wawarudishe nyumbani walee mimba kama wana hamu ya wajukuu.
Mkuu achana na hawa Wapumbavu wanashabikia kila kitu cha mzungu,wala hawapigi hesabu za mbali, ukiruhusu wenye watoto kurudi shule wanaobeba mimba wataongezeka maana wanajua ruksa kuendelea na masomo na Kama yupo form 1 analipiwa na serikali ada ela ya pampas na kulea atapewa na nani?,siasa zinasababisha watu wengi wawe mataahira.
Mnajiona kama wajanja sana kumbe hamna kitu mnachojua juu ya misaada hii ya elimu.
 
Back
Top Bottom