Club ya Kimataifa kutoka Tanzania, Simba Sports Club kuwania kuiwakilisha Afrika Kombe la dunia la Vilabu

Sio kweli kuwa Al Ahly na Wydad wapo hapo kwasababu ya kuchukua makombe katika hiyo misimu minne.

Ni kwasababu ya rank zao katika kukusanya point kitu ambacho hata aliyefika fainali mfululizo wa misimu minne pia kuna point anakusanya ambazo zingemfanya awepo hapo

Nakupa mfano

Al Aly katika hiyo misimu minne angekuwa anaishia fainali tu na Simba ndio angekuwa anachukua yeye misimu yote hiyo minne ina maana Al Ahly asingekuwa ame qualify kushiriki michuano ya World Cup kwasababu katika hiyo misimu hakubeba ubingwa?
Kifupi ni kwamba hakuna anae enda huko sio Simba wala Yanga sababu option iliyo baki ni kuchukua ubingwa wa CAF kwa vigezo vya rankings mlima ni mrefu
 
Sio kweli kuwa Al Ahly na Wydad wapo hapo kwasababu ya kuchukua makombe katika hiyo misimu minne.

Ni kwasababu ya rank zao katika kukusanya point kitu ambacho hata aliyefika fainali mfululizo wa misimu minne pia kuna point anakusanya ambazo zingemfanya awepo hapo

Nakupa mfano

Al Aly katika hiyo misimu minne angekuwa anaishia fainali tu na Simba ndio angekuwa anachukua yeye misimu yote hiyo minne ina maana Al Ahly asingekuwa ame qualify kushiriki michuano ya World Cup kwasababu katika hiyo misimu hakubeba ubingwa?
Duh umeamua kujitoa akili hadi kufikia kubishana na FIFA wenyewe. Nimekutumia hiyo attachment nikajua itakufanya ufungue akili yako kumbe una asili ya kubishana sio kuelewa. Haya ingia hapo ukurasa wa FIFA uone kuna nafasi ngapi za bingwa na nafasi ngapi ya upande wa ranking. Nikajua naongea na mtu anayejua au hata kufatilia vitu, kumbe muda wote najadiliana na asiyejua lolote lile.

 
Kifupi ni kwamba hakuna anae enda huko sio Simba wala Yanga sababu option iliyo baki ni kuchukua ubingwa wa CAF kwa vigezo vya rankings mlima ni mrefu
Ndio ni kweli haipingiki kuwa gape la point ni kubwa na mpinzani ambaye yupo kwenye nafasi ya kunufaika ametuacha mbali
 
Sio kweli kuwa Al Ahly na Wydad wapo hapo kwasababu ya kuchukua makombe katika hiyo misimu minne.

Ni kwasababu ya rank zao katika kukusanya point kitu ambacho hata aliyefika fainali mfululizo wa misimu minne pia kuna point anakusanya ambazo zingemfanya awepo hapo

Nakupa mfano

Al Aly katika hiyo misimu minne angekuwa anaishia fainali tu na Simba ndio angekuwa anachukua yeye misimu yote hiyo minne ina maana Al Ahly asingekuwa ame qualify kushiriki michuano ya World Cup kwasababu katika hiyo misimu hakubeba ubingwa?

IMG_1984.jpg

Wee jamaa ni mbishi sana, hebu soma hicho kichwa Cha habari kuhusiana na vigezo vya kupatikana izo timu 4. Mbona jamaa anaeleza vizuri sana
 
Duh umeamua kujitoa akili hadi kufikia kubishana na FIFA wenyewe. Nimekutumia hiyo attachment nikajua itakufanya ufungue akili yako kumbe una asili ya kubishana sio kuelewa. Haya ingia hapo ukurasa wa FIFA uone kuna nafasi ngapi za bingwa na nafasi ngapi ya upande wa ranking. Nikajua naongea na mtu anayejua au hata kufatilia vitu, kumbe muda wote najadiliana na asiyejua lolote lile.

Ngoja kwanza tuwekane sawa ili tusionekane kubishana tu bila sababu ya msingi.

Umeona kwenye reply yangu kuna attachment yako hapo?

Au umefanya editing wakati tayari nime teply na kuchukua advantage ya kunisuta?

Sasa nakuambia kuwa hiyo attachment yako bado haipingani na hoja yangu

Kama umesoma hiyo article vizuri bila shaka utakuwa umekutana na hii ripoti ya baraza ya kikao kilichofanyika mwezi wa tatu
Screenshot_20231225-155732.png


Unaniambiaje kuwa kigezo sio ranking?
 
Sio kweli kuwa Al Ahly na Wydad wapo hapo kwasababu ya kuchukua makombe katika hiyo misimu minne.

Ni kwasababu ya rank zao katika kukusanya point kitu ambacho hata aliyefika fainali mfululizo wa misimu minne pia kuna point anakusanya ambazo zingemfanya awepo hapo

Nakupa mfano

Al Aly katika hiyo misimu minne angekuwa anaishia fainali tu na Simba ndio angekuwa anachukua yeye misimu yote hiyo minne ina maana Al Ahly asingekuwa ame qualify kushiriki michuano ya World Cup kwasababu katika hiyo misimu hakubeba ubingwa?
Mzee ujifunze kwanza kufatilia jambo kabla ya kubishana unajitia aibu,
Katika haya mashindano ya FIFA club world cup nafasi ya timu tatu ni timu mabingwa wa CAF champions league, na nafasi ya timu moja pekee ndio inayochukuliwa kwa ranking.
Al Ahly na Wydad wamefuzu kwasababu ya kuwa mabingwa wa CAF champions league. (2020- 2023) hivyo bingwa mpya wa CAF champions league msimu anafuzu moja kwa moja kwenye FIFA club world cup. Na laiti kama msimu wa 2022/2023 bigwa angekuwa timu tofauti na Al Ahly na Wydad maanake mashindano yangewakilishwa na mabingwa wanne
1) bingwa wa CAFCL 2020/2021
2) bingwa wa CAFCL 2021/2022
3) Bingwa wa CAFCL 2022/2023 na wanne ni
Bingwa wa CAFCL 2023/2024 ila kwavile Al Ahly kachukua mara mbili ndio inalazimika timu moja ichukuliwe kwa kuangalia rank

Kigezo cha ubingwa kipo sawasawa na kwa upande wa UEFA
Chelsea anapata nafasi ya kushiriki kwavile ni bingwa wa UEFACL 2020/2021
Real Madrid bingwa 2021/2022
Man city bingwa wa 2022/2023
Hivyo bingwa wa UEFACL 2023/2024 ataungana na hao juu
 
Embu tuacheni mzaha jamani, Simba hiihii ya Papaa Boko, Kapombe, Zimbwe, Mzamiru iwanie kwenda kucheza dhidi ya Man City, Bayern, Madrid n.k?

Huu sasa ni mzaha.
Hiyo nafasi bora ingekuwa inawezekana wangepewa Tabora united kuliko hao tutusa fc
 
View attachment 2852541
Wee jamaa ni mbishi sana, hebu soma hicho kichwa Cha habari kuhusiana na vigezo vya kupatikana izo timu 4. Mbona jamaa anaeleza vizuri sana
Nakujibu kwa fact

Hapo heading inasema vilabu viwili kwa tiketi ya ubingwa.

Sasa kama kuwa bingwa ndio kigezo cha kupata timu mbili vipi kwa situation ambayo timu moja ime beba ubingwa mara 4 mfululizo?

Ndio hapo point yangu inapokuja kuwa kigezo kikuu ni ranking na ndicho kilichoamuliwa kwenye kikao kilichofanyika March

Unaweza kusoma hapa
Screenshot_20231225-155732.png
 
Africa inatoa timu ngapi? Na jumla ya vilabu vitakavyoshiriki michuano ni vingapi? Hilo litakuwa kombe la Ulaya
Hii ni habari mbaya kwa utopolo FC.😀😀😀😀😀 Wao wawekeze kwenye NBC na Shirikisho watapiga hela sana
Anaogopa kucheza Champion League na anaogopa kucheza na Al Ahly, Al Hilal, Mamelod na Wydad.
Waliposikia Simba akifuzu kuingia robo fainali anakutana na Mamelod basi wanafurahi. Hawajui ukicheza na timu kubwa nawe unakiwa timu mkubwa
 
Ulisoma vigezo vyote ukavielewa?
Kuna nafasi nne, nafasi tatu zitachukuliwa na timu mabingwa ambapo Al Ahly na Wydad tayari wamefuzu bado nafasi moja ya bingwa wa msimu huu.
Timu zote 16 ambazo zinacheza hatua ya makundi kwasasa zote zinawania nafasi ya kucheza kombe la dunia 2025.
Kisha kutakuwa na nafasi ya timu moja pekee ya kuchukuliwa upande wa ranking, ambapo itachukuliwa timu ambaye sio bingwa ila mwenye rank kubwa kwenye CAF kuliko wengine
Inaweza ikawa mbili incase Al Ahly ama wydad akabeba. Pia Mamelodi akibeba anakua hayupo so Es Tunis anakua ndio mkubwa.
 
Embu tuacheni mzaha jamani, Simba hiihii ya Papaa Boko, Kapombe, Zimbwe, Mzamiru iwanie kwenda kucheza dhidi ya Man City, Bayern, Madrid n.k?

Huu sasa ni mzaha.
Hiyo hiyo unayoijua.
Kama Yanga ametumia miaka 25 kufuzu kuingia kwenye makundi ya champion league na alipigwa 3-0 unategemea atapewa nani hapa Tanzania?
 
Ngoja kwanza tuwekane sawa ili tusionekane kubishana tu bila sababu ya msingi.

Umeona kwenye reply yangu kuna attachment yako hapo?

Au umefanya editing wakati tayari nime teply na kuchukua advantage ya kunisuta?

Sasa nakuambia kuwa hiyo attachment yako bado haipingani na hoja yangu

Kama umesoma hiyo article vizuri bila shaka utakuwa umekutana na hii ripoti ya baraza ya kikao kilichofanyika mwezi wa tatu
View attachment 2852552

Unaniambiaje kuwa kigezo sio ranking?
Hayo maelezo yamalizie hadi chini kwenye Africa 4 teams, halsfu niambie hapo walipoandika "Via champions pathway (CAF Champions League) – 3 teams"
umeelewa nini hapo? Hapo walipoandika
IMG_20231225_160719.jpg
 
Mzee ujifunze kwanza kufatilia jambo kabla ya kubishana unajitia aibu,
Katika haya mashindano ya FIFA club world cup nafasi ya timu tatu ni timu mabingwa wa CAF champions league, na nafasi ya timu moja pekee ndio inayochukuliwa kwa ranking.
Al Ahly na Wydad wamefuzu kwasababu ya kuwa mabingwa wa CAF champions league. (2020- 2023) hivyo bingwa mpya wa CAF champions league msimu anafuzu moja kwa moja kwenye FIFA club world cup. Na laiti kama msimu wa 2022/2023 bigwa angekuwa timu tofauti na Al Ahly na Wydad maanake mashindano yangewakilishwa na mabingwa wanne
1) bingwa wa CAFCL 2020/2021
2) bingwa wa CAFCL 2021/2022
3) Bingwa wa CAFCL 2022/2023 na wanne ni
Bingwa wa CAFCL 2023/2024 ila kwavile Al Ahly kachukua mara mbili ndio inalazimika timu moja ichukuliwe kwa kuangalia rank

Kigezo cha ubingwa kipo sawasawa na kwa upande wa UEFA
Chelsea anapata nafasi ya kushiriki kwavile ni bingwa wa UEFACL 2020/2021
Real Madrid bingwa 2021/2022
Man city bingwa wa 2022/2023
Hivyo bingwa wa UEFACL 2023/2024 ataungana na hao juu
Sasa hiki ulichoakiandika kina utofauti gani na kile nilicho kujibu?

Katika nafasi tatu za mabingwa kumbuka zimelenga katika misimu minne.

Sasa hiyo misimu minne ikiwa imechukuliwa yote na timu moja, kigezo kitakuwa ni nini ili upate timu 4?
 
Nakujibu kwa fact

Hapo heading inasema vilabu viwili kwa tiketi ya ubingwa.

Sasa kama kuwa bingwa ndio kigezo cha kupata timu mbili vipi kwa situation ambayo timu moja ime beba ubingwa mara 4 mfululizo?

Ndio hapo point yangu inapokuja kuwa kigezo kikuu ni ranking na ndicho kilichoamuliwa kwenye kikao kilichofanyika March

Unaweza kusoma hapaView attachment 2852557
Kabla ya kwenda huko, hujaakiri hapa kuwa uliongea uongo huko juu au pengine ulikuwa hujui. Haya hapo Wydad na Al Ahly wamewekwa sababu ya rank zao au sababu ya kuwa mabingwa?
 
Hayo maelezo yamalizie hadi chini kwenye Africa 4 teams, halsfu niambie hapo walipoandika "Via champions pathway (CAF Champions League) – 3 teams"
umeelewa nini hapo? Hapo walipoandika View attachment 2852561
Mbona ipo wazi kuwa hicho ni kigezo cha ziada kwasababu hao ndio top ranked na ndio maana unaona points zao hapo juu.

Swali ambalo mpaka sasa hujajibu ni kuelezea mazingira ya kupitisha Club mbili iwapo katika misimu minne alikuwa ni bingwa mmoja tu

Ndio maana nikakupa hii screenshot uangalie main factor ni ipi
Screenshot_20231225-155732.png
 
Kabla ya kwenda huko, hujaakiri hapa kuwa uliongea uongo huko juu au pengine ulikuwa hujui. Haya hapo Wydad na Al Ahly wamewekwa sababu ya rank zao au sababu ya kuwa mabingwa?
Uongo upi huo?

Kwamba hii screenshot mimi nimeifoji?

Screenshot_20231225-155732.png
 
Hujanijibu swali Wydad na Al Ahly wamefuzu kwasababu ya rank zao au sababu ni mabingwa wa CAF champions league msimu mitatu nyuma?
Wamefuzu kwasababu ya hiki kilichopigiwa kura kwenye kikao kilichofanyika Rwanda

Screenshot_20231225-155732.png
 
Mbona ipo wazi kuwa hicho ni kigezo cha ziada kwasababu hao ndio top ranked na ndio maana unaona points zao hapo juu.

Swali ambalo mpaka sasa hujajibu ni kuelezea mazingira ya kupitisha Club mbili iwapo katika misimu minne alikuwa ni bingwa mmoja tu

Ndio maana nikakupa hii screenshot uangalie main factor ni ipiView attachment 2852565
Hilo swali nitakujibu kama tukishafikia muafaka wa post namba 61 uliponikatalia kuwa Wydad na Al Ahly hawakufuzu sababu ya kuwa mabingwa bali ni kwasababu rank zao. Je bado msimamo wako bado upo hivyo hivyo?
 
Back
Top Bottom