Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam walaani kitendo cha udhalilishaji na shambulizi lililohusisha wanafunzi

Kwa mange
Nimeona wale vitobo wote wanagombea kupigwa mti na fala mmoja anaelelewa na mkewe anaefanya kazi bank fulani maarufu Nchini na yule fala anaona dili kuvitafuna vident vya Chuo cha UDSM, vident vimeaga kwao vinakuja DSM kusoma kumbe vimekuja kugombea kupigwa miti na mafala wa DSM
 
Kweli siku hizi Udsm imebadilika sana, ingekua enzi zile hawa madogo wangekua wametimuliwa chuo kitambo sana... Wale Mashetani watatu "MMM" Prof Mukandala, Prof Maboko, Prof Mgaya walikua wanatishia sana amani ya moyo... kwanza barua za vitisho zingezagaa notes board za chuo kizima zikiwa na title DON'T BOTHER... usijisumbue kabisa kuendelea kuwepo hapa chuoni wewe sio mwanachuo tena.. usionekane popote iwe chuoni au karibu na chuo.. Ikiendelea kukaidi usije ukalaumu mtu..
 
Wazazi wa pande zote mbili wanaumia sana kwenye kipindi hiki mbali na hao waliotenda hilo. Mungu awatie nguvu wazazi wao.
 
Back
Top Bottom