Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam walaani kitendo cha udhalilishaji na shambulizi lililohusisha wanafunzi

Yani mwijaku alivyo kimuonekano tu eti wanapigana Kwa ajili Yake.

Au "teeth" wanacheza na akili zetu kupotezea ishu ya lissu na kauli za maaskofu?

Ila hii nchi!

Nyau de adriz

Hiyo ishu nilivyoielewa mimi ni kwamba hao wanafunzi wenzake wamempiga sio kwamba wanamgombania mwijaku .
Bali wamempiga kwa kumuona anawadhalilisha kwa kutembea na mtu wa hovyo mwijaku
 
Vyuo bongo vimejaa mly
Hostel za watoto wa kike ni madanguro tu
Acha wf##let tu si wanataka
Wenyewe
Kwanza nchi yenyewe sahv ni mwendo wa ngonongono tu
Hao mabint washakuwa maarufu
Soon watapewa ubalozi wa makampuni

Ova
 
Hiyo ishu nilivyoielewa mimi ni kwamba hao wanafunzi wenzake wamempiga sio kwamba wanamgombania mwijaku .
Bali wamempiga kwa kumuona anawadhalilisha kwa kutembea na mtu wa hovyo mwijaku
Uelewa wako ni Mdogooo sanaa yani hata mtoto wa la kwanza kakuacha mbali sanaa.
 
Back
Top Bottom