Ndiyo lugha zenu mpya hizo: utulivu, ustaarabu, n.k.; huku mkitumia lugha laini kilaghai kuhadaa watu.Mmemtoa wapi huyu naye? Mbona anaongea si kwa utulivu?
Acha huyo David azungumze kwa lugha yoyote itakayofikisha ujumbe.
Ndiyo lugha zenu mpya hizo: utulivu, ustaarabu, n.k.; huku mkitumia lugha laini kilaghai kuhadaa watu.Mmemtoa wapi huyu naye? Mbona anaongea si kwa utulivu?
Na mimi niliuona na kusikia alichosema Lissu. Unasema kweli.Yeye mwenyewe kwenye mkutano wa hadhara mjini Iringa anasema aliambiwa asifanye mkutano Iringa mpaka uchaguzi wa chama utakapomalizika.
(Hakumtaja aliyemzuia)
Lakini Je unadhani mwanachama wa kawaida anaweza kumzuia Makamu Mwenyekiti wa chama kufanya mkutano mahali popote ndani ya Tanzania?
Uzi uko humu umetokana na habari iliyoambatana na video iliyonakiliwa toka mtandao wa X.
Amepata/Wamepata.
kuna watu wanajaribu kushupaza shingo na kujipiga kifua kwamba hali ni shwari chadema, but it's obvious kuna taharuki, kuna kuviziana kusiko na afya miongoni mwa waandamizi na mwisho wake ni aibu 🐒Yeye mwenyewe kwenye mkutano wa hadhara mjini Iringa anasema aliambiwa asifanye mkutano Iringa mpaka uchaguzi wa chama utakapomalizika.
(Hakumtaja aliyemzuia)
Lakini Je unadhani mwanachama wa kawaida anaweza kumzuia Makamu Mwenyekiti wa chama kufanya mkutano mahali popote ndani ya Tanzania?
Uzi uko humu umetokana na habari iliyoambatana na video iliyonakiliwa toka mtandao wa X.
Wakati jiwe maghu anadukua mazungumzo ya kina ngereja, makamba, kinana,wakimponda ulikuwa wapi? Jela?Ni vizuri mkafanya vikao vya ndani, kurekebisha na kusahihisha kasoro na dosari zinazoonekana mpaka nje ya chama, ambazo zinaweza kuathiri taswira, umoja na maelewano ya viongozi waandamizi wa chama kwenye jamii....
Sio kwa ubaya lakini, kukosoana hadharani hakutawaacha salama, vinginevyo, aina hii ya kukosoana ni njia ya kusambaratisha chama kwa makusidi, huku tayari kila moja ameshajiandalia na kujihakikishia destination nyingine mpya ya kisiasa humu nchini, kuelekea uchaguzi mkuu ujao....
time will tell....
ama kweli,
fahali wawili hawakai zizi moja
kwahiyo unataka kusema chadema kuna ambae hakunufaika na utashi na ukomavu wa Dr.Samia Suluhu Hassan ?Na mimi niliuona na kusikia alichosema Lissu. Unasema kweli.
Inafahamika vizuri sana, kwamba ndani ya CHADEMA kuna watu wanaomshabikia sana Samia, kwa sababu zao wenyewe.
Mwenyekiti alipokengeuka watu hawa hawakujificha tena wanafahamika. Sasa kama Mwenyekiti kagundua kwamba aliuziwa mbuzi kwenye gunia, na kutaka kudai pesa yake, hawa wapambe waliokuwa nyuma yake katika mpango huo watakuwa njia panda. Maana ndani ya CHADEMA yenyewe wamekwisha jitambulisha waziwazi kuhusu kuwa karibu kwao na Samia.
Wengine wamo humu humu JF.
si ni maridiano yalimtoa Mbowe jela na yaliwarejesha lema na Lisu nchini ama 🐒Kama Mbowe anataka kuimaliza CHADEMA na kujimaliza mwenyewe kisiasa; hili la kuungana na Samia ndilo litakalowamaliza.
Mbowe kishadanganywa katika "Maridhiano"; hivi kweli atakuwa bado hajagundua ulaghai anaofanyiwa?
Sidhani kuwa ni pesa inayompofusha, kutakuwa na jambo jingine kabisa.
bado ni kile kile tu kwenye hoja yangu ya msingi kama ambavyo nimewasihi waandamizi wa Chadema kufanya vikao vya ndani na kuresolve difference zao, kulaumiana kwenye media au majukwaa ya kisiasa hakuna tija 🐒Ccm kunawaka moto, karibia watagawana mbao. Sukuma gang wanahoji kwann itolewe fomu moja tu ya kugombea urais kupitia ccm??
View attachment 2980833
Makamu Mwenyekiti anakimbelembele sana, hamekosa nidhamu, hajui protocols za chama, hajui mkubwa wala mdogo, akishakunywa konyagi ni shida kweli kweli, wapigane tu, hakuna namna nyingine, lissu aanze kumrukia mbowe vichwa, sugu amkate Msigwa mtama bali alimradi undava undava tu, dadek, 😁😁😁Ni vizuri mkafanya vikao vya ndani, kurekebisha na kusahihisha kasoro na dosari zinazoonekana mpaka nje ya chama, ambazo zinaweza kuathiri taswira, umoja na maelewano ya viongozi waandamizi wa chama kwenye jamii....
Sio kwa ubaya lakini, kukosoana hadharani hakutawaacha salama, vinginevyo, aina hii ya kukosoana ni njia ya kusambaratisha chama kwa makusidi, huku tayari kila moja ameshajiandalia na kujihakikishia destination nyingine mpya ya kisiasa humu nchini, kuelekea uchaguzi mkuu ujao....
time will tell....
ama kweli,
fahali wawili hawakai zizi moja
Kwanza Chama ni nani?? Tuanzie hapo...Yaani Makamo Mkiti anaweza kuonywa na Boni Yai?? Hivi Sugu yule mkimpa Umakamo mkiti anaweza kuita kikao / Lindi Mkutano akapata hata watu 6?? Chadema hamtoshi wala hamtakaa mchukue nchi hii nyie.Alitumwa akamkashifu Mwenyekiti na Katibu Mkuu wake?
Umkisikiliza kwa makini kwenye ile video Lissu ameukashifu uongozi wa chama.
Kwamba yeye hapewi pesa za mikutano kwakuwa chama hakina pesa, lakini kuna pesa za kuhonga kwenye chaguzi za ndani za chama.
Na chama kimemuonya asifanye mkutano Iringa mpaka baada ya uchaguzi, lakini amepuuza.
Kwa kifupi hakuna aliyemtuma.
😂😂😂😂Kwahiyo hamtaki kushauriwa?
Ila hapa mada inahusiana na Chadema
Hiyo kukosoana huko ndani ndio kumeifanya ccm kimekuwa chama Cha kupuuzi mno, ni bahati tu Bado katiba hii inaipa nafasi ccm kuchezea chaguzi za nchi hii.Ni vizuri mkafanya vikao vya ndani, kurekebisha na kusahihisha kasoro na dosari zinazoonekana mpaka nje ya chama, ambazo zinaweza kuathiri taswira, umoja na maelewano ya viongozi waandamizi wa chama kwenye jamii....
Sio kwa ubaya lakini, kukosoana hadharani hakutawaacha salama, vinginevyo, aina hii ya kukosoana ni njia ya kusambaratisha chama kwa makusidi, huku tayari kila moja ameshajiandalia na kujihakikishia destination nyingine mpya ya kisiasa humu nchini, kuelekea uchaguzi mkuu ujao....
time will tell....
ama kweli,
fahali wawili hawakai zizi moja
Alichofanya Tundu Lisu ni approach sahihi kabisa. Unapoona upuuzi popote unaukemea hadharani ama ndani. Haya mambo ya kupotezeana muda kwenye vikao vya ndani ndio kulea wapuuzi wanaopewa pesa chafu na ccm.Huenda kweli usemacho, lakini usisahau wao ni binadamu, na kama walivyo binadamu wote hutokea wakati kuna kuhitilafiana.
Hivyo zikitokea hitilafu za namna hiyo wamalize kwenye vikao vya ndani.
Kauli za Tundu Lissu mjini Iringa zimeacha doa kwenye ulingo wa siasa.
Kwa level yake haikupendeza kuwatuhumu viongozi wenzake mbele ya halaiki.
Naunga mkono hoja, na katika vikao hivyo, wasisitize heshima kwa viongozi, mtu akiishakuwa kiongozi, lazima aheshimiwe. Mfano Mwenyekiti Mbowe, amefanya vikao vya maridhiano na CCM na vikaleta manufaa makubwa Chadema, ikiwemo kupata ruzuku na kukubaliana kitu kinachoitwa kugawana nusu mkate.Ni vizuri mkafanya vikao vya ndani, kurekebisha na kusahihisha kasoro na dosari zinazoonekana mpaka nje ya chama, ambazo zinaweza kuathiri taswira, umoja na maelewano ya viongozi waandamizi wa chama kwenye jamii....
Sio kwa ubaya lakini, kukosoana hadharani hakutawaacha salama, vinginevyo, aina hii ya kukosoana ni njia ya kusambaratisha chama kwa makusidi, huku tayari kila moja ameshajiandalia na kujihakikishia destination nyingine mpya ya kisiasa humu nchini, kuelekea uchaguzi mkuu ujao....
time will tell....
ama kweli,
fahali wawili hawakai zizi moja
Mkuu Tindo , hebu msikilize hapaAlichofanya Tundu Lisu ni approach sahihi kabisa. Unapoona upuuzi popote unaukemea hadharani ama ndani. Haya mambo ya kupotezeana muda kwenye vikao vya ndani ndio kulea wapuuzi wanaopewa pesa chafu na ccm.
Mkuu Tindo , hebu msikilize hapa
View: https://youtu.be/Qa59DIQs2yI
Hizi ni lugha za kistaarabu?. Unawajua ni kina nani anaowananga hapo kwa kuuliza kama wanaakili?.
P
Mkuu Tindo , hebu msikilize hapa
View: https://youtu.be/Qa59DIQs2yI
Hizi ni lugha za kistaarabu?. Unawajua ni kina nani anaowananga hapo kwa kuuliza kama wanaakili?.
P