Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 9,012
- 12,256
Ni vizuri mkafanya vikao vya ndani, kurekebisha na kusahihisha kasoro na dosari zinazoonekana mpaka nje ya chama, ambazo zinaweza kuathiri taswira, umoja na maelewano ya viongozi waandamizi wa chama kwenye jamii....
Sio kwa ubaya lakini, kukosoana hadharani hakutawaacha salama, vinginevyo, aina hii ya kukosoana ni njia ya kusambaratisha chama kwa makusidi, huku tayari kila moja ameshajiandalia na kujihakikishia destination nyingine mpya ya kisiasa humu nchini, kuelekea uchaguzi mkuu ujao....
time will tell....
ama kweli,
fahali wawili hawakai zizi moja
Sio kwa ubaya lakini, kukosoana hadharani hakutawaacha salama, vinginevyo, aina hii ya kukosoana ni njia ya kusambaratisha chama kwa makusidi, huku tayari kila moja ameshajiandalia na kujihakikishia destination nyingine mpya ya kisiasa humu nchini, kuelekea uchaguzi mkuu ujao....
time will tell....
ama kweli,
fahali wawili hawakai zizi moja