Bongo Movies wengi ni vilaza, si ajabu wameilaza sanaa ya uigizaji. Wasomi ingieni huko

Kmmk umeongea nondo tupu ki uhalisia hii industry imejaa misukule na vibuyu ina watu wa ajabu sana.Hii industry ningetamani ivamiwe na wasomi wanaolalamikia ajira kuna fursa ya kufa mtu.MI NIMEPIGA MARUFUKU KWANGU KWENYE SMART TV YANGU HAPA SEBULENI KUANGALIA USHUZI UNAOITWA BONGO MOVIES...eti utasikia wanasema HAKIKA NI ZA KWETU mama.eeee
Hahaha hao watu wajinga sana
 
Ni kwel tasnia ina mapungufu ,Ila habari ya make up artist kuishia darasa la pili ni ndo unaona jambo la kushangaza kwako mtoa thread? Je unataka mtu awe masters ndo akapake make up wasanii wakat ^makeup ni local knowledge inatolewa na collage za mtaani eg maznat collage.
Nawasilisha
 
Mtoa mada umeongea Jambo la mbolea Sana , nilifatilia CV ya Michael Scofield kwenye series ya Prison Break ,aisee jamaa mpak ana master's ya uigizaji , yaani kiufupi Tu Holywood huwez kupewa script kama shule ni zero kichwani.

Bongo movie hawana jipya Kwa sababu ni poor in education , hebu niambie kama kuna kipande cha kuiendesha ndege au meli nani atacheza ?.? Hata masuala ya ku-crack code za Mawasiliano hcho kipengele Nani atacheza ?? Wanabaki Tu na vitu normal kama Mapenzi , kuendesha vigali basi., na kufunguliana mageti huku wakiwaza
Usifananishe developed country and developing country.Usikae unalaumu watu,je wewe umetoa mchango gan kwenye tasnia?
 
Acheni kuwasakama bongo movies. Sababu ni zile zile;

1.Lack of capital. Stori inahitaji props zinazoendana na script lakini Bajeti ni Tsh. 400,000. Unategemea nini ?

2. Lack of/No Government support. Serikali inataka wasanii wasajili Drones kila unaposhoot hata scene moja kwa sababu za kisiasa. Ukienda kuomba location ya kituo cha Polisi unanyimwa, mahakamani unanyimwa, ofisi ya umma unanyimwa na stori inahitaji uhalisia. Kuvaa sare za askari ni tatizo, mlolongo ni mrefu na hauna matumaini. Unategemea ubora?

3. Poor tools and equipments. Vifaa vya wenzetu ni professional zaidi. Camera na Lens ni cinematic, vifaa vya kuongeza effects CGI etc.

etc. etc.
Umejibu kisomi
 
Back
Top Bottom