Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 25,995
- 79,598
Hahaha hao watu wajinga sanaKmmk umeongea nondo tupu ki uhalisia hii industry imejaa misukule na vibuyu ina watu wa ajabu sana.Hii industry ningetamani ivamiwe na wasomi wanaolalamikia ajira kuna fursa ya kufa mtu.MI NIMEPIGA MARUFUKU KWANGU KWENYE SMART TV YANGU HAPA SEBULENI KUANGALIA USHUZI UNAOITWA BONGO MOVIES...eti utasikia wanasema HAKIKA NI ZA KWETU mama.eeee