BAKWATA yataka CASINO ya Palm Village ifungwe, inaleta Usumbufu kwa Viongozi Wastaafu

[
TUNAANZA KUHESABU MASHOGA KWA KUPITIA COMMENT- KILA ALIYEPINGA KASINO KUFUNGIWA NI ANASAPOTI UPINDE WA MVUA

NA TUNAFUNGUA UZI WA KUWATAMBULISHA HAO MASHOGA KWA KUWAHOROTHESHA MAJINA; WOTE MLIOPINGA KASINO KUFUNGIWA NI SO KAMA UNAJIJUA UTAKUWEPO KWENYE UZI HUO TENA KWA KUANDIKWA JINA LAKO LOTE

NCHI YETU HAINA UTAMADUNI WA UPINDE WA MVUA NA TUNAPINGA VIKALI USHOGA
Unaijua cassino ndugu yangu? Umewahi kuingia kwenye cassino ukajionea yanayofanyika?
 
Baraza kuu la Waislam Tanzania, limetaka mfanyabiashara wa Casino Gaming kufunga mara moja kwani wanaleta Uaumbufu kwa makazi ya Viongozi. Casino ipo Palm Village Mikocheni.

Tatizo ni kwamba Casino ipo eneo lenye Wananchi wengi na hasa Viongozi Wastaafu kuanzia Familia ya BABA WA TAIFA NA RAIS WA AWAMU YA PILI

....kuwawekea Biashara ya Kamali kwenye Milango ya makazi yao ni ukosefu wa Nidhamu na Maadili. BAKWATA iliwafahamisha mapema kabla ya kujengwa na kufunguliwa kwa Biashara hiyo ya Kamali maana pia eneo hilo linakaliwa pia na Viongozi wengi wa Dini Wastaafu.

Inashangaza kwamba Mkurugenzi muhusika wa utoaji wa Vibali vya Kamali akaamua kuziba Masikio na kuruhusu Biashara hiyo inayokera sana kutokana na Wingi wa Watu kuingia na kutoka ndani ya jengo hilo Usiku kucha na kuwasumbua majirani na hasa Viongozi Wastaafu.

Ni muhimu sana Serikali ikaingilia sasa suala hili na kulitafutia ufumbuzi maana Biashara ya Kamali haifai kuwa kwenye maeneo ya makazi ya Wananchi.
View attachment 2504192View attachment 2504193
Ni kupoteza welekeo kama chimbo cha dini.
 
Shida nyie elimu dunia inawasumbua sana ndiyo maana China haiwataki kuwasikia. Mkifika China mkiwa wengi mnaanza kuleta vurugu kwa watu wanaokula nyoka na kuabudu dragon na misanamu.
Hii nchi siyo ya dini kwahiyo kila mtu akae kwa kutulia. Ukipita sehemu wanakula nguruwe inabidi ukae kimya na uendelee na mambo yako na siyo kuleta vurugu.
Mbona mnapiga kelele kila siku na vipaza sauti zenu tena watu wakiwa wamelala?
Itakubidi uahamie Macca, Zanzibar au nchi za kidini
wewe umri wako mbona bado mdogo kusoma unajua lakini kilicho andikwa ukijui hapo bakwata awakuongelea dini bali wame wasemea wasotafu sasa wewe unakuja na habari za vipaza sauti mala wahamie zanzibar au chuki inakusumbua? kwa sababu ukitaka kuona chuki ya watu waka hoja inayohusu waisilamu hata kama niaya msigi baadhi yenu wakirisito chuki mnayo bwana he he he
 
nchi hii lini watu mtabadilika na kuelimika hao masheikh wametoa kelo yao mawazo yao nyiyi kwa ushenzi wenu mnaaza kuwashutumu mala vipaza sauti kwenini msiheshimu mtazamo yao?

wewe kama unakeleka na vipaza sauti nenda mahakamani au kwenye viombo via habari ukaoe kelo yako mtazamo wako kuhusu vipaza sauti mtazomo wako mawazo yako tutayaheshimu kuheshimu mawazo mtazamo wa mtu huo ndio utu vinginevio ni ushezi
Mashekh wanapata kero gani ndugu yangu? Cassino ni sehemu iliyotulia unaweza kupita na usijue kama kuna cassino,hao bakwata itakuwa wana bifu na hiyo cassino
 
Hivi hawajaona matangazo ya kamari waziwazi mpaka katika redio na televishen ya taifa mpaka wakakemee kitu ambacho hakibugudhi umma zaidi ys watu wachache wa eneo hilo,waache kudeal na vitu vidogovidogo vya kushughulikiwa na serikali za mitaa!
kama wameenda serikali za mtaa bila kusikizwa wafanyeje?mfano huko serikali za mitaa kama wewe ndie mwenyekiti kwa hiyo roho yako ilivio mbona ugewapuuza tu kisa masheikh
 
wewe umri wako mbona bado mdogo kusoma unajua lakini kilicho andikwa ukijui hapo bakwata awakuongelea dini bali wame wasemea wasotafu sasa wewe unakuja na habari za vipaza sauti mala wahamie zanzibar au chuki inakusumbua? kwa sababu ukitaka kuona chuki ya watu waka hoja inayohusu waisilamu hata kama niaya msigi baadhi yenu wakirisito chuki mnayo bwana he he he
Kwanini wastaafu wasizungumze wenyewe mpaka wasemewe na Bakwata?
Casino hakuna kelele mambo yao ni ya kimya kimya tu. Wao hawaoni vipaza sauti vyao vinavyopiga kelele asubuhi?
 
Labsa wanaotete baraza lao waje watujibi tuelewe kwanza Casino zinaleta usumbufu gani kwa hao wastaafu na familia zao..

Je hao wastaafu na Familia zao wameomba wasaidiwe kusemewa au ndio kujipendekeza kwa mwendo kasi?
 
Hao wastaafu Hadi Sasa wanafanya nn mjini DSM kwani hawana vijij walivyotoka wakaishi huko wapishe vijana wa kisasi kipya
Baraza kuu la Waislam Tanzania, limetaka mfanyabiashara wa Casino Gaming kufunga mara moja kwani wanaleta Uaumbufu kwa makazi ya Viongozi. Casino ipo Palm Village Mikocheni.

Tatizo ni kwamba Casino ipo eneo lenye Wananchi wengi na hasa Viongozi Wastaafu kuanzia Familia ya BABA WA TAIFA NA RAIS WA AWAMU YA PILI

....kuwawekea Biashara ya Kamali kwenye Milango ya makazi yao ni ukosefu wa Nidhamu na Maadili. BAKWATA iliwafahamisha mapema kabla ya kujengwa na kufunguliwa kwa Biashara hiyo ya Kamali maana pia eneo hilo linakaliwa pia na Viongozi wengi wa Dini Wastaafu.

Inashangaza kwamba Mkurugenzi muhusika wa utoaji wa Vibali vya Kamali akaamua kuziba Masikio na kuruhusu Biashara hiyo inayokera sana kutokana na Wingi wa Watu kuingia na kutoka ndani ya jengo hilo Usiku kucha na kuwasumbua majirani na hasa Viongozi Wastaafu.

Ni muhimu sana Serikali ikaingilia sasa suala hili na kulitafutia ufumbuzi maana Biashara ya Kamali haifai kuwa kwenye maeneo ya makazi ya Wananchi.
View attachment 2504192View attachment 2504193

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kiongozi wa kiislam umejuaje yanayoendelea kwenye casino? Mimi tu sio mkamilifu ila sijawahi kuingia casino, sijui yanayoendelea na sitaki kujua na wala hainisumbui. Na nyie ndo mmenifahamisha kuna casino maeneo hayo. Au ni biashara mnatangaza?
 
Je, viongozi wenyewe ama familia zao wamelalamika au ni kule kujikosha tu, wanataka wahame wao ili waweke msikiti na kuwapigia viongozi hao hao na familia zao kelele usiku wa manane kwa kuwaamsha na kuwaambia "sala ni muhimu zaidi kuliko usingizi wao?"

 
Usumbufu gani!? Aliyewahi kusikia casino lolote hapa Tanzania linaleta usumbufu kwa watu wanaozunguka eneo hilo atuambie hapa..usumbufu uwe either mziki mkubwa au fujo za walevi...
AISEE HATA MIMI WAMENIACHA NA BUTWAAA KABISA HAWA BAKWATA.
 
Huu sasa ni upuuzi,hao bakwata wana tumia sheria gani kutoa tamko? Hizi dini zifanye kazi ya ibada huko kwingine ni kuanza kuleta chokochoko.
We mkazi wa Mbagala kwa nyoka mmeshaozoea kelele na ukahaba kwenye makazi yenu
 
Bakwata ni ofisi ya waislam na sio msikiti,,

Waache mambo ya kipuuzi..

Mbona hawajawahi kukemea matangazo mbalimbali ya Kamari yanayotangazwa redioni na kwenye TV..

Kama ni kwl wameguswa na Kamari.

Shame on you Bakwata.

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom