Baada ya majeshi ya Marekani kushusha kipondo cha kufa mtu huko kwa wahouthi Iran asalimu amri kuondoka huko Yemen

Echolima1

JF-Expert Member
Nov 2, 2019
1,934
1,988
Iran imeripotiwa kuwaamuru wanajeshi wake kuondoka Yemen na inapunguza uungaji mkono wake kwa Wahouthi huku kukiwa na mashambulizi makubwa ya anga ya Marekani dhidi ya kundi hilo la waasi.
Gazeti la Telegraph la Uingereza limemnukuu "afisa mkuu wa Iran" akisema kwamba Tehran inapunguza uungaji mkono wake kwa washirika wake wa kikanda ili kuzingatia vitisho vya moja kwa moja vinavyotokana na utawala wa Trump.
Afisa huyo pia anasema kuwa hatua hiyo kutoka Yemen imefikiwa ili kuepusha uwezekano wa kuongezeka msuguano na Marekani ikiwa mwanajeshi wa Iran atauawa katika mashambulizi ya anga ya Marekani huko.

Tehran inaelekeza nguvu zake badala ya jinsi ya kujibu Rais wa Marekani Donald Trump na orodha yake ya vitisho, na "hakuna kundi lolote la kikanda tulilounga mkono ambalo linajadiliwa," afisa huyo amenukuliwa akisema.
 

Attachments

  • IMG_0450.jpeg
    IMG_0450.jpeg
    52.7 KB · Views: 1
  • IMG_0504.jpeg
    IMG_0504.jpeg
    74.3 KB · Views: 1
Marekani hapo Yemeni kayatimba tangu aangushe mabomu mazito mpaka Leo houth bado wameifunga bahari ya red sea
1743528817030.jpg
 
Marekani hapo Yemeni kayatimba tangu aangushe mabomu mazito mpaka Leo houth bado wameifunga bahari ya red sea
View attachment 3292485
Kwa kipondo hicho lazima atafungua tu!! Na kwa taarifa yak tu sasa hizi wanamnyoosha kwanza kibaka huyu baadaye akishanyooka wanaweza kupitisha bila wasi wasi wowote. Iran mwenyewe kąsali u amri kuwaondoa askari wake sasa kazi imerahisika sana!!
 
Hizo ni propanda za vita! Mkono wa Iran mashariki ya kati bado una nguvu.
Marekani haikuanza leo kupambana na kikundi hii cha Houthi,ni muda lakini bado kikundi hiki kina nguvu.
Mwisho,usegemee vyanzo vya habari vya nchi za West,fuatilia na vyanzo vingine duniani.
 
Iran imeripotiwa kuwaamuru wanajeshi wake kuondoka Yemen na inapunguza uungaji mkono wake kwa Wahouthi huku kukiwa na mashambulizi makubwa ya anga ya Marekani dhidi ya kundi hilo la waasi.
Gazeti la Telegraph la Uingereza limemnukuu "afisa mkuu wa Iran" akisema kwamba Tehran inapunguza uungaji mkono wake kwa washirika wake wa kikanda ili kuzingatia vitisho vya moja kwa moja vinavyotokana na utawala wa Trump.
Afisa huyo pia anasema kuwa hatua hiyo kutoka Yemen imefikiwa ili kuepusha uwezekano wa kuongezeka msuguano na Marekani ikiwa mwanajeshi wa Iran atauawa katika mashambulizi ya anga ya Marekani huko.

Tehran inaelekeza nguvu zake badala ya jinsi ya kujibu Rais wa Marekani Donald Trump na orodha yake ya vitisho, na "hakuna kundi lolote la kikanda tulilounga mkono ambalo linajadiliwa," afisa huyo amenukuliwa akisema.
Vyanzo vyako vya habari jaribu kuviangalia vizuri. Usije ukawa unachukuwa habari kwa mtu mfano wa Lukas Mwashamba
 
Hizo ni propanda za vita! Mkono wa Iran mashariki ya kati bado una nguvu.
Marekani haikuanza leo kupambana na kikundi hii cha Houthi,ni muda lakini bado kikundi hiki kina nguvu.
Mwisho,usegemee vyanzo vya habari vya nchi za West,fuatilia na vyanzo vingine duniani.
Tokea vita ya ghuba kati ya Iran na Iraq iishe, lini Iran aliwahi kushambuliwa nchini mwake ukiondoa hi ya Israel mara 2 mwaka jana? Na baada ya kipigo, Iran wameendelea kuipiga mkwara Israel?
 
Hizo ni propanda za vita! Mkono wa Iran mashariki ya kati bado una nguvu.
Marekani haikuanza leo kupambana na kikundi hii cha Houthi,ni muda lakini bado kikundi hiki kina nguvu.
Mwisho,usegemee vyanzo vya habari vya nchi za West,fuatilia na vyanzo vingine duniani.
Ambavyo ni ALJEZEERA 😂😂😂😂
 
Halafu waarabu sijui wanashida gani kichwani yemen kadungua hizo drone zimefika 16 ila ndo kwanza qatari na UAE wamepewa hizo drone
Una uhakika gani Yemen alizidungua kweli? Hiyo ilikuwa ni Taqiyyah tu
 
Iran imeripotiwa kuwaamuru wanajeshi wake kuondoka Yemen na inapunguza uungaji mkono wake kwa Wahouthi huku kukiwa na mashambulizi makubwa ya anga ya Marekani dhidi ya kundi hilo la waasi.
Gazeti la Telegraph la Uingereza limemnukuu "afisa mkuu wa Iran" akisema kwamba Tehran inapunguza uungaji mkono wake kwa washirika wake wa kikanda ili kuzingatia vitisho vya moja kwa moja vinavyotokana na utawala wa Trump.
Afisa huyo pia anasema kuwa hatua hiyo kutoka Yemen imefikiwa ili kuepusha uwezekano wa kuongezeka msuguano na Marekani ikiwa mwanajeshi wa Iran atauawa katika mashambulizi ya anga ya Marekani huko.

Tehran inaelekeza nguvu zake badala ya jinsi ya kujibu Rais wa Marekani Donald Trump na orodha yake ya vitisho, na "hakuna kundi lolote la kikanda tulilounga mkono ambalo linajadiliwa," afisa huyo amenukuliwa akisema.
Huna hata link ya hio habar...maana imekaa kutungwa tungwa tuh
Mimi nataka Iran ashupaze shingo kwa kichaa Trump, yaani makobaz hamtakaa msahau kitakachowakuta.
Sawa mvaa vitenge
 
Hizo ni propanda za vita! Mkono wa Iran mashariki ya kati bado una nguvu.
Marekani haikuanza leo kupambana na kikundi hii cha Houthi,ni muda lakini bado kikundi hiki kina nguvu.
Mwisho,usegemee vyanzo vya habari vya nchi za West,fuatilia na vyanzo vingine duniani.
Unataka nifatilie Aljazeera mdau wa Ugaidi?

View: https://x.com/inteltower/status/1907876472104349824?s=61

View: https://x.com/majeed66224499/status/1907884162935050708?s=61

View: https://x.com/defence_pk99/status/1907982554168180773?s=61

View: https://x.com/arifromkfarsaba/status/1908019573862858917?s=61
 
Back
Top Bottom