Baada ya majeshi ya Marekani kushusha kipondo cha kufa mtu huko kwa wahouthi Iran asalimu amri kuondoka huko Yemen

Wewe piga tu propaganda za wazayuni. Meli ya mzayuni na jinga lake marekani haziputi bahari nyekundu.
Babdari ya Eilat ya Mzayuni imeisha kufa kifo Cha mende.
Uchumi wa Israel unapumulia mashine, wa marekani ndio unakwenda kufa pia ndio maana Trump anatapatapa kutafuta Kodi za nguvu hajui akiongeza hizo Kodi za uagizaji bidhaa ni marekani mtumiaji ndio atalipa.
Dunia mpya inakuja , hakuna uzayuni , hakuna marekani.
 
Iran imeripotiwa kuwaamuru wanajeshi wake kuondoka Yemen na inapunguza uungaji mkono wake kwa Wahouthi huku kukiwa na mashambulizi makubwa ya anga ya Marekani dhidi ya kundi hilo la waasi.
Gazeti la Telegraph la Uingereza limemnukuu "afisa mkuu wa Iran" akisema kwamba Tehran inapunguza uungaji mkono wake kwa washirika wake wa kikanda ili kuzingatia vitisho vya moja kwa moja vinavyotokana na utawala wa Trump.
Afisa huyo pia anasema kuwa hatua hiyo kutoka Yemen imefikiwa ili kuepusha uwezekano wa kuongezeka msuguano na Marekani ikiwa mwanajeshi wa Iran atauawa katika mashambulizi ya anga ya Marekani huko.

Tehran inaelekeza nguvu zake badala ya jinsi ya kujibu Rais wa Marekani Donald Trump na orodha yake ya vitisho, na "hakuna kundi lolote la kikanda tulilounga mkono ambalo linajadiliwa," afisa huyo amenukuliwa akisema.
Taarifa za leo ni kuwa mpaka sasa wametumia dola bilioni moja lakini hakuna mafanikio yoyote,mji wa makombora wa chini wa houthi na vifaa vyao vipo salama,bwana trump kaongeza madege kuwatwanga houthi,dalili kabisa kwamba mambo hayajaenda sawa
 
Wewe piga tu propaganda za wazayuni. Meli ya mzayuni na jinga lake marekani haziputi bahari nyekundu.
Babdari ya Eilat ya Mzayuni imeisha kufa kifo Cha mende.
Uchumi wa Israel unapumulia mashine, wa marekani ndio unakwenda kufa pia ndio maana Trump anatapatapa kutafuta Kodi za nguvu hajui akiongeza hizo Kodi za uagizaji bidhaa ni marekani mtumiaji ndio atalipa.
Dunia mpya inakuja , hakuna uzayuni , hakuna marekani.
Hizo ni ndoto za Mwendawazimu!!!
 
Wewe piga tu propaganda za wazayuni. Meli ya mzayuni na jinga lake marekani haziputi bahari nyekundu.
Babdari ya Eilat ya Mzayuni imeisha kufa kifo Cha mende.
Uchumi wa Israel unapumulia mashine, wa marekani ndio unakwenda kufa pia ndio maana Trump anatapatapa kutafuta Kodi za nguvu hajui akiongeza hizo Kodi za uagizaji bidhaa ni marekani mtumiaji ndio atalipa.
Dunia mpya inakuja , hakuna uzayuni , hakuna marekani.
Dunia mpya inakuja ya kusimika Islamic State itawale dunia chini ya Utawala wa Khalifa.
Dunia mpya ya kuongozwa na Sharia za Kiislamu.
Wanaume tulazimishwe kufuga ndevu.
Tuishi kama wanavyoishi raia wa Afghanistan.
Wayahudi na Wakristo walazimishwe Kuslimu na kuimba La illah ila Allah Muhamadi Rasulillah?
La tulipe Jazya la tuuliwe:

Hilo sahauni kwakuwa kiongozi wetu alisha tupa tahadhari na nguvu.
Aliliona hilo kabla ya hiyo dini kuwepo duniani.
Alijua kabisa itakapo kuja hiyo dini haitachangamana na imani ya yake, wafuasi wake watachinjwa kama kuku kama wakikataa kujiunga nayo:

Mathayo (Mat) 10:34
Msidhani ya kuwa nimekuja kuleta amani duniani; la! Sikuja kuleta amani, bali upanga.
Luka 22:35
Akawauliza, Je! Hapo nilipowatuma hamna mfuko, wala mkoba, wala viatu, mlipungukiwa na kitu?
Wakasema, La!

36 Akawaambia, Lakini sasa mwenye mfuko na auchukue, na mkoba vivyo hivyo; naye asiye na upanga, na auze joho yake akanunue.

Msahau kabisa lengo la kuwatawala Wakristo.
Jesus Christ is there to protect his disciples:

Wakristo hatujaambiwa popote tuwa harasi watu wa imani tofauti.
Tumeambiwa tuwapende wote na kuwaombee waipate neema ya Kristo.

Naskia wengine wameambiwa wakituona watulazimishe tuwalipe kodi sababu ya imani tofauti tu, au watusilimishe au watuchinje yaani bila sababu yoyote:
Bado nashangaa hadi kesho, ni Mungu gani huyo awaumbe Wakristo halafu azunguke kwa wengine kuwaamuru watuchinje bila kusema sababu wala kujitetea ?
 
Huko Afghanistan wengi wa raia wake wanataka kuikimbia hiyo nchi kuzikimbia Sharia Laws.
Nchi nzuri ni ile inayoamua mambo yake kutokana na Katiba waliojiwekea kwa ridhaa ya wote na sio kufuata maneno ya mtu fulani wa hapo kale.
 
Back
Top Bottom