figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,780
- 56,327
Makamu Mwenyekiti Zanzibar Mhe. Said Mzee Said, Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Ali Ibrahim Juma na wengine 10 wakiwemo waandishi wanne walikuwa wamekamatwa mapema leo wameachiwa maeneo ya pori la Mabwepande, Kawe wakiwa wamepigwa na kuumizwa sana na Jeshi la Polisi.
Wameumizwa sana na sasa wanapelekwa hospitali ya Mwananyamala.
Wameumizwa sana na sasa wanapelekwa hospitali ya Mwananyamala.