Pre GE2025 Baada ya kukamatwa Kisutu, Naibu Katibu Mkuu CHADEMA-Zanzibar apatikana, adai kupelekwa Pori la Mabwepande na kupigwa sana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Makenge yameshika kwenye mpini.
Halafu hao CCM kila siku wanajifanya kuhubiri Amani na kuwaambia Vingozi wa dini waiombea Amani inchi,kwa huu ujinga unaoedele sizani? Na kina shekhe Mwaipopo haya huwa hawayaoni yanayofanyika kwa matendo ila ya Lissu akiongea akitaka haki ndiyo wanayaona na kusema anataka kuvuruga Amani
Haya majitu ni maumbwa yanayovaa suti.
 
Kama huna kazi za kufanya dawa ndo hiyo unakamatwa unaenda kuachiwa hata chalinze ili upate kazi ya kurudi kwako, hamna haja ya kujaza watu magereza kwa kesi ya uzembe na uzururaji
 
Naona dola inataka kuiangusha CCM kwa njia hii magufuli walimseti hvhv MWISHO ikawa kwaheri magu sasa wanamseti na mama ili aidha wamuondoe au waiondoe CCM. Kwasababu sidhani kama mama anakubaliana na huu upuuzi sidhani ila kwasababu amekaa kimya na kauli yake kwa Mzee kibao RIP bado inaishi umma unaamini haya yote yanafanyika kwa baraka zake.
 
Wanafanya maigizo ya kitoto sana. Ni kama mavichwa yao yaligongeshwa wakiwa watoto. Mnawakamata watu hawana silaha, mnawapiga na kuwatupa kwa pori.

Hii polisi ina tofauti gani na vibaka wanaokwapua watu. Mimi ndiyo maana huwa nawadharau kila napokutana nao.
Ukiwadharau inapunguza nini au kuongeza nini? Mbona mahakamani hujajitokeza leo?
 
Umeambiwa kafumaniwa na mama yako.
ni vizuri kuepuka udhalilishaji na dhihaka kwa wamama wa JF, mama yako mzazi, mama yangu mzazi na mama wazazi wote wa wadau wengine wa JF.

hawahusiki kwenye mjadala huu,
ni muhimu zaidi kujikita kwenye hoja :NoGodNo:
 
ben-saanane.jpg
Deusdedith-Soka-e1724914476663.jpg

Je na remains za ndugu zetu pia ziko huko Mabwepande?
 
OMBA Mungu isifike SIKU ambayo wote tutalia kama taifa kwasasa wanalia CHADEMA pekee ila Kuna SIKU tutalia kama nchi tuombe sana isifike hiyo SIKU.
Acha ndoto za asubuhi dogo unatamani machafuko wakati tangu uzaliwe hujawahi kuskia hata sauti ya risasi zaidi ya kuangalia kwenye movie, hiyo siku ambayo una ndoto nayo ikifika huu ushujaa wako wa nyuma ya keyboard wenyewe hautakua nao tena
 
Huniwezi kwa lolote wewe unayepumuliwa ili ule na hapa ndiyo umefika mwisho kujibiwa namimi maana nakuweka kwa 🚮 kama vichaa wenzako. Mwanaume mzima unalamba watu matacle ili ule hebu achana namimi maji marefu huniwezi. Takataka.
Nikuweze wa kazi gani mjinga mmoja wewe, yani mi nihangaike kumuweza mtu mjinga mjinga?

Acha mdomo mrefu nyuma ya keyboard nenda kisutu puuumbav
 
Back
Top Bottom