Athari mbaya 5 za tamko la TEC kuhusu siasa siku ya Pasaka

au sio,

agenda kama hizo hazijawai kufanya kazi ndani ya kanisa katoliki

kutawala ukristo kwa takriban miaka elfu mbili kuna propaganda nyingi zilikwepo nyingine kubwa kuliko hizo zikichukua kitu kinacho trend kwa muda huo na wakitumia watu wenye ushawishi kama sasa walivyotumia bbc kuwajengea negativity waumini na wasikikizaji wote,

kanisa katoliki halijawahi kutikisika wala kujibu ( kama liliwahi katafute useme )

na wala hawajibu wala hawasikii kwasababu sauti zenu zipo chini mno


linachojua ni kuzidi ku dominate


unaposoma kalenda yako na kujua leo ni tarehe ngapi mwezi na mwaka gani jua unatumia kalenda ya katoliki iliyopangwa kabisa na papa ndo maana leo ni monday 21 pril 20205

hii ni greogorian calender imepangwa n apapa Gregory ikaitwa Gregorian callender inatumika na dunia nzima hadi wewe

"juu ya mwamba huu nalijenga kanisa na halitotikisika"
ni ngumu kusikia 2akatoliki wakijiongea ila linakua tu, utawasikia wasabato na wengine ila kanisa katoliki lina umri wa takriban miaka elfu mbili zaidi ya dini yoyote ile,

imefanye yote unayotumia sasa ukiachana na calender biblia imepangwa vitabu na kanisa katoliki


bibilia haimtambui mtume ila quran inamtambua Yesu ukatokiko umeanza takriban miaka mia saba kabla ya uislamu na mengine mengi

"juu ya mwamba huu nalijenga kanisa na halito tikisika"
Mnavyojidai na kujiona sasa! Mnawadharau hata wakristo wenzenu kisa nyie wakatoliki. Mnajioooona mtadhani mshafika mbinguni vile. Katika wakristo wote nyinyi wakatoliki ndio waasi sana bora hata walokole na wasabato
 
Hakuna tatizo kuchukua upande wa kisiasa.
Hawa ni baadhi ya viongozi wa kidini waliowahi kuchukua upande wa kisiasa.

1. Martin Luther King Jr.
2. Askofu Desmond Tutu
3. Janani Luwum dhidi ya Iddi Amin
4. Askofu Mfaniseni Sigisbert Ndwandwe
5. Cardinal Paulo Evaristo Arns
6. George Bell, Bishop of Chichester
7. Askofu Hélder Câmara
8. Askofu Julio Xavier Labayen
Padre slaa.

Alivua kanzu akavaa gwanda, nao wavue majoho wavae magwanda au zambalau nk
 
Majibu ya Pointi 5:
1. Heri kuwa na mgawanyiko wa kijamii kuliko kuwa na muungano uliojengwa katika uongo, uonevu, wizi wa haki na kura za watu. Ni watu wasio na dhamira njema na wezi ndio watakaotetea muungano katika misingi ya dhuluma na uongo.

2. Imani msingi wake mkuu ni ukweli; hata siku moja imani haiweze. kudhoofika katika ukweli badała yake imani iliyojengwa kaika dhuluma huleta uoga wa kumwabudu mwanadamu na udikteta!

3. Ni wajibu kutoka kwa Mungu juu ya mamlaka ya duniani kwa kanisa kupinga dhuluma na uonevu na wizi hata kama ikibidi kukwaruzana na mamlaka yoyote ya dunia hii. Inatupasa kumtii Mungu kuliko mwanadamu.

4. Viongozi wa imani au dini wana jukumu ambalo kimsingi si kuziepusha nafsi zao bali kujitoa kama sadaka ili wengine wapone. Bibilia inasema: Mtu atakaye kuikoa nafsi yake ataipoteza..." Viongozi lazima wajitoe na wahatarishe maisha yao na pengine kupoteza maisha yao ili wasimamie ukweli na ukweli ndio utatufanya wote huru sio kusimamia mutambo na njaa zao na usalama wao tu!

5. Ki msingi Pasaka ni sikukuu ya kisiasa! Asili yake ni kuwatoa wana wa Israeli utumwani Misri na baadae ktk msingi huohuo wa ukombozi wa kisiasa, kumweka mwadamu huru kutoka utumwa wa dhambi, dhuluma, ujinga, magonjwa rushwa, umasikini na vyote vinavyomdhalilisha. PASAKA=SIASA: Watanzania wanahitaji PASAKA YA KISIASA ili kuwa HURU sio blah blah tu.
 
Athari mbaya 5 za Tamko la TEC kuhusu Siasa Siku ya Pasaka
  1. Kuchochea Migawanyiko ya Kijamii na Kisiasa
    • Tamko linaweza kuonekana kama kuchukua upande fulani wa kisiasa, hivyo kuibua hisia mseto miongoni mwa raia. Wapo wanaoweza kuona kanisa kama linaegemea upande wa wapinzani, na wengine kuona ni tishio kwa mamlaka ya dola.
  2. Kupunguza Imani ya Watu kwa Kanisa
    • Wale ambao hawaungi mkono hoja za kisiasa zilizotolewa wanaweza kupoteza imani kwa kanisa, wakihisi kuwa linatumika kama chombo cha kisiasa badala ya kuwa sauti ya kiroho tu.
  3. Mchango katika Kusababisha Msuguano kati ya Serikali na Kanisa
    • Serikali inaweza kuchukulia tamko hilo kama kuingilia mamlaka au kuhamasisha uasi, hali inayoweza kusababisha mvutano kati ya taasisi hizo mbili muhimu kwa utawala wa amani.
  4. Kuweka Maaskofu na Viongozi wa Dini Katika Hatari
    • Kwa kutoa matamko ya moja kwa moja dhidi ya serikali au taasisi zake, viongozi wa dini wanaweza kujikuta wakilengwa au kuzuiwa kushiriki katika baadhi ya shughuli za kijamii au kitaifa.
  5. Kugeuza Sikukuu ya Pasaka kuwa ya Kisiasa
    • Watu wengine huona Pasaka kama siku takatifu ya kiroho, hivyo tamko lenye maudhui ya kisiasa linaweza kuharibu maana halisi ya sikukuu hiyo kwa waumini.
Kifurukutu Kuna Wakati nawaza nataka kusema maaskofu wanatafuta mkate Ila kuna sauti inaniambia kausha.
 
4.Hatari ya kitu gani?

Unajua mapadri/maaskofu maisha Yao ni kujitoa sadaka typically?
Unatishia kutoitwa kwenye shughuli za kitaifa ili iweje?
Mapadri/Maaskofu wana exposure ya maisha na almost wote wameshatoka nje ya Tz na wanajua wanachokifanya na kusema.

Usifundishe samaki kuogelea.

Umeandika rubbish kabisa mleta Uzi.
 
Mnavyojidai na kujiona sasa! Mnawadharau hata wakristo wenzenu kisa nyie wakatoliki. Mnajioooona mtadhani mshafika mbinguni vile. Katika wakristo wote nyinyi wakatoliki ndio waasi sana bora hata walokole na wasabato
ndo hivo tu kanisa takatifu katoliki la mitume,

kila mtu ataenda sehemu anayostahili ila imani katoliki itabaki kua imejengwa katika msingi huo. kanisa la mitume

sasa kama makanisa mengine yote yamechipikia kutoka kanisa katoliki ukweli utapingika ? au waje wajisemee wametoka wapi ?

actually hii sio mada ya dini ila inaonyesha tu jinsi gani kanisa katoliki lilivyo na uwezo wa kutoa tamko tena kanisani tu na likazua taharuki nchi nzima kwani kanisa au taasisi gani nyingine inaweza ?
 
usiongelee wakristo wote wapumzishe wengine hili ni swala la wakatoliki

wahenga walisema mwenye nguvu mpishe, kanisa katoliki lime dominate ukristo kwa takriban miaka elfu mbili ndo taasisi kubwa kuliko zote duniani likiwa na wafuasi wapatao bilioni mbili ( dunia ina watu wapatao bilioni saba )

ukishaanza kujiona unapingana na kanisa katoliki ujue hiyo ni dalili ya kua mwisho wako umefika huo ndo ukweli mchungu "juu ya mwamba huu nalijenga kanisa na halitotikisika"
Mkuu mim nadhan tukiacha hiyo cv ya RC tuangalie tu kwamba kinachosemwa na kanisa(RC) na kilichopo mtaani kinatofauti? Je raia hawajui kinachoendelea kwamb wamezinduka kwa kuwa RC imesema?.
 
Kama maaskofu wanaonge vitu visivyo kuwepo wadhibitiwe maana hata zama za wafalme kulkuwa na manabii wa uongo dhid ya tawala zao.
Lakin kama wayasemayo nkweli basi mamlaka itakuwa ishaandaa majibu kitambooo.

Maansa hata matabibu wanapofanya upasuaji hawakurupuki wanajipanga na response ya mwili kama pains, bleeding, short and long term effectd, normal & strangs body responses n.k sasa kama tamko la maaskofu ni response ya governmental acts lazima wamesha ya predicts.
Hivyo watakavyo deal na response kama hizo itakuwa safe & perfect wala silioni tishio lolote hapo.
 
Athari mbaya 5 za Tamko la TEC kuhusu Siasa Siku ya Pasaka
  1. Kuchochea Migawanyiko ya Kijamii na Kisiasa
    • Tamko linaweza kuonekana kama kuchukua upande fulani wa kisiasa, hivyo kuibua hisia mseto miongoni mwa raia. Wapo wanaoweza kuona kanisa kama linaegemea upande wa wapinzani, na wengine kuona ni tishio kwa mamlaka ya dola.
  2. Kupunguza Imani ya Watu kwa Kanisa
    • Wale ambao hawaungi mkono hoja za kisiasa zilizotolewa wanaweza kupoteza imani kwa kanisa, wakihisi kuwa linatumika kama chombo cha kisiasa badala ya kuwa sauti ya kiroho tu.
  3. Mchango katika Kusababisha Msuguano kati ya Serikali na Kanisa
    • Serikali inaweza kuchukulia tamko hilo kama kuingilia mamlaka au kuhamasisha uasi, hali inayoweza kusababisha mvutano kati ya taasisi hizo mbili muhimu kwa utawala wa amani.
  4. Kuweka Maaskofu na Viongozi wa Dini Katika Hatari
    • Kwa kutoa matamko ya moja kwa moja dhidi ya serikali au taasisi zake, viongozi wa dini wanaweza kujikuta wakilengwa au kuzuiwa kushiriki katika baadhi ya shughuli za kijamii au kitaifa.
  5. Kugeuza Sikukuu ya Pasaka kuwa ya Kisiasa
    • Watu wengine huona Pasaka kama siku takatifu ya kiroho, hivyo tamko lenye maudhui ya kisiasa linaweza kuharibu maana halisi ya sikukuu hiyo kwa waumini.
Hakuna mkristo tena Mkatoliki ambaye anajua ubaya wa dhambi na haidiki na dhambi hiyo atachukia .Kwa taarifa Yako tu ambaye aweza kujisikia vibaya kwa mbali ni Mseminari Nchimbi ,Amos Makala na Mzee wenu wa kusinzia tu.Asilimia kubwa ya Wakatoliki hata Wana CCM wenyewe wanatamani mabadiliko
 
Daaah uchawa shida sana kwenye hii inchi , kwa hatua tuliyokuwa nayo ukweli lazima usemwe tu maana nyakati zimekaribia
 
Mnavyojidai na kujiona sasa! Mnawadharau hata wakristo wenzenu kisa nyie wakatoliki. Mnajioooona mtadhani mshafika mbinguni vile. Katika wakristo wote nyinyi wakatoliki ndio waasi sana bora hata walokole na wasabato
Mbona umepaniki .Wewe ni CCM na Malaya wa kisiasa .Kati ya madhehebu ambao hawana majivuno hata kidogo ni Kanisa Katoliki .Sema hapa wewe Ukweli umekuchoma ndiyo maana unafuta sympathy.

Ni hivi No reform no election .

OLE WAKE MWANANCHI ATAKAYE PANGA MSTARI KUPIGA KURA .Polisi wenu wanabunduki sisi tuna mawe mengi.
 
Back
Top Bottom