Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
AGAO ukimchunguza sana bata unaweza usimle,,ila ukishamla na kuanza kuarisha ndio unakujua kujua matatizo yake hao ndio watanzania,,,mimi bado najiuliza na hata nikikaa na wenzangu tiopata redenderz kweli shirika limepata wenyewe,,maana kuna swala hili la ndege kubwa wanaita AIRBUS,,kila siku inakuja leo leo,,pili habari tulizonazo kuna watu walitoa offer za airbus,,1)akaja na offer ya doller 260,000 pamoja na kuwafundisha wanahanga wote bure 2)kaja na offer 300,000 pamoja na matengenezo bure kwa miaka 4 ndege ikiharibika,,huyu mwingine ndie tulienunua kwake kaja anaitaji dollali 360,000,,bila lolote,baya habari tulizonazo na ambazo bado tunachunguza ndege inayokuja imekutwa na matatizo kibao yasiooelezka na maengenezo yanayoendelea yako juu ya ATCL,,JAMANI ee mollah utulinde
AMEN
AMEN