LGE2024 Askofu Pisa: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ulikuwa kama 'Mchezo Mchafu'

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
May 16, 2024
2,489
7,023
Maaskfu kutoka Madhehebu mbalimbali ya Kikristo nchini wamekutana leo, Jumatano Desemba 18.2024 katika ukumbi wa Kurasini Conference and Training Center uliopo makao makuu ya Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC), jijini Dar es Salaam

Maaskofu hao pamoja na wadau wengine wa masuala ya 'Amani na Haki' wamekutana kufanya tathmini ya uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 chini ya mada isemayo, 'Je, maamuzi ya wapiga kura yemeheshimiwa?'

Aliyefungua kongamano hilo ni Rais wa TEC Askofu Wolfgang Pisa, OFMCap ambaye pamoja na mambo mengine amegusia kuchomoza kwa matukio ya mauaji, rushwa nk katika uchaguzi huo
 
Maaskfu kutoka Madhehebu mbalimbali ya Kikristo nchini wamekutana leo, Jumatano Desemba 18.2024 katika ukumbi wa Kurasini Conference and Training Center uliopo makao makuu ya Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC), jijini Dar es Salaam

Maaskofu hao pamoja na wadau wengine wa masuala ya 'Amani na Haki' wamekutana kufanya tathmini ya uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 chini ya mada isemayo, 'Je, maamuzi ya wapiga kura yemeheshimiwa?'

Aliyefungua kongamano hilo ni Rais wa TEC Askofu Wolfgang Pisa, OFMCap ambaye pamoja na mambo mengine amegusia kuchomoza kwa matukio ya mauaji, rushwa nk katika uchaguzi huo
View attachment 3179466
Haukuwa kama mchezo mchafu ulikuwa UCHAFUZI
 
kuna mwamba kule chattle ndo aliwaonesha njia enzi bado anavuta oksigen
 
Maaskfu kutoka Madhehebu mbalimbali ya Kikristo nchini wamekutana leo, Jumatano Desemba 18.2024 katika ukumbi wa Kurasini Conference and Training Center uliopo makao makuu ya Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC), jijini Dar es Salaam

Maaskofu hao pamoja na wadau wengine wa masuala ya 'Amani na Haki' wamekutana kufanya tathmini ya uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 chini ya mada isemayo, 'Je, maamuzi ya wapiga kura yemeheshimiwa?'

Aliyefungua kongamano hilo ni Rais wa TEC Askofu Wolfgang Pisa, OFMCap ambaye pamoja na mambo mengine amegusia kuchomoza kwa matukio ya mauaji, rushwa nk katika uchaguzi huo
View attachment 3179466
Tatizo la Tanzania tangu 2015 ni kuwa na marais wabovu kabisa kuwahi kutokea na kulazimisha kuzalishwa kwa machawa ili wawape sifa wasizokuwanazo na za kijinga
 
Back
Top Bottom