Ni katika video clip ambayo inasambaa kwa kasi nchi nzima ktk mitandao ya kijamii instagram, twitter, Whatapp, facebook na Youtube ambapo Askofu huyo Mtumishi Wa Mungu anatanabaisha maajabu yanayotendeka ktk harakati za Lissu.
Nabii na mtume Mwingira anasema Mtu huyu ( Tundu) hajawahi kujenga Reli wala daraja la juu ( fly over) lakini tazama jinsi alivyo na wafuasi wengi sana.
Hakika mtu huyu ni Victor (mashindi) na kwamba Mungu yuko ndani yake.
Anasema kutokana na Lissu kuwa competitor na wengine Loosers hivyo hakuna wakumwangusha Lissu na wala hakuna wakumtisha maana ni victor.
Video hii hapa chini.
Nabii na mtume Mwingira anasema Mtu huyu ( Tundu) hajawahi kujenga Reli wala daraja la juu ( fly over) lakini tazama jinsi alivyo na wafuasi wengi sana.
Hakika mtu huyu ni Victor (mashindi) na kwamba Mungu yuko ndani yake.
Anasema kutokana na Lissu kuwa competitor na wengine Loosers hivyo hakuna wakumwangusha Lissu na wala hakuna wakumtisha maana ni victor.
Video hii hapa chini.