Andiko hili katika Biblia ndio kifungu katili zaidi kuwepo Duniani. Je, ni kweli Mungu aliamrisha ukatili wa namna hii?

Status
Not open for further replies.
Mzuka Wana jamvi.

Bila kupoteza muda naombeni Maarifa na uchumbuzi wa kina juu la andiko hili View attachment 3185805

NB : Lengo la huu Uzi ni kupata Maarifa kama hauna hoja na Maarifa yanayohusiana na Uzi pita kushoto mapema.

Kwa wasiojua Kiswahili au Foreigners nimewarahisishia kazi.View attachment 3185819
Hizi dini za kiarabu zina akili za kiarabu. Ndiyo maana husema siku zote kuwa ukristo na uislam ni mapacha.
 
Mnaenda mbali sana.

Kwan mnadhan kwann Israel mpaka Sasa anatembeza kichapo kwa wabaya wake?.

Chanzo ni nn??.
 
Kitabu hiki kilianza kupata umaarufu wakati kipindi unyama na ubabe ndio ilionekana ni umwamba na ujanja hence kingeandikwa leo au kitakavyoendelea ku metarmorphosize usishangae miaka mingi ijayo kikabadilika polepole na kuingizwa mambo ya demokrasia na hio mistari kupotea na kubakia hadithi au kupingwa kwamba haikuwa authentic....

Self fulfilling prophecy....
 
Onana wamemdungua na. Corner
Screenshot_20241226_214551_Chrome.jpg
 
Hao ni wachambuzi wa hayo masuala lazima niwatag , sio wewe Trashbag
Hapo unakosea unapoleta thread kama hizi tegemea watu wa aina mbali mbali hivyo tumia hekima tu kwasababu unahitaji majibu sahihi kuwa huru katika fikra yako usipanic ila kama uliandika kwa ushabiki utapanic.

Hizi ngoma ni balaa siyo za kila mtu ni wachache tu ndiyo wanaweza mudu hii midahalo kwahiyo twende taratibu watakuja wenye uelewa ambao hawana minyororo ya fikra

Mtaalamu David icke alisema "
The greatest form of control is where you think you're free
When you're being fundamentally manipulated and dictated to
One form of dictatorship is being in a prison cell and you can see the bars and touch them
The other one is sitting in a prison cell but you can't see the bars, but you think you're free".
 
TADHIMINI NA HILI;

Kama unaamini Mungu yupo, chukulia mfano maisha yako jinsi yalivyo. Mazuri yako na mabaya yako lakini Mungu amekua cha uwepo mpaka leo..


La pili
Katika Biblia nzima hilo neno ndio umeiona lina kufaa?
 
Ni hivi...hapa Duniani kuna watu ambao sio wanadamu,nikimaanisha hawana asili ya Mungu ila wanafanana na wanadamu....uzao huu ni matokeo ya wale malaika wa asi walioshuka na kuzini na wanadamu..uzao ukazaliwa ambao vibasaba zao ni vinasoma au vina asili ya ujinini...uzao huu ndio waamori,wahiti,wanefili n.k

Soma utafiti uliofanywa na mwanasayansi David Ick ameelezea vizuri.
Ndio maana Biblia inasema kunawatu wameandikia moto hata kabla ya misingi ya Dunia...
Kuna neno linasema acha magugu yakuwe na ngano.
Ndio maana wana wa Israel walipewa maagizo wawaangamize ile jamii iliyokuwa imekalia ardhi yao,(wanefeli),cha ajabu wakawwaacha watoto kwa uhuruma na ndio inawagharimu mpaka sasa

Huu uzao wenye vinasaba vya ujinini ndio unaoeneza ushoga Duniani,wanatengeneza magonjwa mfanoCovid 19,H.I.V n.k...na wengi ni viongozi wakubwa,watu mashuhuri,matajiri wakubwa n.k,na wanakamata hizi nafasi ili iwe rahisi kusukuma hizi agenda zao.
Just image kama mtu anaweza kumkosa mtoto alafu akaenda kwa mganga akafanyiwa jambo akapata mtoto..wewe unafikiri hiyo jamii itakuwa na asili gani?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom