Ghayo TheMongo Barbarian
Senior Member
- Oct 27, 2024
- 176
- 365
- Thread starter
- #41
Cc : Southern Highland
Hizi dini za kiarabu zina akili za kiarabu. Ndiyo maana husema siku zote kuwa ukristo na uislam ni mapacha.Mzuka Wana jamvi.
Bila kupoteza muda naombeni Maarifa na uchumbuzi wa kina juu la andiko hili View attachment 3185805
NB : Lengo la huu Uzi ni kupata Maarifa kama hauna hoja na Maarifa yanayohusiana na Uzi pita kushoto mapema.
Kwa wasiojua Kiswahili au Foreigners nimewarahisishia kazi.View attachment 3185819
Hapo unakosea unapoleta thread kama hizi tegemea watu wa aina mbali mbali hivyo tumia hekima tu kwasababu unahitaji majibu sahihi kuwa huru katika fikra yako usipanic ila kama uliandika kwa ushabiki utapanic.Hao ni wachambuzi wa hayo masuala lazima niwatag , sio wewe Trashbag
Sio bure Netanyahu uchizi wake ametoa kwenye Hilo andiko ndio maana hajali kitu.Mnaenda mbali sana.
Kwan mnadhan kwann Israel mpaka Sasa anatembeza kichapo kwa wabaya wake?.
Chanzo ni nn??.
Hii inahusiana vipi na mada mkuu ?Onana wamemdungua na. CornerView attachment 3185836
Umemsahau kirangaGhayo TheMongo Barbarian , hapo nimejitag na Mimi mwenyewe
It's aslo a Scumbag 🗑️ 🗑️ 🗑️ 🚮🚮Wakati mnaendelea na mtaftano nawasihi mtumie hii App as a reference
Bible Connect - Apps on Google Play
Bible Connect: Read, listen, and watch live worship. Join the community.play.google.com
Maghayo ni mkuu wa kikosi Cha kihuni humu "The Ghayos Mafia Gang" kikiwa na vichaa kama The Stress Challengerr The Mongolian Savage pamoja na Mimi Ghayo TheMongo Barbarian ila kwa sasa nimeamua rasmi niwe Muasi kwani sikubaliani na baadhi ya mieendo ya chama.Hivi wewe Maghayo na huyu Ghayo TheMongo Barbarian ni mapacha!!?
Nakataa , labda Mungu feki .Mungu ndio mwazilishi wa ugaidi