Stress Challenger
JF-Expert Member
- Feb 24, 2022
- 1,778
- 4,289
Jamani watanzania wenzangu tutafika kweli? Huu ni mda wa kulala nyie bado mko jamvin mnapiga porojo kuhusu nyimbo na beats. Tendeeni haki miili yenu.
Nakereka sana
Nakereka sana
Lala weweeeDa da da da da
It's the motherfuckin' D-O-double-G hiyo nyimbo inaitwa next episode
Unamaanisha ile bit Kali marehemu TX Moshi kamshirikisha Snoop?Mimi kuna wimbo mmoja snoop kashirikidhwa wa zaman kidgo una beat flan iv ndiii ndiiiii ndi ndiii ndiii ndiiii
Sawa mkuuSearch youtube andika “Why did you leave me-snoop dogg” labda ndo hiyo
Shukrani sana kiongoziNafikili hiyo beat itakua ya. Rex rabanye. Huyo ndo mtaalam wa beat hizo. Mgoogle utapata beats zake nyiiiine Sana
Yes ya kitambo sana, enzi za akina mzee majuto na mzee small walikuwa wanapenda itumia kama themr na soundtrack kwenye zile vhs zao.Hiyo biti ni ya wimbo mwingine na video ni nyingine kabisaa!! Hiyo beat ni ya kitambo sanaaa japo siikumbuki jina lake! Inanikumbusha late 90s
Hata hii nlkuwa naitafut lkn sio hyo ninayo maanishaDa da da da da
It's the motherfuckin' D-O-double-G hiyo nyimbo inaitwa next episode
Yaan huu wimbo snoop kashirikishwa alitia verse sem sehem kubwa kapig chorus n ya kweny miak ya 90'sMimi kuna wimbo mmoja snoop kashirikidhwa wa zaman kidgo una beat flan iv ndiii ndiiiii ndi ndiii ndiii ndiiii
Mimi kuna wimbo mmoja snoop kashirikidhwa wa zaman kidgo una beat flan iv ndiii ndiiiii ndi ndiii ndiii ndiiii
Kama mimi mkuu....au akaandike google ndiii ndiii ndiii ndii.Dah nmecheka kama chizi
Jina la wimbo wenye beat hiyo na muimbaji wake vimenitoka lakini siyo Mafikizolo japo picha zinazoonekana ni za huo wimbo uliotaja wa Mafikizolo. Beat hiyo ipo kwenye moja ya nyimbo za aidha Marehemu Pat Shange, Condry Ziqubu au kundi la Cheek to Cheek wote wa Afrika Kusini. Ulikuwa ni mmoja wa nyimbo maarufu zaidi ya miaka 20 iliyopita.Udakwa Njalo wa Mafikizolo
Asante kwa kunijuza, ukipata taarifa sahii za huo wimbo nijuzeJina la wimbo wenye beat hiyo na muimbaji wake vimenitoka lakini siyo Mafikizolo japo picha zinazoonekana ni za huo wimbo uliotaja wa Mafikizolo. Beat hiyo ipo kwenye moja ya nyimbo za aidha Marehemu Pat Shange, Condry Ziqubu au kundi la Cheek to Cheek wote wa Afrika Kusini. Ulikuwa ni mmoja wa nyimbo maarufu zaidi ya miaka 20 iliyopita.
Mpaka sasa ni 0-0Asante kwa kunijuza, ukipata taarifa sahii za huo wimbo nijuze
Hiyo nyimbo inaitwa THATS THAT,kamshirikisha R kellyMimi kuna wimbo mmoja snoop kashirikidhwa wa zaman kidgo una beat flan iv ndiii ndiiiii ndi ndiii ndiii ndiiii
Aseee mwanamgu hatimaye umekuja na jibu na ndio huo huo Big up aseeeee👏👏👏👏Hiyo nyimbo inaitwa THATS THAT,kamshirikisha R kelly
Dah! Serikali iendelee kukataza bangiMimi kuna wimbo mmoja snoop kashirikidhwa wa zaman kidgo una beat flan iv ndiii ndiiiii ndi ndiii ndiii ndiiii