Wengi wenu hamjui siasa za Rwanda. Kama kuna nchi yenye usataaarabu Africa ni Rwanda. Kwa watu waliyozea maisha bila utaratibu ndo mnajikuta mkiishambulia Rwanda. kimsingi..ikiwa umezoea maisha ya utaratibu kama Rwanda, basi ukitoka ukaenda nchi kama kenya, uganda and worse Tanzania, ndo utaona tofauti. nadhani wengi wenu pia humjui dhana nizima ya Genocide ..tena against Tutsis..tarehe 7 APril, fuatilia media za huko Rwanda utapata jibu