Yimakatso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 6,992
- 9,373
Huku tunakufa kwa uzembe wetu wenyewe ila marekani unauawa kikatili mara risasi yaani amani hakuna.Tanzania hakufai kuishi.
Watu wanakufa sana.
USA baby
Huku tunakufa kwa uzembe wetu wenyewe ila marekani unauawa kikatili mara risasi yaani amani hakuna.Tanzania hakufai kuishi.
Watu wanakufa sana.
USA baby
Tanzania hakufai kuishi.
Watu wanakufa sana.
USA baby
Kwan wamesema ni wahindi?Daaah Mungu awapumzishe ...ila mara nyingi wahindi ni rough drivers. .kuna siku muhindi/ alitu overtake kwa speed kali maeneo ya coco beach gari tatu kwenye kona...mbele akakutana na gari ingine ajali...
Nitawashangaa watakaosema hiyo ni kazi ya Mungu...
Hiyo gari ni mahindra au, hamna gari hapo
nini hujaelewaMkuu embu pitia tena kusoma ulichoandika, nimerudia rudia lkn sijaelewa..
Kazi ya Shetani hiyo...Kumbe hii tuiite kazi ya nani mkuu?
Baki hukohuko ili usife. Masihara kwenye mambo kama haya sio jambo jema.Tanzania hakufai kuishi.
Watu wanakufa sana.
USA baby
kwa mungu ndipo tulipotoka na kwa mungu ndipo tutakaporudi
NA KIRA NAFS ITAONJA UMAUTI
MWENYENZI AWASAMEHE DHAMBI ZAO NA AWAANDALIE MAKAZI MEMA HUKO WAENDAKO
amin![]()
Baki hukohuko ili usife. Masihara kwenye mambo kama haya sio jambo jema.
barah barah cheee???????.Daaah Mungu awapumzishe ...ila mara nyingi wahindi ni rough drivers. .kuna siku muhindi/ alitu overtake kwa speed kali maeneo ya coco beach gari tatu kwenye kona...mbele akakutana na gari ingine ajali...
- Mhindi/mwarabu hana subira kwenye traffic. Akiwa na dereva nasikia atampa matusi mpaka huyo dereva atanue, aovertake au aruke juu ili mradi asikae kwenye line. Nimeishi kwa hawa wenzetu honi za gari ni kama stering zao. Gari yako kama ndogo au gharama ndogo ndo heshima chini. Nimegundua wabongo wameanza huu mchezo halafu kuweka tinted kwenye gari. Wahindi/wabangla wanaficha wasiombwe na wengine wanakunywa kwenye gari sababu mfano bangla pombe nilipoishi kule hairuhusiwi hivo mtu analewa kwenye gari hivyo wanafunga vioo. Kutanua ni ile hali ya kujiona siwezi fanywa kitu nina hela, mi mhindi hawajui mhindi kwa sisi weusi ni mtu wa mwisho ila hatuwaambii macho kwa macho.