Ajali mbaya Kibada, Kigamboni: Watu 7 wafariki dunia

  1. Mhindi/mwarabu hana subira kwenye traffic. Akiwa na dereva nasikia atampa matusi mpaka huyo dereva atanue, aovertake au aruke juu ili mradi asikae kwenye line. Nimeishi kwa hawa wenzetu honi za gari ni kama stering zao. Gari yako kama ndogo au gharama ndogo ndo heshima chini. Nimegundua wabongo wameanza huu mchezo halafu kuweka tinted kwenye gari. Wahindi/wabangla wanaficha wasiombwe na wengine wanakunywa kwenye gari sababu mfano bangla pombe nilipoishi kule hairuhusiwi hivo mtu analewa kwenye gari hivyo wanafunga vioo. Kutanua ni ile hali ya kujiona siwezi fanywa kitu nina hela, mi mhindi hawajui mhindi kwa sisi weusi ni mtu wa mwisho ila hatuwaambii macho kwa macho.
Unaogopa nini kuwaambia macho kwa macho
 
kwa mungu ndipo tulipotoka na kwa mungu ndipo tutakaporudi

NA KIRA NAFS ITAONJA UMAUTI

MWENYENZI AWASAMEHE DHAMBI ZAO NA AWAANDALIE MAKAZI MEMA HUKO WAENDAKO

amin
Kama hawakuomba kusamehewa dhambi wao. We Huwezi kumu- convince Mungu kwa ajili yao.

Ninavyojua lakini.... But sorry
 
ile barabara ya kibada watu wanakimbia sana.... na bado ajali nying zafuata,,kuna gar za mchanga pia wanakimbia sana paspo sababu zozote zileeee..ile barabara ya kongowe mji mwem naiogopa kuliko ukimwiii
 
kila jambo na ahadi yake....lkn mostly hawa madereva wa gari hizi mpya mpya wengi wao si waangalifu wakiwa barabarani hususani wakina mama, tembelea vituo vya polici utakuta nyiingi kama sio chache ni namba mpya sijui inakuwaje.

Wengi wao ni magari yao ya kwanza hawana uzoefu na hawaweki learner L ; pia na ulimbukeni umo
 
Sorry dude am neither DHL nor PCUM......

Go and tell him yourself. ... am not saying any word to anyone.

After all there a Re alot of them.... if you know them all go and tell them if you know some or don't know any......

Up to you.... that's a what's up

Filthy hoe.....

Fuk ya

I lo u. Mwaaaah
 
Tanzania hakufai kuishi.

Watu wanakufa sana.

USA baby
Hapa yale maswali yaliyoulizwa kule kwa Andrew hayapo yale ya alikua anafanya nini, kwanini na nani, mbona wamevaa hivi na sio vile, kuna kitu mnaficha, rudini nyumbani huko sio salama.. Wabongo bana

Walale pema
 
Daaah Mungu awapumzishe ...ila mara nyingi wahindi ni rough drivers. .kuna siku muhindi/ alitu overtake kwa speed kali maeneo ya coco beach gari tatu kwenye kona...mbele akakutana na gari ingine ajali...
Kweli kabisa. Jumatatu wiki hii Mhindi alitu-overtake vibaya kiasi kwamba angeweza kusababisja ajali mbaya kabisa.
 
Sio watu saba ni sita na niwarabu na ni ndugu zetu tumeshazika leo mtoto mmoja bdo yuko spital na baba ake na wte wngne wamefariki inahuzunisha kwa kweli
 
Hapana ajali kama kifo hakichagui rangi wala kabila. Ajali ngapi zinazotokea ambazo madereva ni Waafrika. Ubinadamu uwe ni kwa wote
 
Back
Top Bottom