Afghanistan ni nchi moja safi sana kibinadamu kama mgeni japo vyombo vya habari kutangaza vibaya

chizcom

JF-Expert Member
Jul 31, 2016
8,087
16,736
Hawa jamaa sio kama vyombo vya habari vinavyo chukua mda wa stive mangere,mwijaku,dotto magari,baba levo na wapuuzi ambao wamejazana kila kona kueleza raisi wa nchi bila kufumbua watu nchi ambazo ni fursa.

Katika kitu ambacho unatakiwa kuelewa walipotokea na ukarimu wa afghanistan ni kwamba kulikuwa kama unavyosikia congo na nchi nyengine mwanzoni na watawala ambao waliacha njiapanda ndio kule.
Japo umaskini wao ila ni watu waliokubari lolote na kujiweka kukabiliana na majanga yoyote sio tanzania USAID imesitisha vyoo na taasisi wameitisha vikao kuanza kujadili bungeni.

Hawa afghan wana kitu kikukubwa ambacho kina fanana pakistan sana kuwa hata tulichokuwa nacho tunaweza kukikuza.
9781472861801.jpg
 
Hawa jamaa sio kama vyombo vya habari vinavyo chukua mda wa stive mangere,mwijaku,dotto magari,baba levo na wapuuzi ambao wamejazana kila kona kueleza raisi wa nchi bila kufumbua watu nchi ambazo ni fursa.

Katika kitu ambacho unatakiwa kuelewa walipotokea na ukarimu wa afghanistan ni kwamba kulikuwa kama unavyosikia congo na nchi nyengine mwanzoni na watawala ambao waliacha njiapanda ndio kule.
Japo umaskini wao ila ni watu waliokubari lolote na kujiweka kukabiliana na majanga yoyote sio tanzania USAID imesitisha vyoo na taasisi wameitisha vikao kuanza kujadili bungeni.

Hawa afghan wana kitu kikukubwa ambacho kina fanana pakistan sana kuwa hata tulichokuwa nacho tunaweza kukikuza.
View attachment 3227141
Nini hasa unataka kusema?
 
Hawa jamaa sio kama vyombo vya habari vinavyo chukua mda wa stive mangere,mwijaku,dotto magari,baba levo na wapuuzi ambao wamejazana kila kona kueleza raisi wa nchi bila kufumbua watu nchi ambazo ni fursa.

Katika kitu ambacho unatakiwa kuelewa walipotokea na ukarimu wa afghanistan ni kwamba kulikuwa kama unavyosikia congo na nchi nyengine mwanzoni na watawala ambao waliacha njiapanda ndio kule.
Japo umaskini wao ila ni watu waliokubari lolote na kujiweka kukabiliana na majanga yoyote sio tanzania USAID imesitisha vyoo na taasisi wameitisha vikao kuanza kujadili bungeni.

Hawa afghan wana kitu kikukubwa ambacho kina fanana pakistan sana kuwa hata tulichokuwa nacho tunaweza kukikuza.
View attachment 3227141
Hebu rudia kusoma. Umeandikiwa au umeandika mwenyewe. Kama yupo aliyekuelewa atoe msaada.
 
Nchi zote za kiislamu siyo sehemu salama za mtu yoyote mwenye akili timamu kuishi
Umekaa zako pembeni mwa nyumba unakunywa zako soda, unashangaa watu wamekuja na mafimbo, wengine mawe na wengine matofali, wanakuuliza kwanini unakula hadharani kipindi cha ramadhani?
Upumbaf sana, kula yangu inahusu nn funga yako? Kibaya zaidi dini wanaingiza kwenye siasa, katiba na sheria za nchi
 
Nchi zote za kiislamu siyo sehemu salama za mtu yoyote mwenye akili timamu kuishi
Umekaa zako pembeni mwa nyumba unakunywa zako soda, unashangaa watu wamekuja na mafimbo, wengine mawe na wengine matofali, wanakuuliza kwanini unakula hadharani kipindi cha ramadhani?
Upumbaf sana, kula yangu inahusu nn funga yako? Kibaya zaidi dini wanaingiza kwenye siasa, katiba na sheria za nchi
Kuna muda mpunguze utoto. Kazi kula tuuu na kuzaliana kama dagaa.
Heshimu dini za watu
 
Nchi zote za kiislamu siyo sehemu salama za mtu yoyote mwenye akili timamu kuishi
Umekaa zako pembeni mwa nyumba unakunywa zako soda, unashangaa watu wamekuja na mafimbo, wengine mawe na wengine matofali, wanakuuliza kwanini unakula hadharani kipindi cha ramadhani?
Upumbaf sana, kula yangu inahusu nn funga yako? Kibaya zaidi dini wanaingiza kwenye siasa, katiba na sheria za nchi
Huna akili.
 
Hawa jamaa sio kama vyombo vya habari vinavyo chukua mda wa stive mangere,mwijaku,dotto magari,baba levo na wapuuzi ambao wamejazana kila kona kueleza raisi wa nchi bila kufumbua watu nchi ambazo ni fursa.

Katika kitu ambacho unatakiwa kuelewa walipotokea na ukarimu wa afghanistan ni kwamba kulikuwa kama unavyosikia congo na nchi nyengine mwanzoni na watawala ambao waliacha njiapanda ndio kule.
Japo umaskini wao ila ni watu waliokubari lolote na kujiweka kukabiliana na majanga yoyote sio tanzania USAID imesitisha vyoo na taasisi wameitisha vikao kuanza kujadili bungeni.

Hawa afghan wana kitu kikukubwa ambacho kina fanana pakistan sana kuwa hata tulichokuwa nacho tunaweza kukikuza.
View attachment 3227141
Sidhani kama nimekuelewa.
 
Nchi zote za kiislamu siyo sehemu salama za mtu yoyote mwenye akili timamu kuishi
Umekaa zako pembeni mwa nyumba unakunywa zako soda, unashangaa watu wamekuja na mafimbo, wengine mawe na wengine matofali, wanakuuliza kwanini unakula hadharani kipindi cha ramadhani?
Upumbaf sana, kula yangu inahusu nn funga yako? Kibaya zaidi dini wanaingiza kwenye siasa, katiba na sheria za nchi
Yani ukila yeye anateseka?Marabook kabisa!
 
Back
Top Bottom