gaid hussein
Member
- Sep 27, 2016
- 22
- 16
Saddam hakuwa dikteta alitaka kuwaunganisha waarabu wote wawe kitu kimoja ndiyo mwamerika akamuwahi yeye na ghaddaf ameuwawa kwa sababu alitaka kuwaunganisha mataifa yote ya afrika na kupendekeza itoke sarafu ya afrika na kipindi kile alipendekeza kuwe na rais wa afrika nayeye alimpendekeza mandela ndiyo hayo yakatokea