Tetesi: Acacia keleta Askari Wazungu/Mamluki

INAONEKANA ASKARI WA TANZANIA WANAHUSIKA NA UGUNDUZI WA MCHANGA WENYE DILI NINI???!!!
 
Hebu tusubiri hiyo kesho!
Maana umbea umeshakuwa mwingi humu ndani kadri muda unavyozidi kwenda
 
Mie nipo upande wa accacia ? Why mliwapa wenyewe sasa mnalia lia vita hii lazima fisi watoke madarakani
Kuna njia tatu za kumaliza mkataba ....(I) kutekeleza mkataba/performance
Ii) pande mbili kukaa mezani na kukubaliana kuvunja mkataba (ll) upande mmoja kuvunja mkataba .....ww endelea ...kubaki upande wa accacia...they are not honest....we are entitled to call to an end the said stupid contracts
 
Wewe hujui kingereza.Yaani wanatoa security staff wao wote halafu wanaajiri kampuni za ulinzi ndio zifanye hiyo kazi.Acha uongo na g4s ndio wamepata hiyo tenda
 
Hugo TE="Perfectz, post: 21564860, member: 434089"]INAONEKANA ASKARI WA TANZANIA WANAHUSIKA NA UGUNDUZI WA MCHANGA WENYE DILI NINI???!!![/QUOTE]
Huyo muongo.Ni kwamba wanaajiri kampuni ya kufanya hiyo kazi na wao hawatajihusisha tena na ulinzi
 
Huwa kuna mapungufu katika makubaliano yeyote yale na mara nyingi haya huwa yanaonekana baadae.

"Sababu za maana" ikiwa moja wapo ya hayo mapungufu ina madhara yake.

Madhara hayo ni pamoja na kuona, kama hawa wataruhusiwa kuleta ulinzi wao.
Outsourcing of none core function is the global best practice for cost cutting. But for unscrupulous employees can be used as the room for importation of employees unnecessarily, tax evasion, room for underpaying,

Kwa acacia sielewi kama watu wamekuwa wakikufanyia kazi miaka yote leo mnakaribia kufunga baadhi ya biashara zenu ndio mnakumbuka hilo....

Ndio maana tunasema serikali yetu iwe makini Kila jambo iliangalie kwa jicho la 360°
Wazungu ni wajanja sana...
 
Wewe hujui kingereza.Yaani wanatoa security staff wao wote halafu wanaajiri kampuni za ulinzi ndio zifanye hiyo kazi.Acha uongo na g4s ndio wamepata hiyo tenda

Sijui ulikuwa unamjibu nani, kama ni mimi nakubali kuwa sijui kiingereza hivyo, walakini najua pale ninapoibiwa, huwa haina lugha.

Manyways "outsourcing" ndio lugha waliotumia.
 
Ccm is busy engineering rubbish with their fellow fools instead of doing their duty
CCM is in Government
It is the duty of of the Government to protect it sovereign state.
rubbish is in the eye of the beholder
 
Manyways "outsourcing" ndio lugha waliotumia.[/QUOTE]
Maana ya outsourcing ni kutoka nje ya kampuni yao na tenda wamepata g4s.
 
Huu ni wakati muafaka wa ile sheria ya kinga dhidi ya maraisi wastaafu ipelekwe bungeni kwa marekebisho.

Some people somewhere are responsible for these mikataba ya kihaini.

Kwangu mimi ni sawa na wauwaji na infact wamesababisha mateso makubwa kwetu.

Pamoja tukisema hapana, inawezekana.
 
Kuna taarifa manager wao ameshakimbia nchi.

Safari hii wataelewa Mh. Magufuli alipokuwa anatuambia hatatuangusha alikuwa anamaanisha nini.

Sasa hivi kashikilia rungu atawashikisha adabu mafisadi wote.

Go Magufuli.
Jamaa yangu manager hata kama.kuna ubadhirifu hawezi kimbia maana yeye nimwajiriwa kama sisi wengine tulivyo japo kila mmoja ana sehemu yake ya kuripoti
 
Manyways "outsourcing" ndio lugha waliotumia.
Maana ya outsourcing ni kutoka nje ya kampuni yao na tenda wamepata g4s.[/QUOTE]

Hakika hayo ya tenda sijui, kuna sababu nyingi za kuanzisha uzi, majibu ya mtiririko kama yako ndio Wananchi/Watanzania wanahitaji.

Hivi sasa inaonekana kuwa maamuzi mengi yanayofanywa na hawa "wezi" kwa namna moja au nyingine aidha ni kutapatapa, au to create precendence known to them! Kuingiza hofu na kutengeneza matabaka, perhaps?
 
Katika kile ambacho kinazungumziwa na "Wanasheria" sasa wazungu kuletwa Kulinda mali na wafanyakazi(wazungu) wa Accacia

Kwa udadisi mfupi niliyofanya baada ya Accacia kutoa matamshi haya, "We have decided to outsource our security staff, because we believe that by doing so our people and assets will be protected in the best possible way" hayo yalisemwa na Meneja wa mawasiliano ya umma Nectar Foya wa Accacia.

Maoni yangu ni kuwa Vita hii bado itaendelea. Walakini, Kuna umuhimu wa bunge au vyombo vikuu vya serikali kuingilia haya tusije tukawa kama Ivory coast, au Angola.

Vivyohivyo, "Haingii akilini" kuwa hata ndani ya mikataba hiyo kunaruhusu kuleta Askari kutoka nje ili kuwalinda "wazungu" na mali "zetu" What a shame!

"Haiingii akilini" kuona jinsi hawa watu wachache( Uongozi wa Accaia Tanzania) wanavyoweza kuvunja heshima ya majeshi ya ulinzi wa Tanzania.

Kuna ulazima wa kuungana katika vita hii #TZ-Nomercenariesforourgold
Yale madini wanayochimba ni mali yao kwa mujibu wa mikataba na wanayo haki ya kuyalinda na kuwalinda watu wao. Mnaweza kuona ni kitu kigeni sana lkn makampuni yanayomilikiwa na ACACIA miaka yote yana utamaduni wa kulindwa na wazungu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom