kwavipi mkuu?Tunampoteza mlipa Kodi mmoja..
taratibu kiongozi utachoma mainiAisee nimegundua ukimix Imagi na smart gin inatoka kitu moja matata sana🐼
Kila la kheri Ila jikaze maana ukizubaa hutoboi..kwavipi mkuu?
kahawa haina kodi?
chai haina kodi?
maziwa hayana kodi?
hap hauoni kama kuna kodi zaidi maana maeneo yameongezeka kutoka moja (pombe) hadi matatu (kahawa chai & maziwa)?
tukusaidie miwani kuona faida kubwa hii itayopatikana sasa?
Upewe miwani ya mbao wewe😂haja gani kutamka maneno ya kunisaidia MIWANI?!
daah apo kuna namna aiseeNilitapika usiku kucha mpaka nikahis labda niliwekewa kitu
Hii ndio kazi ya maini tunayakomaza kidogo😃taratibu kiongozi utachoma maini
Ikawaje ukashindwa kunyoosha maelezo😅Nilikutana nao maeneo ya Goba nikawaonesha hilo chupi😂
sawa kiongoziHii ndio kazi ya maini tunayakomaza kidogo😃
Amina na juhudi tuwekeInshaAllah Kwa pamoja Mwenyezi Mungu atufanyie wepesi tuache pombe, uzinzi, uongo, unafiki na tuwe wenye kufanya Ibada.
Hata bima ya afya sina, kuliko nianze kujipa stress na hizo takwimu bora tu niendelee na bata
duuh hayaMtu una muheshimu kabisa halafu anaacha kunywa pombe,niache nimemkosea nini Muumba?
mkuu kauli zako ni za kushangaza sana. nilizan asiye na bima ndo ilibidi aijali zaidi afya isitetereke?Hata bima ya afya sina
Nobody knows tomorrow braza kede....maisha ni leo🐼mkuu kauli zako ni za kushangaza sana. nilizan asiye na bima ndo ilibidi aijali zaidi afya isitetereke?
Naona kitu ogNobody knows tomorrow braza kede....maisha ni leo🐼
View attachment 3190206
Ila Sio ya kwangu nimedanlodi picha tu😏Naona kitu og
Unajitetea mkuu😂Ila Sio ya kwangu nimedanlodi picha tu😏
Ulijinyea nini mkuu...Mimi tarehe 26 dec zilinifanya vibaya,nazan ndo nimeachana nazo hvyo na marafik nao nataka nisiwe nao